Hujielewi wewe jamaa!TANGAZO TANGAZO...
WASUKUMA WOTE KESHO MNAOMBWA MFIKE KIJIJI CHA MAKUMBUSHO KUANZIA ASUBUHI SAA 3.
KUTAKUWA NA MAANDAMANO KUTOKA HAPO KUELEKEA IKULU KWA MHESHIMIWA RAIS.
DHUMUNI LA MAANDAMANO NI KUPINGA UDHALILISHAJI KWENYE MITANDAO NA WIVU TUNAOONEWA WASUKUMA TOKA BRAZA AWE RAIS.
MAANDAMANO HAYO YATAONGOZWA NA FIDQ NA HBABA.
USIKOSE..
NI MIMI MJUMBE WENU MANANZENGO
Eti THE GREET ahahahah! Inapaswa kuwa THE GREAT.Wasukuma ni watu wanaojiheshimu na si wabaguzi kwa kabila lolote pili wana sifa kuu ya ukarimu na upendo wa hali ya juu hivyo usitumie nafasi hii kufanikisha upumbavu wako kuwafanya wasukuma waonekane ni wabaguzi.
Kama ni ushamba tushasemwa ila tutabaki kuwa SUKUMA THE GREET.
Hahahaaa tatizo waoga kuuliza, wanaogopa kuchekwaEti THE GREET ahahahah! Inapaswa kuwa THE GREAT.
Wasukuma muwe mnauliza bhana!