Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,828
Excuse my writing. I'm a terrible writer. I'm no where near bitter, much less about men who think of Virginity.Heshima ni jambo lamtu binafsi,uwe nayo usiwe nayo inakupasa kuheshimiwa,ila dada house gal inaonekana wewe ni feminist na sio gender activist,sijasema kuhalalisha ubaya au uzuri wa wanaume ila dizain unaonekana upo bitter
Kwahiyo unasema maandiko haya Apply kwa wanaume?Mwanamke bikra bado ana hadhi yake kwenye jamii hata iweje,huwezi kulinganisha na mwanamke ambaye alishatolewa bikra.Wanaume wengi tunaamua kuoa tu wasiokua na bikra kutokana na kutopatikana wanawake ambao ni bikra kirahisi,hiyo ndo pona yenu nyie wanawake ambao mlishatolewa bikra na wanaume wengine halafu mnaolewa na wanaume wengine.Kama kuna mdada ambaye ni bikra humu ndani ajichunge hadi mumewe atakapokuja kumwoa.Siwapendi sana wanawake ambao ni second hand,hii imenifanya hata kufanya mapenzi nichelewe sana.Kwa hali ilivyo sasa hivi bora ningekua FATHER mwaminifu tu.
Mimi nilikuwa nafikiria dini na si tamaduni.You can't overlook ..issue ya Bikira..ili kujustify madhaifu..Bikira ina maana nzito kidini ,na hata kimila na desturi zetu za jamii zetu za kiafrika.....na ndio maana hata zama za zamani mwanamke akiolewa na kutambulika kuwa na Bikira ilikuwa ni fahari Sana..Kama nakumbuka vizuri mwanamke alikuwa akiolewa Siku ya harusi sehemu ya kulala na mume yatandikwa shuka jeupe na ilikuwa ikidhihirika kwamba mwanamke ni bikra inakuwa ni fahari kwa waoaji na walezi/wazazi wa binti..
Hivyo swala la Bikira kwa mtu anayetegemea kuwa mke na Mme si la kuoverlook na kuchukulia poa..
Tukubali kwamba wote tunakuwa tumefanya makosa kuchakachuana kabla ya ndoa ..I mean both man and woman has mistakenly undergone sexual intercourse before marriage..tusianze kujustify madhaifu yetu kuwa haki....tukubali tunakuwa tumekosea..
Kwa wabobezi mambo ya dini huwa wana perspective yao juu ya hili ..na huwa wanatoa ushauri namna ya kujitakasa na kurudisha bikra hiyo kiroho..japo physically inakuwa haiwezekani..ni matumaini yangu ..humu wamo wa kutosha natumaini wanaweza kutueleza kwa kina juu ya hili...
Yeye kutokua na bikra sio kigezo cha kuhalalisha utolewajitolewaji wa bikra bila mpangilio,bikra ziendelee kuwa promoted na sio vinginevyo.Watoto wetu wanatakiwa waambiwe kabisa wajitunze na ikiwezekana kama ni wakike wasitolewe bila utaratibu na wakiume wasitoe bikra hovyohovyo.Ikiwezekana waambiwe madhara ya kutokuwepo bikra kimaadili ukubwani hasa katika maisha ya ndoa.Mimi nilikuwa nafikiria dini na si tamaduni.
Sitetei makosa natetea wanaosemwa vibaya kupitia viwango hivi vya dini. Mwanaume mkristo au muislamu anatoa wapi moral authority kudemand bikra au kumdharau mwanamke asiyekuwa nayo, wakati yeye mwenyewe Hana?
Hata wanasaikolojia wote wakubwa hakuwahi kulijua darasa.Elimu ya saikolojia uliisoma chini ya mti?
Hayo mengine maneno tu....
Tukija kwenye maisha halisi hiyo ni jamii ya kufikirika. sio kwamba siku hizi wasichana hawaambiwi watunze bikra au kanisani hawasemi. History imetufundisha kuwa mambo mengine huwezi kuzuia.Yeye kutokua na bikra sio kigezo cha kuhalalisha utolewajitolewaji wa bikra bila mpangilio,bikra ziendelee kuwa promoted na sio vinginevyo.Watoto wetu wanatakiwa waambiwe kabisa wajitunze na ikiwezekana kama ni wakike wasitolewe bila utaratibu na wakiume wasitoe bikra hovyohovyo.Ikiwezekana waambiwe madhara ya kutokuwepo bikra kimaadili ukubwani hasa katika maisha ya ndoa.
kama umeolewa au utaolewa bila bikra fahamu huna thamani ya ndoa kabisa chamuhimu mbakizie tu mmeo usimmalizie utamu wote***Kwa ufupi shughuli hajui na anaweza kuwa mtu mbaya sana kuishi naye
¶Ana Low self esteem. Hajiamini. Aidha kwasababu,
1)Ana maumbile madogo.
Anaogopa kulinganishwa.
Anafikiri ukiwa bikra una ka K kadogo so utahitaji machine ndogo. Anafikiri usipokuwa bikra una li K likubwa unahitaji muhogo wa jang'ombe, kwakuwa sisi ni maPorn star, kazi kudandia **** asubuhi hadi jioni siku saba za wiki.
(HIVI WANAPOSEMAGA TUMETUMIKA TUMECHOKA, hivi kati ya mwanamke aliyeolewa na mwanamke ambaye haishi na mwanaume, nani anafanya hizo shughuli karibia kila siku!!!)
2)Maumbile yake hayavutii.
Usione wanawake wanavyosemagwa. Jamani kuna mashine zinatisha sana. Zinatia hata ukakasi kuangalia.
Wengine ni process ya kawaida ya kuzeeka.
Basi anaona bora aoe bikra asiyejua kuwa Kuna aina nyingi.
Wanaonaga hatuna macho. Kweli wanawake tunavumilia mengi.
(ewe mwanaume usiye na hatia, wala usijali, kama kakupenda kakupenda tu)
(na kuna wajinga watasema nimepita kwingi ndomana Najua ziko tofauti. ni wajinga)
3)Ana matatizo ya nguvu za kiume au hajawahi kufikisha mwanamke.
Labda anawahi kufika.
Alikopita kakutana na magogo hivyo anajua hajawahi kuridhisha.
Anaona bora awe na mwanamke ambaye hajui kituo ni wapi asiaibike.
¶Shughuli hajui.
Anafikiri kinachohitajika ni dudu yake tu. Atakaa kukupiga saa Zima dada wa watu. Kumbe mwenzetu umeangukia kwa wale wasiofika kupitia "muingiliano".
Huwezi kuamini idadi ya wanawake ambao hawajui kituo ni wapi. Tunaolewaga shela tu maskini.
¶Hakujali.
Wakati yeye anakula ujana, anawaza mke wake yuko kwao anaosha vyombo, anamuwaza yeye mume wa kufikirika.
Anajiona yeye ndo ana haki ya kuvunja sheria za dini. Atakufunga kifikra na maneno kama "stara ya mwanamke ni bikra"
¶Ni MNAFIKI.
Baadae atatubu. Halafu ataanza kutafuta mwanamke bikra.
Atasema "asiye bikra atakuwa si mwaminifu". Yeye je?? Na pia kuonyesha jinsi shughuli haiwezi.
UTAHESHIMUJE MWANAUME MNAFIKI? Ni wa kudharaulika kama mtoto au mjinga.
Unafiki utakuwa sehemu ya maisha yenu. atakuwa mjuaji. Atajiona hakosei kama asivyoona uasherati wake.
###Mwanaume mwenye haki ya kudai bikra kwa sababu za kimaadili ni BIKRA tu. Anaonyesha yuko serious na viwango alivyojiwekea.
Ewe Dada, ni juu yako kuamua kama unataka kuwa na mwanaume anayetaka bikra wakati yeye hana.
Nimeshawatahdharisha wadada hawa kuhusu kuishi na mwanaume mnafiki anayefikiri viwango vya dini haviApply kwakeHata wanasaikolojia wote wakubwa hakuwahi kulijua darasa.
Swala la mwanamke kujituza kama ameamua hana uhusiano wowote na uhuni wa mwanaume.
Mwanaume kutaka mwanamke bikra pia ni maamuzi maana bikra inapatikana kwa wanawake hawezi kuihitaji kutoka kwa mwanaume mwezake.
Hahahaa, baby sis is too innocent, huyu bado ila dunia ya sasa mmh mabazazi hawacheleweshi...Brendaa, ushafanya tabia mbaya kumbe? Hopefully Baby Sis hajafuata nyayo.
Seriously tho, kama unajutia vile?
Yaani upo sawa kabisa,chuo peer pressure ndio inachangia sana,unatengwa unaonekana wa ajabu,tehTena wakikujua ni Bikra wanakutenga kwenye stories zao,
Wanakuita Mlemavu atii.
kubali ukatae saiv tunaowa tu kwasababu hazipogo tena nandomana thamani ya mwanamke inashuka ndani ya nyumbaThamani ya bikra ni kitu cha kufikirika
kubali ukatae saiv tunaowa tu kwasababu hazipogo tena nandomana thamani ya mwanamke inashuka ndani ya nyumba
Heshima ni jambo lamtu binafsi,uwe nayo usiwe nayo inakupasa kuheshimiwa,
hilo neno mnafiki we ndo umesema ila hata wewe unafahamu sana mwanamke anayeolewa na bikra ana dhamani yakeSi unaona nilichokuwa nasema mama lalamaliwato
Mkuu datz hata nyie hamuheshimiwi siku hizi kwasababu mtu mzima na akili zake kuheshimu mnafiki ni ngumu .
Unanilazimisha fundisho hilo potofu?hilo neno mnafiki we ndo umesema ila hata wewe unafahamu sana mwanamke anayeolewa na bikra ana dhamani yake