Ewe Mwana SAUT Wa 2006 Hadi 2009 Tafadhali JITOKEZE Tukutane hapa (Mega thread)

P unavituko sana.....! Nimeonana kwa bahati mbaya sana na Mswati pale dstv.....

S Na Wewe Huishiwi Vituko Mno.........Sema Umeonana Na Mwana UWT Mwenzio Makao Makuu Yenu. Kwani PCCB Na TISS Hamna Tofauti Sana. Vipi Bado Upo Tegeta?
 
S Na Wewe Huishiwi Vituko Mno.........Sema Umeonana Na Mwana UWT Mwenzio Makao Makuu Yenu. Kwani PCCB Na TISS Hamna Tofauti Sana. Vipi Bado Upo Tegeta?

Hahahahahahaha.... ntakutafuta....
 
Nimemiss mbwembwe za Fawasco na Pro Life. Baso wakifunga mziki, PR wakiwa na kikundi cha Ngoma.

Mitaa ya Nyamalango mpaka Darfur kiumeni.

Watu mmeacha watoto wenu wengi mliozaa na wananzengo.


Hahaaahaa .. BASOOO MBWEMBWEE
 

luzangi ni shidah,
walimu wote nitawasahau,ila si masanja amenisaidia sana chuoni.mungu ambariki.
 
luzangi ni shidah,
walimu wote nitawasahau,ila si masanja amenisaidia sana chuoni.mungu ambariki.

Fr. Benard Mfumbusa..sitakaa nimsahau huyu mzee alinisaidia sana baada ya ofis ya admission kutaka kunichakachua namba yangu ya chuo teh kisa nilichelewa kuripoti..winie na alex janja sana hawa watu..ila niliwakomesha..:biggrin1:
 
Fr. Benard Mfumbusa..sitakaa nimsahau huyu mzee alinisaidia sana baada ya ofis ya admission kutaka kunichakachua namba yangu ya chuo teh kisa nilichelewa kuripoti..winie na alex janja sana hawa watu..ila niliwakomesha..:biggrin1:

Fr. Dr. Bernadin Mfumbusa Kwangu Mimi Ni Zaidi Ya Mwalimu Na Watu Wa Tasnia Yetu Ya Mawasiliano Ya UMMA Na Habari Tuliopitia SAUT Mtakubaliana Na Mimi Kuwa Huyu Jamaa Ni JEMBE LILILOTUKA Na Amevuka Level Ya Intelligent Na Ni Pure Genius Wa Karne Hii. Namshukuru Kwa KUNIPIKA Kwake Na NIMEPIKIKA Na Sasa Ni Askofu Kwa Watani Zangu Mkoani Singida. Nilipenda Mno Aendelee Kufundisha Kwani Ni HAZINA Kubwa Sana KITAALUMA. Ana Vitu Adimu Mno Ambavyo Huwezi Kuvikuta Kwa Wahadhiri Wengine. Najitahidi Nimuige Lakini Sijafikia Hata Tu Theluthi Yake Badala Amebakia Tu Kuwa Mentor Wangu. Najua Hata Humu JF Huwa Yupo Sana Tu Na Hii Post Yangu Nina Uhakika Ataiona Tu Na Namwomba Apokee Kwa Mikono Miwili Hizi SIFA Zangu ZILIZOTUKUKA Kwake. Shikamoo Mwalimu Mfumbusa a.k.a Mzee Wa Makavu Live!
 
SAFI SANA KWA KWELI MUNGU AZIDI KUMBARIKI NA KUMPA UMRI MREFU.. I WISH NINGEKUA NA MAWASILIANO NAO HATA NINGEWEZA KUMZAWADIA BILA YEYE NISINGEKUA NIMEPATA HATA HICHI KIDEGREE CHA PROCUREMENT MAANA YULE SECRETARY WA ADMISSION ENZI HIZO WINNIE ALINILETEA KAUZIBE... KWENYE RIZIKI YANGU MWEEH:biggrin1:
 
Hahaaahaa .. BASOOO MBWEMBWEE
Dah..., Baso mbwembwe umenikumbusha mbali sana. Course iliyokuwa na watu wenye kila aina ya mikogo.

Akina Fredy waanzilishi wa Baso Foundation na akina Nchimbi, akina Sessy, Fadhili, akina Octer, Jefta etc etc.

Ikafata Baso yetu sasa ya akina Munuo Arnold, Hashim, Jimmy Ngowi, akina Mage Mpwaji, Schola, wale akina Gertu aliyekuwa dem wa Chiddy wa mascom etc etc

Proud to be a SAUT alumni (2007~2010)
 
jamani namtafuta diana lugemalila mwenye contacy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…