Evolution of CCM

Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana
HIVI CCM ikitoka nani mmbadala wake? EBU KIANGALIE VIZURI CHAMA kama CHADOMO.... nani atakuwa rais JIBU ni LOWASA, nani atakuwa waziri Mkuu jibu ni SUMAI....nani atakuwa waziri wa mambo ya ndani JIBU ni lau MASHA... nani atakuwa wa Fedha JIBU ni MBOWE.... Mawaziri wengine ni kama BULAYA, MDEE, NASARI, MSIGWA, LEMA, TUNDU, MWITA, na wengineyo....hebu fikiria HILI GENGE NDIO LIONGOZE NCHI....WIKI MMOJA TU Nchi ita COLLAPSE!!!
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ukweli mtupu
 
Umewaza kwa akili zako au ni usukule ulionao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…