Ewe Dada, zijue sifa za mwanaume anayetaka bikra wakati yeye hana

Hahaha I'll take this with me

Eli79 don't make me use this next time we meet

#virtual kisses and hugs
housegirl, it's okay. Someone just hit me hard with the loss of my lovely baby. I wouldn't want to cross heads no more. The ignore button would do better for both of us.
 
housegirl, it's okay. Someone just hit me hard with the loss of my lovely baby. I wouldn't want to cross heads no more. The ignore button would do better for both of us.
You lost your baby???
Ooh pole sana.

But you started by calling her names because of her older relationships. Now you know majina mnaoitaga wanawake humu ndani yasivyofaa. Mkuki kwa nguruwe........

Anyways usiku mwema
 
Hivi kuna mahali unafanya registration ya how many bikira umezi vandalise nikajisajiri!?
 
Kuna kaukweliii We utake bikra wakati wewe huna unataka uifanyie nini? au ndo sharti za mganga toka misitu ya kongo.
Huyo ana hasira ya kutokuwa na bikra. Wewe uliambiwa mwanaume ana bikra? Ukiwa na bikra mwanaume si ushamba?
 
Mwanaume anataka bikra wakati yeye kashatoa za wadada wawili akawaacha anategemea zinatoka wapi wakati ameshiriki kuzitoa za wengine??
Zinazaliwa kila siku sema wengi hatujawahi kuzitoa ndo maana tuna hasira
 
Kweli kabisa,nakumbuka chuo mwaka wa kwanza watu tulitinga na birika zetu most of us,yani ukiskia mambo ya dyudyu unatamani kulia.... Kufika mwaka wa tatu asalale
Khaaaa we sasa umenichekesha hadi nimeshindwa kupita bure duuuh.....eti kufika mwaka wa tatu ikawaje? looh!!
 
Nshajua kwanini wanawake huwafrustrated mwanaume anapokengeuka kwasababu hujawahi kujijali kila siku unajali wengine wamefanya nini!hujali wewe unachojifanyia ila unatakakujali unachofanyiwa hutakaa uache kutaja watu unapokosea!hukuambiwa kujitunza kwenu?ulibakwa wewe?

Najitahidi kukujibu politely ila unaonekana unashida kwenye kufahamu,hata akikwambia hajafanya utajuaje kama kweli?
Unajipashida na mwanaume ambae sio bikira unadhani hasara yanani hapo?kama hujitunzi utasemwa vibaya hiyo ndio jamii yetu huwezi kupingana na kilakitu ulichokikuta.

Kamuulize mama yako kama yupo au mwanamke mkubwa utaelewa nnachokisema.jitunze wewe jali afya yako hasara kubwa ipo kwako kuliko kwake hata kama huo ndio ukweli unaosema ila itachukua muda kuelewa.

Samahani kama nimekukwazwa ila najua binti ajitunze ,kijana ajitunze.ntamfundisha binti angu kujitunza kama hata jitunza basi.
 
Mwanamke huna bikra huna haki ya kuongea subiri huruma ya mwanamume. Mnasema zimetolewa na kina nani? Kawatafute haohao waliowatoa sisi tunataka BIKRA hapa
 
inshort bikra kwetu wanaume
inamaana ya uaminifu si kicheche


ushujaa kwa kuitoa


heshima ya mume na mke mume kujiona ni mume halali maana kama sio bikra unakua unawaza mda wowote atapeperuka kwenda kukumbushia
 
Ngono kwaajili ya wanaume kweli aisee kwa mabinti ni tendo la ndoa tena lenye heshima,ndio mana ukipata mimba nje ya ndoa na unaonekana binti hunaakili hukukadiria hasara,tafuta usawa wa hivyo nawanaume utaumia.utajiunga nawale vizee Udsm wale viongozi wa harakati wenye miaka 60bado wanapete za uchumba.
 
Umeongea mambo ya maana sana kama wahusika watakuelewa lakini. Ulivyoongea imefanana na nilichomwambiaga miss chagga kuhusu suala la kuzaaa before ndoa. Nashukuru miss chagga alinielewa vizuri tu
 
Again, thamani yangu haiko kwenye bikra.

Unachofanya ni brainwashing. Huna tofauti na wanaume wanaoona mwanamke ambaye hajatahiriwa Hana thamani.

Mwanzo ulisema I'm bitter. Now frustrated. Haha don't force it! It's just not is!

Kutokuwa na njia ya kujua kama mwanaume ni bikra usiwe sababu ya kukandamiza wanawake na viwango hivi. Huwezi kusema jamii ndo ilivyo! It should change!

Narudia, wafwata dini wote wawe bikra. Kama mwanaume sio, Hana thamani ya kudai bikra na kudharau ambao hawana.

Wanawake wakatae huu utumwa wa fikra. Akiona mtu anapindisha Viwango vya dini kwa mwanaume, amuangalie mara mbili mungu mtu huyu.
 
Housegelo once again!!!ivi aliyekudanganya kwamba wanawake walio ndoani ndo wanafanya sana nani?!Duh!kwa taarifa yako tu ujue kuna madem wengi tu ambao hawajaolewa wanaachwa na washkaji kisa wanataka kudinywa kila wkt, yani asbh,mchana,jioni km dozi vile!wanachosha
 
Ngono si kwa ajili ya mwanaume pekee. Samahani sana.

Na kupata mimba kabla ya ndoa si Kosa la ngono bali kutozingatia uzazi wa mpango.
 
inshort bikra kwetu wanaume
inamaana ya uaminifu si kicheche


ushujaa kwa kuitoa


heshima ya mume na mke mume kujiona ni mume halali maana kama sio bikra unakua unawaza mda wowote atapeperuka kwenda kukumbushia
Hata mwanamke hufikiria hivyo hivyo. Jali hisia zake. Tunza bikra yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…