Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee we dada aliekuumiza akikutoa bikira Mungu amsamehe na umsamehe pia maana,huelewi unachoambiwa umekazania thamani yako kua kwenye bikira nani amekusema kama huna thamani kwasababu huna bikira?ila haibadilishi kua bikira si yathamani kwasababu huna!huna tu ila ni yathamani na inahitajika sana na wala sio old fashion,sisemi hivyo kwakua sikupata hiyo bahati mbaya yakutokuolewa na alienigegeda mara ya kwanza ila naamini katika destiny ya kila mtu.Ngono si kwa ajili ya mwanaume pekee. Samahani sana.
Na kupata mimba kabla ya ndoa si Kosa la ngono bali kutozingatia uzazi wa mpango.
You lost your baby???
Ooh pole sana.
But you started by calling her names because of her older relationships. Now you know majina mnaoitaga wanawake humu ndani yasivyofaa. Mkuki kwa nguruwe........
Anyways usiku mwema
Kumbe unaenjoy yakhee,I couldn't feel sorry at first...umesahau ulisema mke wa rafikio kizazi kilitoboka kumbe ulikua unajiongelea mwenyewe....Kupoteza mtoto haijalishi sana kwa sasa, but how the info went down to the person. I'll go down with the source, will surely track her...
Hayo mengine sio tatizo kwangu, I know that's the only way one would defend herself. And it won't make me stop either coz sometimes I enjoy getting into others' nerves.
...greetings to ex darling atoto, I'll need to have a handshake with her sooner.
Wewe mwanaume mwenye bikra utamtoa wapi? Ata kama hajawai gegeda hakuna mwanaume atakuambia sijawahi na kingine utajuaje kama hana bikra? Lakini mwanamke ukiingiza tu jibu unalipata tena afadhali ukute wameachamo kidogo make wengine utakuta bwawaKanisani kwenu / msikitini kwenu ndo wanawafundishaga mwanaume kuwa bikra ni ushamba?
Eti aliyeniumiza. Bado unaendelea kulazimisha kuwa mimi ndo mwenye tatizo. Au hadi na mie niseme status ya mahusiano yangu kama wewe ulivyosema. Naanza kuwaza we ndo una tatizo. Wewe achana na housegirl ongelea mada.Aisee we dada aliekuumiza akikutoa bikira Mungu amsamehe na umsamehe pia maana,huelewi unachoambiwa umekazania thamani yako kua kwenye bikira nani amekusema kama huna thamani kwasababu huna bikira?ila haibadilishi kua bikira si yathamani kwasababu huna!huna tu ila ni yathamani na inahitajika sana na wala sio old fashion,sisemi hivyo kwakua sikupata hiyo bahati mbaya yakutokuolewa na alienigegeda mara ya kwanza ila naamini katika destiny ya kila mtu.
Ukitaka kufa presha kwa ubishi huo olewa na mwanaume muafrika kamili utakufa presha mapema sana,ila ukitaka kuishi na hiyo misimamo olewa tu kimjinimjini au hata usifunge ndoa.
Kama ni mshika dini kweli lazima awe mkweli. Nani anataka kuwa na mwanaume muongo?Wewe mwanaume mwenye bikra utamtoa wapi? Ata kama hajawai gegeda hakuna mwanaume atakuambia sijawahi na kingine utajuaje kama hana bikra? Lakini mwanamke ukiingiza tu jibu unalipata tena afadhali ukute wameachamo kidogo make wengine utakuta bwawa
Kwa hiyo wew unashawish mabint wafanye ngono kabla ya ndoa tena mapema said siyo?!to be honest mbal na sifa nyingine nzur za mwanamke za kumfanya kuolewa inanogoga zaid akiwa bikra,bikra raha sana na fahari kwa mwanaume yoyote duniani hasa kwa mwanamke ambae anaenda kuwa Mke wako tuache kuzuga sema hivo ni ngumu kuziotea,alaf kwa nin zikitajwa bikra tu watu wanapanic balaaa?????Again, thamani yangu haiko kwenye bikra.
Unachofanya ni brainwashing. Huna tofauti na wanaume wanaoona mwanamke ambaye hajatahiriwa Hana thamani.
Mwanzo ulisema I'm bitter. Now frustrated. Haha don't force it! It's just not is!
Kutokuwa na njia ya kujua kama mwanaume ni bikra usiwe sababu ya kukandamiza wanawake na viwango hivi. Huwezi kusema jamii ndo ilivyo! It should change!
Narudia, wafwata dini wote wawe bikra. Kama mwanaume sio, Hana thamani ya kudai bikra na kudharau ambao hawana.
Wanawake wakatae huu utumwa wa fikra. Akiona mtu anapindisha Viwango vya dini kwa mwanaume, amuangalie mara mbili mungu mtu huyu.
Hahah,unajua watu hawajaelewa hii topic,nashangaa wanaongelea thamani ya bikra wakati topic ni wewe unaongea na wenye bikira zao...uzi umevamiwa huu mambo hayaelewekiEti aliyeniumiza. Bado unaendelea kulazimisha kuwa mimi ndo mwenye tatizo. Au hadi na mie niseme status ya mahusiano yangu kama wewe ulivyosema. Naanza kuwaza we ndo una tatizo. Wewe achana na housegirl ongelea mada.
Hapa unaanza kucheza tu na maneno. Semantics. Ukisema bikra ina thamani naelewa kuwa mwanamke mwenye bikra ndo ana thamani kwasababu hiyo bikra haitembei yenyewe.
Na huko juu umeongelea kuhusu "kujijali".
Sasa kama haumaanishi thamani ya mwanamke ni bikra umemaanisha nini
brenda18 au nina kichwa kugumu hapa.
Huyu mama naye ana mume na watoto kumi tunabanana humhumu saa hizi . Lol
Sishawishi mtu kitu.Kwa hiyo wew unashawish mabint wafanye ngono kabla ya ndoa tena mapema said siyo?!to be honest mbal na sifa nyingine nzur za mwanamke za kumfanya kuolewa inanogoga zaid akiwa bikra,bikra raha sana na fahari kwa mwanaume yoyote duniani hasa kwa mwanamke ambae anaenda kuwa Mke wako tuache kuzuga sema hivo ni ngumu kuziotea,alaf kwa nin zikitajwa bikra tu watu wanapanic balaaa?????
Naona we house girl unajitoa ufaham kuhusu maana ya bikra,au na wewe una definition yako ya bikra ha ha ha et mwanaume awe bikra that's nature huwez kupingana nayo kiboya ivo ili nawe akil kubwa utaonekana bogas kama wale wa 90's walojiita wabeijingHata mwanamke hufikiria hivyo hivyo. Jali hisia zake. Tunza bikra yako.
Unajua nipo wapi au unambwela tu?unalalaga na hao waliokutoa bikira hospitali?Eti aliyeniumiza. Bado unaendelea kulazimisha kuwa mimi ndo mwenye tatizo. Au hadi na mie niseme status ya mahusiano yangu kama wewe ulivyosema. Naanza kuwaza we ndo una tatizo. Wewe achana na housegirl ongelea mada.
Hapa unaanza kucheza tu na maneno. Semantics. Ukisema bikra ina thamani naelewa kuwa mwanamke mwenye bikra ndo ana thamani kwasababu hiyo bikra haitembei yenyewe.
Na huko juu umeongelea kuhusu "kujijali".
Sasa kama haumaanishi thamani ya mwanamke ni bikra umemaanisha nini
brenda18 au nina kichwa kugumu hapa.
Huyu mama naye ana mume na watoto kumi tunabanana humhumu saa hizi . Lol
Exactly. I was telling my dadas to watch out hawa wanafiki. Watafute bikra wenzaoHahah,unajua watu hawajaelewa hii topic,nashangaa wanaongelea thamani ya bikra wakati topic ni wewe unaongea na wenye bikira zao...uzi umevamiwa huu mambo hayaeleweki
Nashindwa kuelewa watu na ndoa zao usiku huu wapo sahani moja na sie... Mueleweshe mama bana
Ukwel mchungu kuumeza!!!mwanamke asiekuwa na bikra afu hajaolewa namuona Malaya tu
Again tunaongelea viwango vya dini.Naona we house girl unajitoa ufaham kuhusu maana ya bikra,au na wewe una definition yako ya bikra ha ha ha et mwanaume awe bikra that's nature huwez kupingana nayo kiboya ivo ili nawe akil kubwa utaonekana bogas kama wale wa 90's walojiita wabeijing
Mama wa watoto kumi.... KwaheriUnajua nipo wapi au unambwela tu?unalalaga na hao waliokutoa bikira hospitali?
Kajiongeze wewe,mbona hujamuua mama yako kamavthamani ya mwanamke inaishia kwenye bikira tu?unajikanyaga sana mara useme kama hujaheshimiwa kwa bikira utaheshimiwa kwa mambo mengi mara uhisi huna thamani kwasababu huna bikira,sikia housegal ikitoka hua hairudi ndio maana ni ya thamani,na inaongeza uthamani wa mwanamke .kama isingekua na impact isingekua dili,kama hunahuna tu,tulia jifunze kua mwerevu atleast usikose na tabia nzuri basi.