Ewe mwanamke kwanini umpumbaze mumeo? Una faidika nini!?

Ewe mwanamke kwanini umpumbaze mumeo? Una faidika nini!?

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,858
Reaction score
23,768
Unapomnyang'anya mumeo Sauti, Mamlaka, Hadhi ya ubaba inakusaidia nini!?

Na kwanini unafanya hivyo.!?

Mbona kijana wa watu hana hatia kabisa. Uhuru unaoutaka wa kujiachia, kuwa na Wanaume wengine,kuushika mshahara wake, kumzalia watoto wasio wake n.k. inakusaida nini!?

Kwanini usiachane nae!? Kwanini usimwache aende!!? Unawaleta wanaume mbele yake,,wanakulala.

Unamfanya achukie ndugu zake, asiwajali wazazi wake.

Hivi inakusaidia nini!? Nyinyi wanawake wenye tabia hii ya kipumbavu.

 
C tuliambiwa tuishi nao Kwa akili mkuu .iweje akuzidi akili wakati ulishapewa tahadhari kitamboo..
 
Jamani acheni kuoa. Ndoa ni old school, zilikuwa na maana enzi za Yesu na Mohammad SAW. Enzi hizo kumpata demu wa kumgonga nje ya ndoa ilikuwa haiwezekani.

Siku hizi ni vigumu kumpata demu wa kuoa kuliko kumpata demu wa kumgonga. Kwann mnajitafutia stress.
 
Back
Top Bottom