Uliposema chagua nilisita kidogoo, ila umemalizia vizuri. Nimuombe Mungu anipe mume mwema.Nimeona nipakue post zako wew,
Duuuu nimeona wew sio talkative sanaaa, pia sio mjuaji sana.
Advice,,,
Waitaji mwanaume kichwa na nakusii chagua mume kwa umakin endapo bado hujaolewa, Kumbuka kusali Mungu akupe Mume mwema.
HapanaWanaume wa JF naona kama wameshushwa kwa Mungu
Mkuu sio wote walioko mtaani wapo JF na vivyo hivyo sio wote wapo mitandao mingine ya kijamii!Nikuulize kitu...
Wew hao unao waona huko ulipo unafikir wote wapo JF????
Hujiulizi kwa nn wapo wanaojiunga na wasiojiunga? Why?
Kiukweli tu kwa sisi wavulana humu kila mvulana anakaa kwa reality, kama uamin anza kupakua post za watu wanaoandika ujinga utakuta ni ujinga mfululizo, lakin wanaojitambua wapo na ni weng tu kuacha vitoto vya shule vinavyozamia humu havijui maisha vizur mambo mengi vinawaza na kusoma madaftar.
Bora uwaambie maana kuna watu wanatuona humu kama mapazia ya kanisa.
Kanisani, Club sijawahi kufika.Mapazia ya kanisa au ya kilabu?
Ni historia ndef ya kuhuzunisha ndio maana nimekutengaKaka umenisusa kabisa yan
Mkuu sio wote walioko mtaani wapo JF na vivyo hivyo sio wote wapo mitandao mingine ya kijamii!
Kuwepo ama kutokuwepo JF ni uamuzi wa mtu mkuu. Ila wanaume walioko humu ndo hao huko nje nikimaanisha wapo wazuri na wenye tabia mbaya pia.
Kuwepo humu ndani hakutufanyi wote kuwa watakatifu. Kila mtu ana tabia yake!
Weka ushahidiTena ndo wengi
Kwa huku sio rahisi kabisaaa mkuu, mtu anaishi kulingana na ID yake! Wengi wanavyoandika sivyo walivyo!Ni kweli, lakini mm naona kama humu kupata mwenye sifa ni lahis japo sio wengi.
Unaamin mm kwa sasa najua tabia yako for 50 percent.
Kwa huku sio rahisi kabisaaa mkuu, mtu anaishi kulingana na ID yake! Wengi wanavyoandika sivyo walivyo!
Kama unajua ni 10% na hizo nimekupa saana
Humu ndani watu wanaishi kulingana na mtu anayezungumza naye nyuma ya keyboard!Mi nikwambie tu ukiwa mtu muelewa ni rahis sana kutambua kuwa mtu huyu katoa ushahuri fulan kwa kudanganya au kwakusema kweli analolijua yeye.
Maana humu JF mala nyingi tunashauliana, alafu nimependa sana option walio weka ya kuweza kuona post za member fulan zoteeee toka kajiunga JF
So nirahs sana kujua tabia ya mtu,
Kam uamin mm nitaku PM alafu nianze kutaja tabia yako.
Na nilijua wew swala la wanaume hujawazoea vizur na ni ngumu kwako kuwahoji ndivo ulivo wafikr why nmehs ivo kwako?
Humu ndani watu wanaishi kulingana na mtu anayezungumza naye nyuma ya keyboard!
Ukitaka uone wanaume wapole wapo humu, wakorofi wapo na wanawake vile vile! Mtu mmoja anaweza kuwa na tabia za watu watano kwa watu tofauti!
Sijui unanisoma vipi ila naomba tuishie hapa tuu mkuu!
Bahati mbaya sana huwa sinaga tabia ya kufuatilia ID ya mtu! Ila wewe hebu jaribu tuu utagundua hilo!Ebu nipe ID ya mtu ambae unaona anatabia nyingi then tuishie apo.
Pouwa,Bahati mbaya sana huwa sinaga tabia ya kufuatilia ID ya mtu! Ila wewe hebu jaribu tuu utagundua hilo!
Tunaongea tuu jamani!
Tunaongea tuu jamani!
Mmmhmimi nimejua tayar wew kama ni umbea labda kidogo sana, sikuwek kundi la wambea had hapo.
Mmmh
Ungejua nilivyo kambea tuu!
YeahUmeshinda yaishe
Mmbea ila muhoga.