Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Ukiona mtu anaandika andika sana kuwa ame move on, huwa inatia mashaka.
Ni sawa na mgonjwa anapowata moyo waliomzunguka ,utasikia "aahh mimi mbona nimepona ,hapa nishapona kabisaa" ila kwa macho yetu sisi tunaona badoo.
Kwakifupi masai dada hujapona, ila hivyo cancer yako ya mapenz imeingia stage 2. Hujapona dada angu, sijui kwanini naona hiv
Ni sawa na mgonjwa anapowata moyo waliomzunguka ,utasikia "aahh mimi mbona nimepona ,hapa nishapona kabisaa" ila kwa macho yetu sisi tunaona badoo.
Kwakifupi masai dada hujapona, ila hivyo cancer yako ya mapenz imeingia stage 2. Hujapona dada angu, sijui kwanini naona hiv