Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Unamaanisha...pata mpenzi kabla hujamwacha wa sasa?Panda mti kabla ya kukata mti, that's the principle!! Don't invest too much in love...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha...pata mpenzi kabla hujamwacha wa sasa?Panda mti kabla ya kukata mti, that's the principle!! Don't invest too much in love...
Zingatia neno ( binti sayuni)🤣Sidhani kama ntapenda tena ule upendo nliowahi penda mtoto wa mtu, itoshe kusema nliwahi nyooshwa na binti sayuni flan.
Yan hakuna icho kitu kwakweliwanaume mnalia sana siku hizi
mimi ni commando, i will never surrender
AaliyyahYan hakuna icho kitu kwakweli
Watu hawafanani na upendo haufanani nilisema na nilimchana x wangu kuwa kuniumiza hakunifanyi nitesek Wala nichukue mapenz nikipata mwingine nitampenda had achanganyikiwe na nitapendwa sana tu
Now anahangaika tu
Nimechagua kuwa positive
Mi kwenye haya nlikuwa mshamba sana nlikuwa najua mkipendana hamna kuachana, hamna kusalitiana hamna kuumizana😂😂😂kumbeZingatia neno ( binti sayuni)🤣
Ilikuchukua muda Gani kuponaNikikumbuka mpaka nilipost uzi humu nyie
Aiseee siamini kama sasa hivi moyo wangu umekua na ganzi kiasi hiki.
Nitajaribu kuhadithia kwa mafungu mafungu
Ili kwa yoyote anaepitia changamoto ya kuumiza moyo sana kiasi cha kuhisi dunia sio yako,amini katika muda.
Muda huponya mioyo iliyopondeka
Mapenzi biadhara haramuMi kwenye haya nlikuwa mshamba sana nlikuwa najua mkipendana hamna kuachana, hamna kusalitiana hamna kuumizana😂😂😂kumbe
Kuna Mimi Leo siku ya 4 sijawasiliana Na mtoto wa mama mkwe najipa Moyo yeye sio uzima wanguNikikumbuka mpaka nilipost uzi humu nyie
Aiseee siamini kama sasa hivi moyo wangu umekua na ganzi kiasi hiki.
Nitajaribu kuhadithia kwa mafungu mafungu
Ili kwa yoyote anaepitia changamoto ya kuumiza moyo sana kiasi cha kuhisi dunia sio yako,amini katika muda.
Muda huponya mioyo iliyopondeka
NINATOA HUDUMA YA KUPONYA MAUMIVU YA MAPENZI...UNALIPIA KIDOGO😅Abee
NINATOA HUDUMA YA KUPONYA MAUMIVU YA MAPENZI...UNALIPIA KIDOGO😅Kuna Mimi Leo siku ya 4 sijawasiliana Na mtoto wa mama mkwe najipa Moyo yeye sio uzima wangu
Mapenzi tunayapenda IlaNINATOA HUDUMA YA KUPONYA MAUMIVU YA MAPENZI...UNALIPIA KIDOGO😅
Daah niliwahi kuumia hata kuelezea ni ngumu.Mapenzi tunayapenda Ila
Tumeaminishwa vingi ambavyo sio vya kweli kwenye haya mamboMapenzi biadhara haramu
Ndoivo Na huwezi penda Sawa Kuna mwingine hutampenda Sana mwingine kidogo Kuna mwingine atakukosha Zaidi utampenda Sana Na atakutesa sanaDaah niliwahi kuumia hata kuelezea ni ngumu.
Upendo uliokuwa nao kwenye mahusiano yako ya kwanza ni sawa na wa saivi?kuniumiza hakunifanyi nitesek Wala nichukue mapenz nikipata mwingine nitampenda had achanganyikiwe na nitapendwa sana tu
Umemalizia vizuri.Ndoivo Na huwezi penda Sawa Kuna mwingine hutampenda Sana mwingine kidogo Kuna mwingine atakukosha Zaidi utampenda Sana Na atakutesa sana
Uko sahihiHuna kazi ya kufanya wewe....unambwela mbwela tu.
Mapenzi yanatesa watu wasio na malengo kwenye maisha.
Wapo wapo tu alimradi wamepata hela za kuhonga tu basi
Aisee i did that in a very hard wayKatika kitu ambacho hakijawahi kunipa shida ni mapenzi hayajawahi kunitesa hata siku moja.
Mpaka sometimes i'm just asking my self what kind of a man am i?
Mapenzi sio shida though sometimes naplan ku hit and run but najikuta nimezimika kimtindo na mabinti wenye maringo wakali wa mitindo ila nikishawapiga nyundo a countless times naboeka after that i look into another glory hole to dip in my hunky punky that's me "MR LOVE NO LOVE"
Masai dada na wenzako nitafuteni niwafundishe how to easily get away with pain caused by the one you love or you once loved him or her.
Naitwa "MR LOVE NO LOVE"
Nilipost hapa miaka kama minne sikumbuki vizuri jamani nilitukanwa aiseePole dear ...