Evining Masters Programme-UDSM

Evining Masters Programme-UDSM

Njunwa Wamavoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
5,757
Reaction score
2,368
Hellow wadau wa Jukwaa la Elimu.

Naomba kujua timetable ya watu wanaosoma Evening Masters Programme CoICT au College yoyote ya science hapo UDSM.
Masomo huanza saa ngapi na kuisha saa ngapi na kwa siku zipi na zipi?
Nataka kujua kama naweza mudu kufanya kazi zangu afu nkaendelea na hizo evening programmes.
Nimejaribu ku search kwenye Sites za colleges za UDSM sijaona zaidi ya tuition fee, entry qualifications.

Natanguliza Shukrani.

Asanteni.

Edit:
Samahani pia kwa typo kwenye heading
 
Hellow wadau wa Jukwaa la Elimu.

Naomba kujua timetable ya watu wanaosoma Evening Masters Programme CoICT au College yoyote ya science hapo UDSM.
Masomo huanza saa ngapi na kuisha saa ngapi na kwa siku zipi na zipi?
Nataka kujua kama naweza mudu kufanya kazi zangu afu nkaendelea na hizo evening programmes.
Nimejaribu ku search kwenye Sites za colleges za UDSM sijaona zaidi ya tuition fee, entry qualifications.

Natanguliza Shukrani.

Asanteni.

Edit:
Samahani pia kwa typo kwenye heading
Wakikujibu nitag

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom