Ewe mwanamke ni bora ujiongezee kishundu(mkia) kuliko kujichubua

Ewe mwanamke ni bora ujiongezee kishundu(mkia) kuliko kujichubua

Mkuu niseme tu labda wewe bado hujagunduwa tu
Na umechelewa kuunda tume lakini
Mubashara hiyo ni sehemu ya viungo katika medani ya mapishi kwa mfano mchele kuna wanaopenda pilau wengine biriani na wengine wali mweupe
Nadhani wamejaribu kuboresha lakini wamechemka.
 
Wenye tabia ya kujichubua hivyo mara nyingi ni makabira ya kusini wakija dar wanawehuka hivyo asilimia yahn anajichubua usoni mweupe kuanzia shingoni kushuka chini ni shidah...

Vyote havifai kujichubua kuna madhara na kuongeza chura pia kuna madhara...tujifunze kulizika na tulochojaaliwa na mungu hakuna namna..
 
Mimi napenda sana dem aliejichubua mwili mzima, nawapenda sana
 
Back
Top Bottom