blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Unamkata mmeo/mpenzi wako stim. Haiwezekani yani mwamba kajitahidi kusukuma mashine hadi jasho linamtoka.
Wewe punde tu unakurupukia simu na kuingia kwenye makundi ya vikoba. Unakata stim.
Walau pretend.. pitiwa hata na kausingizi kakinafiki...legeza sauti na legeza macho, hii itamfanya mpenzi wako ajihisi kidume. Hata ukiomba hela utapewa.
Acha jeuri.
🤣🤣
Wewe punde tu unakurupukia simu na kuingia kwenye makundi ya vikoba. Unakata stim.
Walau pretend.. pitiwa hata na kausingizi kakinafiki...legeza sauti na legeza macho, hii itamfanya mpenzi wako ajihisi kidume. Hata ukiomba hela utapewa.
Acha jeuri.
🤣🤣