Ewe Mwanaume Usiwe ****! Kama Una Demu type Hii, Nakusihi FUTA DELETE KABISAAA!

Ewe Mwanaume Usiwe ****! Kama Una Demu type Hii, Nakusihi FUTA DELETE KABISAAA!

Kuna mmoja aliniambia kamkataa Diamond, na mheshimiwa flani hivi...
Yaani ni sheedah hawa watu wa aina hii kwa kweli!
Hahaha sasa kama amemkataa Mondi wewe inakuhusu nini au ndo anakutisha usije ukamuacha?
 
Hizi nyuzi unamwaga hapa kila siku huwa zinakuhusu wewe au umebalikiwa tu kipaji cha utunzi?
Maana kila siku lazima upost nyuzi si chini ya mbili au ni sifa?
Kwani JF kupost kwa siku mwisho nyuzi ngapi??
 
Izi pigo aniletee kabla sijala mzigo lakin mzigo nimekula bas ilo nijipu na mda wake utakua umefika wakulitumbua
 
malaya huyo,sawa na anaekwambia fulani kanitongoza,anaenda kusimulia mashoga zake wote ila siku ya kuvua chupi hawatumii hata zile snap zao kuwa najiandaa kubanduliwa
 
Mleta maada, huwa nafurahia sana kuona maada zako, yaani nikifungua tu link na kuona jina lako, najua leo kuna jipya humo.

Huwa najiuliza, sijui hawa wenzetu wa kike walikufanyia nini aisee, ama una history gani mbovu nao, maana daah!

Ila nijuavyo ni kuwa, kadiri siku zinavyokata, unazidi kujiongezea maadui wa kike humu, najikuta tu nawaza hivyo.

Ahsante!
 
malaya huyo,sawa na anaekwambia fulani kanitongoza,anaenda kusimulia mashoga zake wote ila siku ya kuvua chupi hawatumii hata zile snap zao kuwa najiandaa kubanduliwa
Haahahah Aisee sijui kwenye vichwa vyao wanawaza nini haha
 
hata akikwambia tuu kua fulani kanitongoza,mm huwa namdharau pia coz mbona asilete list ya waliomgegeda
 
siwezi kuwa na faili moja linalonisumbua wakati ninayo mengi dawa nikuli delete kabisa hakuna namna
 
when the deal is good think twice May be ana kitu demu kama huyo
 
Back
Top Bottom