Ewe Mwalimu,je Unataka kuongeza kipato chako? "SOMA HAPA"

Fursa zipo mahala kote! sema AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO!
 
Hivi wewe ulisomea ualimu chuo gani? Kama kuoanisha kichwa cha habari na habari yenye humo ndani hujui, utaweza vipi kufuata Muhtasari (sylabus) na utakachowasilisha darasani?
 
Ahaaa hyo iko poa heb ka uko serious njoo Tarime me nijeuku huko fasta me sitak hzo fursa me nakuja 2 kwel tena yan nipa tial hata kesho nianze safari
 
Mwalimu wa sekondari anayependa kufanyia kazi Moshi mjini(manispaa) kutoka Kilosa-Morogoro piga 0764074642,ili ubadilishane.
 
Hello, nahitaji mwalimu wa kubadilishana. Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nipo bunda, mara. Nataka kubadilishana na mtu ambaye yupo Manyara, Dodoma, Singida au morogoro.

Wasiliana na mimi kwa Namba
0785111722 au 0764919658 au 0716959578
 

walimu wa siku hizi,,yaan et huyu nae ni mwalimu?? fani imeingiliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…