makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Kwa kuwa ni jobless wakikataa mahari ya bure basi Sheria inasema mahari isizidi laki Moja itakayolipwa kwa mafungu mafungu kwa muda wa miaka 20naam, mchumba lazima aolewe.
makutupora je mahari tuta lipa ngapi😃🤣
Mnafanya mchezo na maishaMh. Raisi wa majobless pro max Intelligent businessman napenda kusema me nikataka kuoa nitawakodi maana kuna muongozo niliupata toka kwa katibu wa majobless pro max min -me kuwa mnaweza kuongea na wakwe ili muoaji asitoa mahali au ikishindakana basi apate punguzo la mahali, hilo ni ombi langu
Hakuna haja ya kusubiri kuambiwa, ukiona dalili zote hizo ulizoorodhesha basi unaambiwa hiki kipengele namba 5.5. Mtaarifu ikiwa hutopenda kuendelea kumpa hifadhi. Kama unaona hauna mipango ya kuendelea kukaa naye, basi mpe habari ili ajipange, haitopendeza ukimuimbia taarab hovyo.
Ok vizuriYa kuongea na wakwe usitoe mahali au upunguziwe mahali na upewe na mtaji😂😂😂
Kidumu aseeh chama.....naam kidumu chama Cha ma jobless pro max
Natembea tuHakuna haja ya kusubiri kuambiwa, ukiona dalili zote hizo ulizoorodhesha basi unaambiwa hiki kipengele namba 5.
[emoji3516]Salam wakuu, andiko hili ni kwa ajili ya kuelimisha jinsi jamii inavyo paswa kuishi na ma jobless pro max.
Jamii yetu ina watu mbali mbali, wapo wenye ajira, ma jobless pro max, watu wa daraja la kati na hata wakishua. Shida inaanza baadhi ya wanajamii wanakosa utu na akili, na kupelekea kuwa ona ma jobless Kama midoli.
Haya ewe mzazi, mlezi, rafiki, zingatia haya pindi unapo kaa na jobless yoyote.
1. Usiingilie ratiba ya jobless pasipo kumtaarifu. Kama ame lala, usijifanye kumuamsha asubuhi asubuhi as if yeye ni toy lako la kuchezea.
2. Usimseme seme jobless, wakati wa chakula. Kama kuna mambo hayako sawa tafuta wakati mzuri myazungumze.
3. Usimtukane jobless kisa kukosa kazi au shughuli ya kuendesha maisha yake. Amini nakwambia kuna watu wanajifanya ni mabingwa wa kuhukumu watu, kisa tu kakosa shughuli usi muone mvivu, au mzigo, hizi kejeli zinamuathiri kisaikolojia.
4. Usimtume tume jobless kila mara, kumbuka hata punda ana mapumziko. Kukosa kwake shughuli haku kupi wewe nafasi ya kujiona mfalme. Kumbuka Kuwa utazeeka.
Sasa sijui akijipata itakuwaje.
5. Mtaarifu ikiwa hutopenda kuendelea kumpa hifadhi. Kama unaona hauna mipango ya kuendelea kukaa naye, basi mpe habari ili ajipange, haitopendeza ukimuimbia taarab hovyo.
6. Usimtolee kauli ya mfano wa kushindwa mbele ya wengine. Riziki haitoki mikononi mwako, siku Moja akichoka anaweza kukupasua huo mdomo.
Raisi wa chama Cha ma jobless pro max Intelligent businessman. Kidumu chama Cha ma jobless pro max.
Hakuna ubaguzi, umoja, upendo na amani. Sikiliza na tatua changamoto za ma jobless pro max.
View attachment 3225110
hicho cheo hupati, na hiyo majora sijui majjui tupa kule[emoji3516]
MIMI KAMA KATIBU MWENEZI WA UMAJOTA (UMOJA WA MAJOBLESS TANZANIA),
NASEMA TUKO PAMOJA SANA!!!!
Kuna fursa huko za TRA una mawazo Gani katika Hilo!Habari majobless pro max
Nili mwambia wakili wa chama Selikavu aposti, nendeni mkaombe vijana.Kuna fursa huko za TRA una mawazo Gani katika Hilo!
Intelligent businessman Mh. Rais wa Majobless Promax
Kwema kabisa, una endeleaje ewe mwanachama wa ma jobless pro max.Habari majobless pro max
Unaonaje tukiwatambua wanachama wetu ambao Wana sifa na watatuma maombi Kisha tuwapigie debeeNili mwambia wakili wa chama Selikavu aposti, nendeni mkaombe vijana.
Naendelea vizuri raisi wa majobless pro max.Kwema kabisa, una endeleaje ewe mwanachama wa ma jobless pro max.
wacha bangi, nimesha jua unacho wazia🤣😂Unaonaje tukiwatambua wanachama wetu ambao Wana sifa na watatuma maombi Kisha tuwapigie debee
Nobody to Malice.We mean no malice to nobody
Ina pendeza kuona ma jobless pro max ni wazima.Naendelea vizuri raisi wa majobless pro max.
Hamna nipo seriously kabisa!wacha bangi, nimesha jua unacho wazia🤣😂
Mawazo mazuri Selikavu, makutupora, min -me, ThecoderHamna nipo seriously kabisa!
Tukiupata idadi ya wanachama wenye sifa na ambao watafanya maombi tutaanza kuwapigia debe!
Kuwaonganisha wao kwa wao ili kuunda groups za kupeana hints na materials
Pia tutatumia jambo hili kuwa kama kipimo.
Je katika wanachama wetu wangapi watapita ili kupata uhalali wa kuisema TRA kama wanapeana kazi kwa michongo!
Jamii forum ni platform kubwa sana kwa kutumia chama chetu tutaweza kuwasaidia wengi ili interview zifanyike kwa Haki!
Niliongea na Presidaa Mchana kumpa taarifa nilimtumia hio barua akasema niileta huku kuna issue ikaingiliana nikashindwa kuiletaKuna fursa huko za TRA una mawazo Gani katika Hilo!
Intelligent businessman Mh. Rais wa Majobless Promax