Ewe Mwanamke Wa JF, Ukipata Mwanaume JF Jua ndio Mwanaume Bora Tanzania

Ewe Mwanamke Wa JF, Ukipata Mwanaume JF Jua ndio Mwanaume Bora Tanzania

Nimeona nipakue post zako wew,

Duuuu nimeona wew sio talkative sanaaa, pia sio mjuaji sana.
Advice,,,
Waitaji mwanaume kichwa na nakusii chagua mume kwa umakin endapo bado hujaolewa, Kumbuka kusali Mungu akupe Mume mwema.
Uliposema chagua nilisita kidogoo, ila umemalizia vizuri. Nimuombe Mungu anipe mume mwema.
Hakika kwa akili zangu sitaweza kuchagua mume ila naamini Mungu ndo atakayenichagulia!

Asante mkuu, blessed!
 
Nikuulize kitu...
Wew hao unao waona huko ulipo unafikir wote wapo JF????
Hujiulizi kwa nn wapo wanaojiunga na wasiojiunga? Why?

Kiukweli tu kwa sisi wavulana humu kila mvulana anakaa kwa reality, kama uamin anza kupakua post za watu wanaoandika ujinga utakuta ni ujinga mfululizo, lakin wanaojitambua wapo na ni weng tu kuacha vitoto vya shule vinavyozamia humu havijui maisha vizur mambo mengi vinawaza na kusoma madaftar.
Mkuu sio wote walioko mtaani wapo JF na vivyo hivyo sio wote wapo mitandao mingine ya kijamii!
Kuwepo ama kutokuwepo JF ni uamuzi wa mtu mkuu. Ila wanaume walioko humu ndo hao huko nje nikimaanisha wapo wazuri na wenye tabia mbaya pia.

Kuwepo humu ndani hakutufanyi wote kuwa watakatifu. Kila mtu ana tabia yake!
 
Ni kweli, lakini mm naona kama humu kupata mwenye sifa ni lahis japo sio wengi.

Unaamin mm kwa sasa najua tabia yako for 50 percent.
Mkuu sio wote walioko mtaani wapo JF na vivyo hivyo sio wote wapo mitandao mingine ya kijamii!
Kuwepo ama kutokuwepo JF ni uamuzi wa mtu mkuu. Ila wanaume walioko humu ndo hao huko nje nikimaanisha wapo wazuri na wenye tabia mbaya pia.

Kuwepo humu ndani hakutufanyi wote kuwa watakatifu. Kila mtu ana tabia yake!
 
Ni kweli, lakini mm naona kama humu kupata mwenye sifa ni lahis japo sio wengi.

Unaamin mm kwa sasa najua tabia yako for 50 percent.
Kwa huku sio rahisi kabisaaa mkuu, mtu anaishi kulingana na ID yake! Wengi wanavyoandika sivyo walivyo!

Kama unajua ni 10% na hizo nimekupa saana
 
Mi nikwambie tu ukiwa mtu muelewa ni rahis sana kutambua kuwa mtu huyu katoa ushahuri fulan kwa kudanganya au kwakusema kweli analolijua yeye.

Maana humu JF mala nyingi tunashauliana, alafu nimependa sana option walio weka ya kuweza kuona post za member fulan zoteeee toka kajiunga JF

So nirahs sana kujua tabia ya mtu,
Kam uamin mm nitaku PM alafu nianze kutaja tabia yako.

Na nilijua wew swala la wanaume hujawazoea vizur na ni ngumu kwako kuwahoji ndivo ulivo wafikr why nmehs ivo kwako?
Kwa huku sio rahisi kabisaaa mkuu, mtu anaishi kulingana na ID yake! Wengi wanavyoandika sivyo walivyo!

Kama unajua ni 10% na hizo nimekupa saana
 
Mi nikwambie tu ukiwa mtu muelewa ni rahis sana kutambua kuwa mtu huyu katoa ushahuri fulan kwa kudanganya au kwakusema kweli analolijua yeye.

Maana humu JF mala nyingi tunashauliana, alafu nimependa sana option walio weka ya kuweza kuona post za member fulan zoteeee toka kajiunga JF

So nirahs sana kujua tabia ya mtu,
Kam uamin mm nitaku PM alafu nianze kutaja tabia yako.

Na nilijua wew swala la wanaume hujawazoea vizur na ni ngumu kwako kuwahoji ndivo ulivo wafikr why nmehs ivo kwako?
Humu ndani watu wanaishi kulingana na mtu anayezungumza naye nyuma ya keyboard!

Ukitaka uone wanaume wapole wapo humu, wakorofi wapo na wanawake vile vile! Mtu mmoja anaweza kuwa na tabia za watu watano kwa watu tofauti!

Sijui unanisoma vipi ila naomba tuishie hapa tuu mkuu!
 
Ebu nipe ID ya mtu ambae unaona anatabia nyingi then tuishie apo.
Humu ndani watu wanaishi kulingana na mtu anayezungumza naye nyuma ya keyboard!

Ukitaka uone wanaume wapole wapo humu, wakorofi wapo na wanawake vile vile! Mtu mmoja anaweza kuwa na tabia za watu watano kwa watu tofauti!

Sijui unanisoma vipi ila naomba tuishie hapa tuu mkuu!
 
Bahati mbaya sana huwa sinaga tabia ya kufuatilia ID ya mtu! Ila wewe hebu jaribu tuu utagundua hilo!
Pouwa,

Hata apo unaendelea kutoa maelezo juu ya tabia yako.
82397518618479cb2877916655c72a06--stylish-hairstyles-teacher-tips.jpeg
 
Back
Top Bottom