Ewe Lissu, wana Ikungi hatujakutuma hayo

Ewe Lissu, wana Ikungi hatujakutuma hayo

Kumbe wewe si mkazi wa ikungi kwa mujibu wa maelezo yako ila title ya uzi inakuelezea wewe kama mwana ikungi PUMBAVU KABISA.
.
Wewe kama umetumwa na Bashiru au magufuli nenda kawaeleze wananchi wameshituka na MAUONGO yao wana dhambi mbaya sana na zitawaandama popote.
Mimi ni mwana Ikungi pure kabisa simuoni Lisu akijenga vyoo kama anayofanya Sugu Mbeya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lete ushahidi wa Lisu akiwasemea wana Ikungi shida zao

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi mzima kweli wewe?

Mtu kalala kitandani miaka kibao,atawezaje kuwatetea wakati yupo kitandani mahututi?

Niambie kwa akili yako,mtu huyu atawezaje kuongea that way?

Walao aliwatetea akiwa mzima bungeni ambao ndio sehemu sahihi hasa yenye effect!

Kuhusu kuwasemea kumbuka mimi sija-claim hivyo to begin with!

Atleast yeye ana madaraka kutoka kwao maana walimchagua!

By virtue anabeba well being yao....

Sasa wewe mwenzangu mkuna pumbu mwenzangu Ikunga haijawahi hata kukufahamu wewe ni mdudu gani,unajitia leo kuwaongelea as if wamekutuma!
 
Hivi mzima kweli wewe?

Mtu kalala kitandani miaka kibao,atawezaje kuwatetea wakati yupo kitandani mahututi?

Niambie kwa akili yako,mtu huyu atawezaje kuongea that way?

Walao aliwatetea akiwa mzima bungeni ambao ndio sehemu sahihi hasa yenye effect!

Kuhusu kuwasemea kumbuka mimi sija-claim hivyo to begin with!

Atleast yeye ana madaraka kutoka kwao maana walimchagua!

By virtue anabeba well being yao....

Sasa wewe mwenzangu mkuna pumbu mwenzangu Ikunga haijawahi hata kukufahamu wewe ni mdudu gani,unajitia leo kuwaongelea as if wamekutuma!
Mbona Acacia na mabeberu wengine anaweza kuwasemea shida zao akiwa hapo kitandani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi vyoo vya Lumumba ni Ikungi? Maajabu ya maCCM.
 
Huyu jamaa kweli nyoko! Hata akiwa kitandani mahututi bado misukule inaweweseka anapopumua 😀😀😀
 
Mbona Acacia na mabeberu wengine anaweza kuwasemea shida zao akiwa hapo kitandani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wananchi wanasemewa bungeni ndio pana maamuzi!

Ndio maana kukawa na Bunge!

Bunge ni consequential kutoa maamuzi ku-effect watu wa eneo fulani!

Kuwasemea kitandani nini sasa?Salamu za Krismas au nini?

Au kusemea kitandani tunaomba zahanati?

Una akili wewe raia au?

Acacia ni public issue ilikua inazungumziwa yeye akachangia!

Two different paradigms!

Geez!
 
Kuikosoa serikali ni kutetea maslahi mapana ya taifa letu. Lissu sio selfishness kwenye swala la maslahi ya taifa.

Mkuu unataka serikali ifanye madudu yeye aiunge mkono au akenue meno na kucheka cheka tu? Wananchi tunataka kiongozi mwenye strategies na plan za kuliongoza taifa letu.



Sent from my SM-J530F using Tapatalk
 
HATOSHI KWA CHOCHOTE ZAIDI YA UCHOCHEZI:

Lissu ni mtu ambae ukifatilia uwezo wake wa kuwasaidia wananchi kimaendeleo hawezi kabisa lakini kuwachochea na kuwapandikizia chuki dhidi ya serikali anaweza asilimia mia kokote duniani.

Alipewa kura za ubunge ili awaletee wananchi maendeleo kule Singida lakini akarudi kwenye asili yake ya uchochezi na kujikuta kazi yake kubwa ni kuichokonoa serikali bila kujali ni nini alitumwa na wananchi.

Tangu awe mbunge kazi yake ni kusema mabaya tu kuhusu serikali huku akiwa hajui kero sahihi za wananchi wake Singida anayebisha aseme kawafanyia nini cha maana Singida.?? Hata siku moja huwezi kumsikia Lisu akizungumzia kero za wananchi wake.!

Kinachomuondoa kwenye ubora au kinachompoteza kwenye ubora ni kwamba "Hatoshi kuwa kiongozi" maana alikuwa bora katika harakati za haki za binadamu lakini alipopewa uongozi akapoteza ubora kwa kukosa hoja kabisa na akawa mtu wa kujadili matukio na ikumbukwe kiongozi mwenye uwezo wa kujadili sana matukio ni virahisi pia kutengeneza matukio ili apate sapoti ya wananchi kuyajadili.

Kiongozi hutumia hoja kufanya maendeleo huku mwanaharakati akiwa ni mtu wa matukio tu bila kuwa na hoja za kuwaletea wananchi maendeleo.

Mwisho Lissu hafai kuwa kiongozi ila anafaa kuwa mwanaharakati wa haki za binaadamu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nani aliwadanganya kazi ya mbunge ni kuleta maendeleo enyi malumumba? mbunge hakusanyi kodi... kazi ya kuletea wananchi maendeleo ni ya serikali.. Mo dewji alipokua anajenga visima, hospitali na mabarabara huko singida alikua anatoa hisani tu kwa kile mungu allichomjalia na sio kwamba alikua anadaiwa chochote kwa ubunge wake.... Kazi za Mbunge ni tatu tu
1. Kutunga Sheria
2.Kuisimamia Serikali
3.Uwakilishi wa wananchi

Let that sink in for those lowlifes who will do anything to please their masters in high offices(Lumumba)...Pathetic!
 
HATOSHI KWA CHOCHOTE ZAIDI YA UCHOCHEZI:

Lissu ni mtu ambae ukifatilia uwezo wake wa kuwasaidia wananchi kimaendeleo hawezi kabisa lakini kuwachochea na kuwapandikizia chuki dhidi ya serikali anaweza asilimia mia kokote duniani.

Alipewa kura za ubunge ili awaletee wananchi maendeleo kule Singida lakini akarudi kwenye asili yake ya uchochezi na kujikuta kazi yake kubwa ni kuichokonoa serikali bila kujali ni nini alitumwa na wananchi.

Tangu awe mbunge kazi yake ni kusema mabaya tu kuhusu serikali huku akiwa hajui kero sahihi za wananchi wake Singida anayebisha aseme kawafanyia nini cha maana Singida.?? Hata siku moja huwezi kumsikia Lisu akizungumzia kero za wananchi wake.!

Kinachomuondoa kwenye ubora au kinachompoteza kwenye ubora ni kwamba "Hatoshi kuwa kiongozi" maana alikuwa bora katika harakati za haki za binadamu lakini alipopewa uongozi akapoteza ubora kwa kukosa hoja kabisa na akawa mtu wa kujadili matukio na ikumbukwe kiongozi mwenye uwezo wa kujadili sana matukio ni virahisi pia kutengeneza matukio ili apate sapoti ya wananchi kuyajadili.

Kiongozi hutumia hoja kufanya maendeleo huku mwanaharakati akiwa ni mtu wa matukio tu bila kuwa na hoja za kuwaletea wananchi maendeleo.

Mwisho Lissu hafai kuwa kiongozi ila anafaa kuwa mwanaharakati wa haki za binaadamu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna nasaba ya watu wa Ikungi hata waliokutuma nao hawana. Kwa hiyo huna mamlaka ya kutusemea sisi wana wa Ikungi.
 
Back
Top Bottom