EWURA: Bei ya Mafuta itaendelea kupanda

Angeshusha mafuta ya kula tuweze kupika hata japo matembele yanayo ota chooni
 
Tungejikita kuwekeza kwenye gesi yetu leo tusingekuwa na shida kama hii, kiburi alichonacho urusi ni rasilimali ya gesi na mafuta tu baasi.
 
Waache uongo wakanunue mafuta Urusi. Urusi inauza kwa punguzo la bei hadi 25% sasa kwanini wameng'ang'ania kununua ya bei ya juu? Waache kujificha kwenye vita ya urusi-ukraine



 
Maushungi alishapigilia msumari
 
Wakimaliza kupandisha mafuta wapandishe na majini[emoji23][emoji23]
 
Tuuzeni nchi tugawane hela au mnasemaje..

Naomba niulize hivi hakuna nchi nyengine ambapo tunaweza kupata mafuta kwani lazima urusi tu..?
Baada ya hii vita ndio nimejua mafuta yanatoka huko siku zote niliaminishwa mafuta yanatoka kwa mwarabu
 
Dikteta lazima asakamwe na kila mwenye akili timamu
Wewe na rais wako wote hamjielewi.kufanya hivyo ndo kutapunguza ukali wa maisha kwa wananchi wake!??utimamu wako wa akili uko wapi kama unavyo jinasibu!? Jinga mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…