Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
wawili wa mbele na wawili wa nyuma.... WANAFANANA NA JAMAA FULANI wapo CHADEMA SASA..... KWELI MABADILIKO...
Usipanic hivi ni vitu vya kawaida tu.wawili wa mbele na wawili wa nyuma.... WANAFANANA NA JAMAA FULANI wapo CHADEMA SASA..... KWELI MABADILIKO...
Ni hapa kazi tu au siowawili wa mbele na wawili wa nyuma.... WANAFANANA NA JAMAA FULANI wapo CHADEMA SASA..... KWELI MABADILIKO...
kauli nyengine utajikuta umetukana nchi nzima! mpk mzazi wakoChama cha Mafisi wenye ulafi wa hali ya juu.
kauli nyengine utajikuta umetukana nchi nzima! mpk mzazi wako
HIVI CCM ikitoka nani mmbadala wake? EBU KIANGALIE VIZURI CHAMA kama CHADOMO.... nani atakuwa rais JIBU ni LOWASA, nani atakuwa waziri Mkuu jibu ni SUMAI....nani atakuwa waziri wa mambo ya ndani JIBU ni lau MASHA... nani atakuwa wa Fedha JIBU ni MBOWE.... Mawaziri wengine ni kama BULAYA, MDEE, NASARI, MSIGWA, LEMA, TUNDU, MWITA, na wengineyo....hebu fikiria HILI GENGE NDIO LIONGOZE NCHI....WIKI MMOJA TU Nchi ita COLLAPSE!!!Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana
Umewaza kwa akili zako au ni usukule ulionao?HIVI CCM ikitoka nani mmbadala wake? EBU KIANGALIE VIZURI CHAMA kama CHADOMO.... nani atakuwa rais JIBU ni LOWASA, nani atakuwa waziri Mkuu jibu ni SUMAI....nani atakuwa waziri wa mambo ya ndani JIBU ni lau MASHA... nani atakuwa wa Fedha JIBU ni MBOWE.... Mawaziri wengine ni kama BULAYA, MDEE, NASARI, MSIGWA, LEMA, TUNDU, MWITA, na wengineyo....hebu fikiria HILI GENGE NDIO LIONGOZE NCHI....WIKI MMOJA TU Nchi ita COLLAPSE!!!
Una utani na jamaa alie mlilia mbowewawili wa mbele na wawili wa nyuma.... WANAFANANA NA JAMAA FULANI wapo CHADEMA SASA..... KWELI MABADILIKO...
Mzee ni mtoto mwenye miaka mingi!Usipanic hivi ni vitu vya kawaida tu.
Kwani leo umeamua fukuwa kaburi # Umoja partUna utani na jamaa alie mlilia mbowe
Bungeni ww
sio bure