Juandeglo
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 1,040
- 2,806
Habari zenu wakuu..
Leo naomba niongee na wewe binti, dada au hata mama unaweza kumwambia binti yako. Dunia ya leo ni dunia ya kizazi kilichoharibiwa na shetani. Malezi yamekuwa mabovu kwa sababu ya ubusy wa maisha. Unakuta mtu single mama inabidi apambane kwa ajili ya mtoto wake ale, avae.. hapohapo kuna muda anaweza pata ashki atafanyeje inabidi sometimes jirani aachiwe mtoto yeye akazitulize kwa "uncle"
Ok..am not condemning anybody. Iko hivi. Kama unaingia kwenye ndoa ingia na mentality hii. Furaha yako isitoke kwa huyo bwana na hata mwanaume furaha yako isiwe kwa huyo mwanamke.(najua wanaume watasoma pia). Wote tujitahidi furaha zetu zitoke kwa kumcha Mungu. Wewe mwanaume unapotumikia kusudi lako hapa duniani..kwa uaminifu basi ndipo ufurahi. Ni mtego kutegemea mwanadamu ambae si malaika akupe furaha.
Unakuta mwanamke umeolewa, ukazaa watoto wanne afu mwanaume yuko busy na wengine huko nje tena yumkini akaleta na watoto...kama huna Mungu moyoni kila kitu kitavurugika. Wanawake huwa mnasacrifice vingi sana kwa ajili ya wenza na bado matukio mnapigwa. Wanaume naturally ni wabinafsi. Ubinafsi wao unawakandamiza na kuwaumiza nyinyi.
Kama wewe ni mwanamke na bado hujaingia ndani ya ndoa, kuwa na ujuzi. Hata kazi kama hujapata ila ujuzi utakupa faida na kukuingizia pesa. Ujuzi utakuweka busy..hutagusa simu ya mtu(for your own happiness), hutauliza maswali ya chokochoko, hutasumbuana na mtoto wa mama mkwe. We utakuwa busy na kulea plus biashara zako, tuone kama utaumia. Ukimtegemea mwanaume akupe furaha asilimia mia utatubu...hawana muda.
NB: hata unapokuwa busy mume anabaki palepale..usimnyime, mjali, muheshimu na kumtii, afu usimfatilie hata...kama ni maswali ya kuchelewa kurudi muulize lakini kwa hekima na adabu..na ukiona mgogoro shuka chini, au kama unaweza amka usiku piga magoti kemea hayo mapepo..utaona. Kama mwanamke unajielewa na ukafanya haya kama akiamua kucheat ni yeye na anayoyatafuta atayapata hakika.
Naongea haya kwa kukujali na kutamani kuona furaha yako wewe dada yangu.
Leo naomba niongee na wewe binti, dada au hata mama unaweza kumwambia binti yako. Dunia ya leo ni dunia ya kizazi kilichoharibiwa na shetani. Malezi yamekuwa mabovu kwa sababu ya ubusy wa maisha. Unakuta mtu single mama inabidi apambane kwa ajili ya mtoto wake ale, avae.. hapohapo kuna muda anaweza pata ashki atafanyeje inabidi sometimes jirani aachiwe mtoto yeye akazitulize kwa "uncle"
Ok..am not condemning anybody. Iko hivi. Kama unaingia kwenye ndoa ingia na mentality hii. Furaha yako isitoke kwa huyo bwana na hata mwanaume furaha yako isiwe kwa huyo mwanamke.(najua wanaume watasoma pia). Wote tujitahidi furaha zetu zitoke kwa kumcha Mungu. Wewe mwanaume unapotumikia kusudi lako hapa duniani..kwa uaminifu basi ndipo ufurahi. Ni mtego kutegemea mwanadamu ambae si malaika akupe furaha.
Unakuta mwanamke umeolewa, ukazaa watoto wanne afu mwanaume yuko busy na wengine huko nje tena yumkini akaleta na watoto...kama huna Mungu moyoni kila kitu kitavurugika. Wanawake huwa mnasacrifice vingi sana kwa ajili ya wenza na bado matukio mnapigwa. Wanaume naturally ni wabinafsi. Ubinafsi wao unawakandamiza na kuwaumiza nyinyi.
Kama wewe ni mwanamke na bado hujaingia ndani ya ndoa, kuwa na ujuzi. Hata kazi kama hujapata ila ujuzi utakupa faida na kukuingizia pesa. Ujuzi utakuweka busy..hutagusa simu ya mtu(for your own happiness), hutauliza maswali ya chokochoko, hutasumbuana na mtoto wa mama mkwe. We utakuwa busy na kulea plus biashara zako, tuone kama utaumia. Ukimtegemea mwanaume akupe furaha asilimia mia utatubu...hawana muda.
NB: hata unapokuwa busy mume anabaki palepale..usimnyime, mjali, muheshimu na kumtii, afu usimfatilie hata...kama ni maswali ya kuchelewa kurudi muulize lakini kwa hekima na adabu..na ukiona mgogoro shuka chini, au kama unaweza amka usiku piga magoti kemea hayo mapepo..utaona. Kama mwanamke unajielewa na ukafanya haya kama akiamua kucheat ni yeye na anayoyatafuta atayapata hakika.
Naongea haya kwa kukujali na kutamani kuona furaha yako wewe dada yangu.