[emoji3][emoji3]kumbe, mnatutabia twa chini chini ma silent killerHuwa naogopa sana watu wakimya na wapole.
Najua walivyo maana nami ni miongoni mwao.
Karibu Sana ... so umeridhika sasa eehh !!?Oooh....nimekuelewa sana hearly asantee nami nimejifunza kitu hapo [emoji122][emoji122]
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji3][emoji3]kumbe, mnatutabia twa chini chini ma silent killer
[emoji3]ndiyoo nimeridhika babaKaribu Sana ... so umeridhika sasa eehh !!?
Haha sawa " kuwa neutral vivyo hivyo ...[emoji3]ndiyoo nimeridhika baba
Ya Mungu mengi, walio humu ndo tuko nao mitaani, makanisani kila kona ya dunia! Tabia zao ndo hao huko nje, wapo wazuri na wabaya pia. Sio kwamba kuwa JF ni kuwa sayari nyingine
[emoji4][emoji4][emoji4]sawa sawaHaha sawa " kuwa neutral vivyo hivyo ...
Usitamani kubadilika
WachacheOoohh wapo hata mapopoma[emoji847]
Wacheche bhanaaTena ndo wengi
Huwezi mtambua mtu 100% kwa mwandikoMiandiko yao inajidhihirisha
Wanaume wa JF naona kama wameshushwa kwa MunguYa Mungu mengi, walio humu ndo tuko nao mitaani, makanisani kila kona ya dunia! Tabia zao ndo hao huko nje, wapo wazuri na wabaya pia. Sio kwamba kuwa JF ni kuwa sayari nyingine
Mkuu JF tupo vzrIla JF wanajitahidi....
Hahahahah
Wanakosa bahatiNimetafuta humu sijapata hata mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa kuwa hawatujui cjui
We kaka una vichekesho sana [emoji23][emoji23]Bora uwaambie maana kuna watu wanatuona humu kama mapazia ya kanisa.
Ya Mungu mengi, walio humu ndo tuko nao mitaani, makanisani kila kona ya dunia! Tabia zao ndo hao huko nje, wapo wazuri na wabaya pia. Sio kwamba kuwa JF ni kuwa sayari nyingine
Unacheka nini?Hahahahahahaha
Huku tunatumia Mkuu!!Kaka Shikamoo
Wewe bado hujapataga huku bado?Mume mwema niko nakusubiri hapa [emoji847]
Nishalike mremboMwanamme like hapa nikupm