Mimi ni mwana Ikungi pure kabisa simuoni Lisu akijenga vyoo kama anayofanya Sugu MbeyaKumbe wewe si mkazi wa ikungi kwa mujibu wa maelezo yako ila title ya uzi inakuelezea wewe kama mwana ikungi PUMBAVU KABISA.
.
Wewe kama umetumwa na Bashiru au magufuli nenda kawaeleze wananchi wameshituka na MAUONGO yao wana dhambi mbaya sana na zitawaandama popote.
Naona umekua wa kwanza kucoment kwenye post yako
anajitekenya na kucheka mwenyewe.Naona umekua wa kwanza kucoment kwenye post yako
Lete video hata moja ya Lisu akizungumzia kero za wana Ikungi.anajitekenya na kucheka mwenyewe.
Mzee wa Brooklyn unaona Hawa maboya ndy wanaotuwekea usiku!Mkuu hawa ndio wale wanao-like their own posts!
Dudes ain't mentally balanced!
Lete ushahidi wa Lisu akiwasemea wana Ikungi shida zaoWho are you kuongelea wana Ikungi wote?
Au umeamka asubuhi ukakuna pumbu zako ukajiteua wewe binafsi uongelee wana Ikunga wote?
CCM kwa kujivalisha vyeo kama ufanyavyo wewe hivi hamjambo!
Kamuulize Kinana aliambulia nini alipokwenda Ikungi? watu walipiga masufuria ya mpunga na soda za nguvu na Kinana akaambulia kuchekwa tuuWananchi wanataka maji, shule ,barabara ,ujenzi wa vyoo kama Sugu anavyofanya jimboni kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Acacia na mabeberu wengine anaweza kuwasemea shida zao akiwa hapo kitandani?Hivi mzima kweli wewe?
Mtu kalala kitandani miaka kibao,atawezaje kuwatetea wakati yupo kitandani mahututi?
Niambie kwa akili yako,mtu huyu atawezaje kuongea that way?
Walao aliwatetea akiwa mzima bungeni ambao ndio sehemu sahihi hasa yenye effect!
Kuhusu kuwasemea kumbuka mimi sija-claim hivyo to begin with!
Atleast yeye ana madaraka kutoka kwao maana walimchagua!
By virtue anabeba well being yao....
Sasa wewe mwenzangu mkuna pumbu mwenzangu Ikunga haijawahi hata kukufahamu wewe ni mdudu gani,unajitia leo kuwaongelea as if wamekutuma!
We unazani ukipewa hivyo vyote lakini ukanyimwa uhuru wako kusema na kukosoa ndio uongozi bora?Wananchi wanataka maji, shule ,barabara ,ujenzi wa vyoo kama Sugu anavyofanya jimboni kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Mbeya wana uhuru lakini Ikungi hawana uhuru?We unazani ukipewa hivyo vyote lakini ukanyimwa uhuru wako kusema na kukosoa ndio uongozi bora?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Acacia na mabeberu wengine anaweza kuwasemea shida zao akiwa hapo kitandani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Acacia na mabeberu wengine anaweza kuwasemea shida zao akiwa hapo kitandani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nani aliwadanganya kazi ya mbunge ni kuleta maendeleo enyi malumumba? mbunge hakusanyi kodi... kazi ya kuletea wananchi maendeleo ni ya serikali.. Mo dewji alipokua anajenga visima, hospitali na mabarabara huko singida alikua anatoa hisani tu kwa kile mungu allichomjalia na sio kwamba alikua anadaiwa chochote kwa ubunge wake.... Kazi za Mbunge ni tatu tuHATOSHI KWA CHOCHOTE ZAIDI YA UCHOCHEZI:
Lissu ni mtu ambae ukifatilia uwezo wake wa kuwasaidia wananchi kimaendeleo hawezi kabisa lakini kuwachochea na kuwapandikizia chuki dhidi ya serikali anaweza asilimia mia kokote duniani.
Alipewa kura za ubunge ili awaletee wananchi maendeleo kule Singida lakini akarudi kwenye asili yake ya uchochezi na kujikuta kazi yake kubwa ni kuichokonoa serikali bila kujali ni nini alitumwa na wananchi.
Tangu awe mbunge kazi yake ni kusema mabaya tu kuhusu serikali huku akiwa hajui kero sahihi za wananchi wake Singida anayebisha aseme kawafanyia nini cha maana Singida.?? Hata siku moja huwezi kumsikia Lisu akizungumzia kero za wananchi wake.!
Kinachomuondoa kwenye ubora au kinachompoteza kwenye ubora ni kwamba "Hatoshi kuwa kiongozi" maana alikuwa bora katika harakati za haki za binadamu lakini alipopewa uongozi akapoteza ubora kwa kukosa hoja kabisa na akawa mtu wa kujadili matukio na ikumbukwe kiongozi mwenye uwezo wa kujadili sana matukio ni virahisi pia kutengeneza matukio ili apate sapoti ya wananchi kuyajadili.
Kiongozi hutumia hoja kufanya maendeleo huku mwanaharakati akiwa ni mtu wa matukio tu bila kuwa na hoja za kuwaletea wananchi maendeleo.
Mwisho Lissu hafai kuwa kiongozi ila anafaa kuwa mwanaharakati wa haki za binaadamu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najiuliza kama unastahili hata kujibiwa tu.. Una elimu kiwango gani?Mimi ni mwana Ikungi pure kabisa simuoni Lisu akijenga vyoo kama anayofanya Sugu Mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna nasaba ya watu wa Ikungi hata waliokutuma nao hawana. Kwa hiyo huna mamlaka ya kutusemea sisi wana wa Ikungi.HATOSHI KWA CHOCHOTE ZAIDI YA UCHOCHEZI:
Lissu ni mtu ambae ukifatilia uwezo wake wa kuwasaidia wananchi kimaendeleo hawezi kabisa lakini kuwachochea na kuwapandikizia chuki dhidi ya serikali anaweza asilimia mia kokote duniani.
Alipewa kura za ubunge ili awaletee wananchi maendeleo kule Singida lakini akarudi kwenye asili yake ya uchochezi na kujikuta kazi yake kubwa ni kuichokonoa serikali bila kujali ni nini alitumwa na wananchi.
Tangu awe mbunge kazi yake ni kusema mabaya tu kuhusu serikali huku akiwa hajui kero sahihi za wananchi wake Singida anayebisha aseme kawafanyia nini cha maana Singida.?? Hata siku moja huwezi kumsikia Lisu akizungumzia kero za wananchi wake.!
Kinachomuondoa kwenye ubora au kinachompoteza kwenye ubora ni kwamba "Hatoshi kuwa kiongozi" maana alikuwa bora katika harakati za haki za binadamu lakini alipopewa uongozi akapoteza ubora kwa kukosa hoja kabisa na akawa mtu wa kujadili matukio na ikumbukwe kiongozi mwenye uwezo wa kujadili sana matukio ni virahisi pia kutengeneza matukio ili apate sapoti ya wananchi kuyajadili.
Kiongozi hutumia hoja kufanya maendeleo huku mwanaharakati akiwa ni mtu wa matukio tu bila kuwa na hoja za kuwaletea wananchi maendeleo.
Mwisho Lissu hafai kuwa kiongozi ila anafaa kuwa mwanaharakati wa haki za binaadamu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app