KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Nimeanzisha mada kutokana na comments nazoonaga humu ndani. Nothing to do with my life.
Inabidi kuwe na uwiano wa threads humu. Na pia tunahitaji kufungua wadada akili wasidanganyike na wanafiki.
#and I'm very sure kuna watu wametetea bikra ya mwanamke peke yake hapa
I bet my head......................................................Una bikra?!
Spare my ribs p'se! Nimecheka sina mbavu!bikra ipo ipoje hiyo mbona nasikiaga tu bikra sijui hata inakuaje na inakaa wapi?
Sasa tunaelewanalabda sijalielewa bandiko lako lakini nimejibu kadri nijuavyo miye.. Mwanaume kuhitaji bikra wakati yeye sio bikra hayupo serious kwa kuwa utawezaje kupata bikra ikiwa wewe ndio unazitoa kwa hao wasichana?
kidini inakubalika ikiwa wewe sio mchovyaji lakini ukiwa muasherati na muharibifu kwa watoto wa kike basi maombi ya kutafuta au kuchaguliwa mke bikra ni kujikosha.kila aliyekivunja kikombe basi na akitumie milele
kukujibu kwa kifupi ni kwamba Ibrah sina stress na kamwe sitakuwa hivyo naongea kile ambacho nakitambua bila kujali wewe utanichukulia vp. sitaacha kuwasema na kusema ukweli na kwakukusaidia tu mwanamke niliyezaa nae yupo ndani ya ndoa so nadhani bado akili yako inasumbuliwa na ibra ndio maana hatajibu lako kwangu ni tofauti na Wengine.
Umefungukaaa umemwagikaa***Kwa ufupi shughuli hajui na anaweza kuwa mtu mbaya sana kuishi naye
¶Ana Low self esteem. Hajiamini. Aidha kwasababu,
1)Ana maumbile madogo.
Anaogopa kulinganishwa.
Anafikiri ukiwa bikra una ka K kadogo so utahitaji machine ndogo. Anafikiri usipokuwa bikra una li K likubwa unahitaji muhogo wa jang'ombe, kwakuwa sisi ni maPorn star, kazi kudandia **** asubuhi hadi jioni siku saba za wiki.
(HIVI WANAPOSEMAGA TUMETUMIKA TUMECHOKA, hivi kati ya mwanamke aliyeolewa na mwanamke ambaye haishi na mwanaume, nani anafanya hizo shughuli karibia kila siku!!!)
2)Maumbile yake hayavutii.
Usione wanawake wanavyosemagwa. Jamani kuna mashine zinatisha sana. Zinatia hata ukakasi kuangalia.
Wengine ni process ya kawaida ya kuzeeka.
Basi anaona bora aoe bikra asiyejua kuwa Kuna aina nyingi.
Wanaonaga hatuna macho. Kweli wanawake tunavumilia mengi.
(ewe mwanaume usiye na hatia, wala usijali, kama kakupenda kakupenda tu)
(na kuna wajinga watasema nimepita kwingi ndomana Najua ziko tofauti. ni wajinga)
3)Ana matatizo ya nguvu za kiume au hajawahi kufikisha mwanamke.
Labda anawahi kufika.
Alikopita kakutana na magogo hivyo anajua hajawahi kuridhisha.
Anaona bora awe na mwanamke ambaye hajui kituo ni wapi asiaibike.
¶Shughuli hajui.
Anafikiri kinachohitajika ni dudu yake tu. Atakaa kukupiga saa Zima dada wa watu. Kumbe mwenzetu umeangukia kwa wale wasiofika kupitia "muingiliano".
Huwezi kuamini idadi ya wanawake ambao hawajui kituo ni wapi. Tunaolewaga shela tu maskini.
¶Hakujali.
Wakati yeye anakula ujana, anawaza mke wake yuko kwao anaosha vyombo, anamuwaza yeye mume wa kufikirika.
Anajiona yeye ndo ana haki ya kuvunja sheria za dini. Atakufunga kifikra na maneno kama "stara ya mwanamke ni bikra"
¶Ni MNAFIKI.
Baadae atatubu. Halafu ataanza kutafuta mwanamke bikra.
Atasema "asiye bikra atakuwa si mwaminifu". Yeye je?? Na pia kuonyesha jinsi shughuli haiwezi.
UTAHESHIMUJE MWANAUME MNAFIKI? Ni wa kudharaulika kama mtoto au mjinga.
Unafiki utakuwa sehemu ya maisha yenu. atakuwa mjuaji. Atajiona hakosei kama asivyoona uasherati wake.
###Mwanaume mwenye haki ya kudai bikra kwa sababu za kimaadili ni BIKRA tu. Anaonyesha yuko serious na viwango alivyojiwekea.
Ewe Dada, ni juu yako kuamua kama unataka kuwa na mwanaume anayetaka bikra wakati yeye hana.
Mbona unatuachia povu!Yes. Na ukweli ni kuwa thamani ya bikra ni ya kufikirika.
Na mwanaume mshika dini anayedai bikra wakati yeye Hana ni mnafiki wa kudhraulika.
Bye
nikitaka kujibu ninachokijua mimi nadhani tutauharibu mjadala uliyopo hapa... Binafsi huwa napenda kupuuzia wachache ambao tayari wameshafikia mwisho wa safari yao.. Ungeijua sababu ya kilichotuachanisha nadhani usingejisumbua kuita watu ambao hawamjui ibra na Hawakaa wamjue....Sasa tunaelewana
Ukweli usemwe na ukweli ni kuwa mnapoongelea bikra mseme "watu" na sio "wanawake" . Otherwise ni kuotesha mizizi ya UMUNGU MTU na MFUME DUME.
Na Samahani sana huna chochote cha kumsumbua yeyote humu ndani
Jibu langu umeliona tofauti kwasababu wewe ndo umekuja na mfano halisi wa unafiki niliokuwa naongelea, na wewe tumekutana mara kadhaa humu so nakujua.
Mama wa watoto mlivyoachana alikuwa single mother kabla hajaolewa. Sasa kaolewa. Kumbe kwenye thread unazokandiaga maSingle mother kwamba ni used unamsemaga mama watoto wako? Kama sio stress ni nini?
brenda18 kumbe jamaa ex wake kaolewa pamoja na kuwa na mtoto. Lakini jamaa kutwa kusema masingle mothers. Embu analyse.
Hahahaa housegirl ni nini lakini unataka watu wacharuke kama wamekula pilipili kichaa,utashushiwa magazeti teh... Siwezi analyze milembe case,nisameheSasa tunaelewana
Ukweli usemwe na ukweli ni kuwa mnapoongelea bikra mseme "watu" na sio "wanawake" . Otherwise ni kuotesha mizizi ya UMUNGU MTU na MFUME DUME.
Na Samahani sana huna chochote cha kumsumbua yeyote humu ndani
Jibu langu umeliona tofauti kwasababu wewe ndo umekuja na mfano halisi wa unafiki niliokuwa naongelea, na wewe tumekutana mara kadhaa humu so nakujua.
Mama wa watoto mlivyoachana alikuwa single mother kabla hajaolewa. Sasa kaolewa. Kumbe kwenye thread unazokandiaga maSingle mother kwamba ni used unamsemaga mama watoto wako? Kama sio stress ni nini?
brenda18 kumbe jamaa ex wake kaolewa pamoja na kuwa na mtoto. Lakini jamaa kutwa kusema masingle mothers. Embu analyse.
I'm sorry but sikuweza kuacha kuonyesha mshangao niliokuwa nao.nikitaka kujibu ninachokijua mimi nadhani tutauharibu mjadala uliyopo hapa... Binafsi huwa napenda kupuuzia wachache ambao tayari wameshafikia mwisho wa safari yao.. Ungeijua sababu ya kilichotuachanisha nadhani usingejisumbua kuita watu ambao hawamjui ibra na Hawakaa wamjue....
Niliichukulia mada yako kama kitu cha kushare uzoefu nilionao juu ya kile nilichopitia na kukiona. Lakini imekuwa kinyume na matarajio Yangu kwa kuwa umeonyesha ujumbe wangu unataka kukuibua kwenye kitu ambacho hukijui...
Nachelea kusema kile ambacho nilikuwa nakifikiria juu Yako nadhani nikiondoe katika kichwa changu kwa kuwa nimeona na kutambua ukipofu wako lakini huku ukijitahidi Kutaka kuwaongoza Wanaoona.
Pole Sana kwa kuonyesha weupe wako.. Jadili kilichokuwepo mezani.... Kama unataka mada Unayoitaka Njoo kule ilipo twende sawa....
BORA KUONYESHA UTUPU WAKO UKIWA NA NDUGU ZAKO NYUMBANI WANAWEZA WA KAKUSAIDIA KUKUSITIRI KULIKO KUONYESHA KWENYE UMATI WA WATU....
Samahani KakaJambazi hivi umemuelewa alichoandika huyu Dada...Najaribu kufikiria wewe umebinuliwa binuliwa huko weee,na kila size pia umezinyonya, afu uwe sawa na ambaye hata kulala chali hajui.
Jiwe limetupwa gizani. Watu wanatapatapaSamahani KakaJambazi hivi umemuelewa alichoandika huyu Dada...
Demand yake imekua kubwa,wacha wawadanganye tu hakuna namna...ndoa sio bikra tu kwaio bado huyo Dada anaweza kuwa mke mzuri,hongera kwa jamaa yako kwa kuopoa mke used kama walivyo wanaume wengi humu jf...Daaa wachina wabaya sana, huwa wanafanya utafiti kujua demands za wa bongo, then hufanya production na ku supply. .sasa bikra zipo tu madukani. .Mfano kuna jamaa yangu mmoja alipata binti wa kitanga hapa dsm, wakaamua kufunga ndoa, basi tulimsindikiza Tanga akapewa mke, bahati nzuri msichana akapigiwa vigelegele kuwa amekutwa bikra, sasa mida ya jioni tukiwa jirani tunapata kahawa nikamsikia vijana wana ongea, oooo eti (anamtaja jina) amekutwa bikra wakati ametoa mimba zangu 2,huku akitaja jina la doctor maarufu maeneo hayo. .Daaaa nilistaajabu kwakweli ndio nikaanza kufuatilia kujua hili linawezekanaje?kumbe Chinese wanamautundu yao yakurudisha hizi mambo, kama vile wanavyo ongezea dada zetu makalio au wanaume kukuza uume. ..
Badala ya kutulia na kuelewa mtu anakimbilia mambo tofauti hatimaye mada inabadilika wanabaki kuassume tunaumia,wtf I wouldn't wish to be one of the virgin in the street but then it's not a sin kuwashauri ambao bado wapo kwenye karne hio,this thread was specially for virgin dadas wanaambiwa they should be careful na mabazazi,hellow jf men mbona wanapaniki kwani tatizo ni nini hapo...too much bitterness in this thread sijaelewa hymen ya mwingine aumie mwingine,teh...Jiwe limetupwa gizani. Watu wanatapatapa
Atakayekuelewa akuelewe. Manake nimetembea nao pages 7, wapi!!!!!!!Badala ya kutulia na kuelewa mtu anakimbilia mambo tofauti hatimaye mada inabadilika wanabaki kuassume tunaumia,wtf I wouldn't wish to be one of the virgin in the street but then it's not a sin kuwashauri ambao bado wapo kwenye karne hio,this thread was specially for virgin dadas wanaambiwa they should be careful na mabazazi,hellow jf men mbona wanapaniki kwani tatizo ni nini hapo...too much bitterness in this thread sijaelewa hymen ya mwingine aumie mwingine,teh...
hellow jf men mbona wanapaniki kwani tatizo ni nini hapo...too much bitterness in this thread sijaelewa hymen ya mwingine aumie mwingine,teh...
Hiyo ndoa haikuwa rizki......Pale unapogundua umekosa ndoa kwa sababu hauna bikira