Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Wewe sio mwanamke wa mtu?
Hapana ni single mother
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sio mwanamke wa mtu?
Dada ako shunie kakasirika alikua anitumie ujumbe wa hasiraJamani jamanii
Mungu anakuona ujue!
Hahhaahhah jinga wewe
Sorry shunie its just we are aving funy, so it was jokes tu, hata sakayo namuita kichwa panzi tho she knows simaanishi, ngoja niifuteUmekuwaje lakini umeongea maneno mazito sana ujue
Nawapenda sana nyie.Hapana ni single mother
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]walokole ndo makanisa yao hayana mapaziaUtakuwa mlokole wewe.
Na ukomeeeSorry shunie its just we are aving funy, so it was jokes tu, hata sakayo namuita kichwa panzi tho she knows simaanishi, ngoja niifute
MwenyeweAiseeehhh [emoji41]
Mnawasema vibaya walokole[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]walokole ndo makanisa yao hayana mapazia
Changia nawewe niisome comment yakoNipo nasoma comments tu
Hahahaha bro inaonyesha wewe ni muaminifu sana kwenye mahusiano but mwishoni huwa unaishia kwenye maumivu.!!Kiukwel mwanamke atakae pata bahati ya kuolewa na mimi atakua kaokota almas mtaa wa kongo.. Nafanya kila kitu nachoona kitafaa ili aje kuushi maisha ya furaha na amanii.. Usinitese tu we mwanamke
Acha basi, mimi ndiyo unanionea umenisema na huyo black woman kama mimi ni mmoja kati ya mapopomaNa ukomeee
Umezoea kunionea eehhh
Eeeh maana wanakuwa wengi hivyo madirisha yanatakiwa yawe wazi.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]walokole ndo makanisa yao hayana mapazia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseeEeeh maana wanakuwa wengi hivyo madirisha yanatakiwa yawe wazi.
Sawa madame nachangia nita ku-tagChangia nawewe niisome comment yako
Hayaa nasubiriSawa madame nachangia nita ku-tag
Wewe wacheke tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee
Bila uwongo nyie huwa hamkubali..Mtuambie kabisa ni waume za watu
Tumechoka kudanganywa