Ewe Dada, zijue sifa za mwanaume anayetaka bikra wakati yeye hana

Ewe Dada, zijue sifa za mwanaume anayetaka bikra wakati yeye hana

Hahahahaa before hapo tulikua tunaishia kuona kwenye tamthilia na movie tu...baada ya kufika chuo ndio tukadanganyika kupractice tulichokua tunaona kwenye movie..na tulijua maisha ni simple kama kwenye tamthilia kua your first man ndiye atakua mumeo
Majanga......nilidhani niko mwenyewe mwenye mawazo hayo....
 
formula sijui lakini ukitumia logic tu. Hivi mtoto mwenye play station nyumbani na mtoto ambaye aende za kulipia Nani kacheza zaidi!

Sauz sasa mwenye bikra yake original kusomeshwa bure mpaka profesa, we endelea kuipuuzia bikra.
 
Mwanamke bikra bado ana hadhi yake kwenye jamii hata iweje,huwezi kulinganisha na mwanamke ambaye alishatolewa bikra.Wanaume wengi tunaamua kuoa tu wasiokua na bikra kutokana na kutopatikana wanawake ambao ni bikra kirahisi,hiyo ndo pona yenu nyie wanawake ambao mlishatolewa bikra na wanaume wengine halafu mnaolewa na wanaume wengine.Kama kuna mdada ambaye ni bikra humu ndani ajichunge hadi mumewe atakapokuja kumwoa.Siwapendi sana wanawake ambao ni second hand,hii imenifanya hata kufanya mapenzi nichelewe sana.Kwa hali ilivyo sasa hivi bora ningekua FATHER mwaminifu tu.
Nini kilikuzuia kua padri?
 
Housegirl majority ya wanaume hatuna bikra pia wanawake hawana kutokana na maadili ya kizazi hiki cha nyoka.so mwanaume kuseka bikira ni mission impossible.wanaume wengi zinaanzia kutoka kweye ndoto za usiku.magori ndani ya mashuka.
 
***Kwa ufupi shughuli hajui na anaweza kuwa mtu mbaya sana kuishi naye

¶Ana Low self esteem. Hajiamini. Aidha kwasababu,

1)Ana maumbile madogo.
Anaogopa kulinganishwa.

Anafikiri ukiwa bikra una ka K kadogo so utahitaji machine ndogo. Anafikiri usipokuwa bikra una li K likubwa unahitaji muhogo wa jang'ombe, kwakuwa sisi ni maPorn star, kazi kudandia **** asubuhi hadi jioni siku saba za wiki.

(HIVI WANAPOSEMAGA TUMETUMIKA TUMECHOKA, hivi kati ya mwanamke aliyeolewa na mwanamke ambaye haishi na mwanaume, nani anafanya hizo shughuli karibia kila siku!!!)

2)Maumbile yake hayavutii.
Usione wanawake wanavyosemagwa. Jamani kuna mashine zinatisha sana. Zinatia hata ukakasi kuangalia.

Wengine ni process ya kawaida ya kuzeeka.

Basi anaona bora aoe bikra asiyejua kuwa Kuna aina nyingi.

Wanaonaga hatuna macho. Kweli wanawake tunavumilia mengi.

(ewe mwanaume usiye na hatia, wala usijali, kama kakupenda kakupenda tu)
(na kuna wajinga watasema nimepita kwingi ndomana Najua ziko tofauti. ni wajinga)

3)Ana matatizo ya nguvu za kiume au hajawahi kufikisha mwanamke.
Labda anawahi kufika.

Alikopita kakutana na magogo hivyo anajua hajawahi kuridhisha.
Anaona bora awe na mwanamke ambaye hajui kituo ni wapi asiaibike.

¶Shughuli hajui.
Anafikiri kinachohitajika ni dudu yake tu. Atakaa kukupiga saa Zima dada wa watu. Kumbe mwenzetu umeangukia kwa wale wasiofika kupitia "muingiliano".
Huwezi kuamini idadi ya wanawake ambao hawajui kituo ni wapi. Tunaolewaga shela tu maskini.

¶Hakujali.
Wakati yeye anakula ujana, anawaza mke wake yuko kwao anaosha vyombo, anamuwaza yeye mume wa kufikirika.

Anajiona yeye ndo ana haki ya kuvunja sheria za dini. Atakufunga kifikra na maneno kama "stara ya mwanamke ni bikra"

¶Ni MNAFIKI.
Baadae atatubu. Halafu ataanza kutafuta mwanamke bikra.

Atasema "asiye bikra atakuwa si mwaminifu". Yeye je?? Na pia kuonyesha jinsi shughuli haiwezi.

UTAHESHIMUJE MWANAUME MNAFIKI? Ni wa kudharaulika kama mtoto au mjinga.

Unafiki utakuwa sehemu ya maisha yenu. atakuwa mjuaji. Atajiona hakosei kama asivyoona uasherati wake.

###Mwanaume mwenye haki ya kudai bikra kwa sababu za kimaadili ni BIKRA tu. Anaonyesha yuko serious na viwango alivyojiwekea.

Ewe Dada, ni juu yako kuamua kama unataka kuwa na mwanaume anayetaka bikra wakati yeye hana.
Mwanume hana bikira dada.
Na nafikili wewe huna bikira hapo ulipo. Na inawezekana wanaume unaokutananao wanataka bikira ndio wakuoe.
Pole kwa hilo.
 
Jipumzikie mwaya jf ni ile ile...
Huyu dada naamini kakutana na wanaume ambao wanadai bikira.
Na ninafikili kinamtesa sana hio kitu.
Maana anaongea kwa uchungu sana.
Bikira ni kweli inakazi yake ndo maana MUNGU kaiweka .
Mwanaume bikira hana.
Ila halalishwi kufanya uzinzi.
 
Thamani ya bikra ni ya kufikirika. Kuweka thamani ya mwanamke kwenye bikra ni kumfanya chombo cha starehe.

Kama ni wafwata maandiko, jinsia zote ziwe bikra. Zaidi ya hapo ni kuleta unafiki na umungu mtu.

Wala siwezi kufundisha binti hivyo. Au hujawahi kusikia mmama anasema ngono ni kwa ajili ya wanaume, kwa wanawake haina dili. How sad is that!!!
We unaonekana huna bikra acha kujifariji
 
Ushahidi wa kwamba mtu kakatwa bikra ni damu , inakuaje mwanaume anakuwa na bikra , nyie wanawake wa 50/ 50 kuna mda mnakuwa vichaa.
 
***Kwa ufupi shughuli hajui na anaweza kuwa mtu mbaya sana kuishi naye

¶Ana Low self esteem. Hajiamini. Aidha kwasababu,

1)Ana maumbile madogo.
Anaogopa kulinganishwa.

Anafikiri ukiwa bikra una ka K kadogo so utahitaji machine ndogo. Anafikiri usipokuwa bikra una li K likubwa unahitaji muhogo wa jang'ombe, kwakuwa sisi ni maPorn star, kazi kudandia **** asubuhi hadi jioni siku saba za wiki.

(HIVI WANAPOSEMAGA TUMETUMIKA TUMECHOKA, hivi kati ya mwanamke aliyeolewa na mwanamke ambaye haishi na mwanaume, nani anafanya hizo shughuli karibia kila siku!!!)

2)Maumbile yake hayavutii.
Usione wanawake wanavyosemagwa. Jamani kuna mashine zinatisha sana. Zinatia hata ukakasi kuangalia.

Wengine ni process ya kawaida ya kuzeeka.

Basi anaona bora aoe bikra asiyejua kuwa Kuna aina nyingi.

Wanaonaga hatuna macho. Kweli wanawake tunavumilia mengi.

(ewe mwanaume usiye na hatia, wala usijali, kama kakupenda kakupenda tu)
(na kuna wajinga watasema nimepita kwingi ndomana Najua ziko tofauti. ni wajinga)

3)Ana matatizo ya nguvu za kiume au hajawahi kufikisha mwanamke.
Labda anawahi kufika.

Alikopita kakutana na magogo hivyo anajua hajawahi kuridhisha.
Anaona bora awe na mwanamke ambaye hajui kituo ni wapi asiaibike.

¶Shughuli hajui.
Anafikiri kinachohitajika ni dudu yake tu. Atakaa kukupiga saa Zima dada wa watu. Kumbe mwenzetu umeangukia kwa wale wasiofika kupitia "muingiliano".
Huwezi kuamini idadi ya wanawake ambao hawajui kituo ni wapi. Tunaolewaga shela tu maskini.

¶Hakujali.
Wakati yeye anakula ujana, anawaza mke wake yuko kwao anaosha vyombo, anamuwaza yeye mume wa kufikirika.

Anajiona yeye ndo ana haki ya kuvunja sheria za dini. Atakufunga kifikra na maneno kama "stara ya mwanamke ni bikra"

¶Ni MNAFIKI.
Baadae atatubu. Halafu ataanza kutafuta mwanamke bikra.

Atasema "asiye bikra atakuwa si mwaminifu". Yeye je?? Na pia kuonyesha jinsi shughuli haiwezi.

UTAHESHIMUJE MWANAUME MNAFIKI? Ni wa kudharaulika kama mtoto au mjinga.

Unafiki utakuwa sehemu ya maisha yenu. atakuwa mjuaji. Atajiona hakosei kama asivyoona uasherati wake.

###Mwanaume mwenye haki ya kudai bikra kwa sababu za kimaadili ni BIKRA tu. Anaonyesha yuko serious na viwango alivyojiwekea.

Ewe Dada, ni juu yako kuamua kama unataka kuwa na mwanaume anayetaka bikra wakati yeye hana.
Tunaruhisiwa kuoa kuanzia moja mpaka 700.Usiwadanganye wenzako ambao bado ni bikra wauze kwa chipsi. Kama una bwawa na hupati mtu komaa nalo tu, hakuna namna
 
Katika Mwanamke I Wish And Pray Not To Meet Ni BIKRA.
Such A Nuisance. Unaweza Ukasafa Mwaka Mzima Kupewa Game Na Siku Ya Gemu You Will Wish You Were Not There.
Kugonga Demu Bikra Na Kugonga MALAYA Famous Mtaani, I Will Go For The Whore A Million Times!
Huo ni uvivu na kukosa nguvu ya kiume
😂
(Kidding)
 
Back
Top Bottom