Ewe Mwanaume Usiwe ****! Kama Una Demu type Hii, Nakusihi FUTA DELETE KABISAAA!

Ewe Mwanaume Usiwe ****! Kama Una Demu type Hii, Nakusihi FUTA DELETE KABISAAA!

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Ukiona Msichana anaongea hivi au kila siku anajifanya
kukushtakia ''Baby kuna mkaka ofisini ananisumbua
kweli sijui kapata wapi namba yangu analeta zawadi
mara anataka kunitoa lunch...Ananiudhi mimi basi
tu" Aina hii ya Wasichana ni Cheuro na Kijoti....Hamna
kitu hapo..Anakutishia kwamba amekataa wanaume wa maana ili umuone wa maana kumbe hamna
lolote....Anasema kakataa mtu ofisini lakini huyohuyo
amekubali wengine 3 mtaani mbona hajawasema....Msichana kutongozwa ni kawaida na sio kuja kutishia
eti wanaume uliokataa ni wengi sana..Hata Yesu
anakataliwa kila siku..
Ewe Mwanaume usiwe juha...Kama una demu type hii nakusihi FUTA
DELETEKABISAAAA
 
umenishauri naenda kufanya maafa. Jiandae kunishauri nikiwa mpweke
 
delete ukipata mbadala wa uyo mwenye vitisho!
isije yakawa ya kuombana msamaha badae tena
 
Ukiona Msichana anaongea hivi au kila siku anajifanya
kukushtakia ''Baby kuna mkaka ofisini ananisumbua
kweli sijui kapata wapi namba yangu analeta zawadi
mara anataka kunitoa lunch...Ananiudhi mimi basi
tu" Aina hii ya Wasichana ni Cheuro na Kijoti....Hamna
kitu hapo..Anakutishia kwamba amekataa wanaume wa maana ili umuone wa maana kumbe hamna
lolote....Anasema kakataa mtu ofisini lakini huyohuyo
amekubali wengine 3 mtaani mbona hajawasema....Msichana kutongozwa ni kawaida na sio kuja kutishia
eti wanaume uliokataa ni wengi sana..Hata Yesu
anakataliwa kila siku..
Ewe Mwanaume usiwe ****...Kama una demu type hii nakusihi FUTA
DELETEKABISAAAA

Hizi nyuzi unamwaga hapa kila siku huwa zinakuhusu wewe au umebalikiwa tu kipaji cha utunzi?
Maana kila siku lazima upost nyuzi si chini ya mbili au ni sifa?
 
Wanawake zamani walikuwa hawachepuki ila miaka hii ya kikwete na maguful utafikir wamefungwa mota wanahangaika sana.


Wanaume msipunguze kuwagonga gonga mpka wajitambue.
 
Hizi nyuzi unamwaga hapa kila siku huwa zinakuhusu wewe au umebalikiwa tu kipaji cha utunzi?
Maana kila siku lazima upost nyuzi si chini ya mbili au ni sifa?


Hizi nyuzi unamwaga hapa kila siku huwa zinakuhusu wewe au umebalikiwa tu kipaji cha utunzi?
Maana kila siku lazima upost nyuzi si chini ya mbili au ni sifa?



Sheria za jamiiforum hazimzuii.
 
Kuna mmoja aliniambia kamkataa Diamond, na mheshimiwa flani hivi...
Yaani ni sheedah hawa watu wa aina hii kwa kweli!
 
Back
Top Bottom