Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Uliposema chagua nilisita kidogoo, ila umemalizia vizuri. Nimuombe Mungu anipe mume mwema.Nimeona nipakue post zako wew,
Duuuu nimeona wew sio talkative sanaaa, pia sio mjuaji sana.
Advice,,,
Waitaji mwanaume kichwa na nakusii chagua mume kwa umakin endapo bado hujaolewa, Kumbuka kusali Mungu akupe Mume mwema.
Hakika kwa akili zangu sitaweza kuchagua mume ila naamini Mungu ndo atakayenichagulia!
Asante mkuu, blessed!