Ewe Msukuma pitia Hapa

Ewe Msukuma pitia Hapa

Mleta uzi peleka uchochezi wako huko kwanza nahisi utakuwa shoga... *****.
 
Wasukuma ni watu wanaojiheshimu na si wabaguzi kwa kabila lolote pili wana sifa kuu ya ukarimu na upendo wa hali ya juu hivyo usitumie nafasi hii kufanikisha upumbavu wako kuwafanya wasukuma waonekane ni wabaguzi.
Kama ni ushamba tushasemwa ila tutabaki kuwa SUKUMA THE GREET.
 
TANGAZO TANGAZO...

WASUKUMA WOTE KESHO MNAOMBWA MFIKE KIJIJI CHA MAKUMBUSHO KUANZIA ASUBUHI SAA 3.
KUTAKUWA NA MAANDAMANO KUTOKA HAPO KUELEKEA IKULU KWA MHESHIMIWA RAIS.
DHUMUNI LA MAANDAMANO NI KUPINGA UDHALILISHAJI KWENYE MITANDAO NA WIVU TUNAOONEWA WASUKUMA TOKA BRAZA AWE RAIS.

MAANDAMANO HAYO YATAONGOZWA NA FIDQ NA HBABA.
USIKOSE..

NI MIMI MJUMBE WENU MANANZENGO
Hujielewi wewe jamaa!
 
Game over nikuletee wangapi mwanawane ili uzidi kukandamiza nimefuga wengi kwa ajili ya uwindaji.
 
Wasukuma ni watu wanaojiheshimu na si wabaguzi kwa kabila lolote pili wana sifa kuu ya ukarimu na upendo wa hali ya juu hivyo usitumie nafasi hii kufanikisha upumbavu wako kuwafanya wasukuma waonekane ni wabaguzi.
Kama ni ushamba tushasemwa ila tutabaki kuwa SUKUMA THE GREET.
Eti THE GREET ahahahah! Inapaswa kuwa THE GREAT.

Wasukuma muwe mnauliza bhana!
 
Back
Top Bottom