EWURA waongezewe Ulinzi, wanatufumbua macho

EWURA waongezewe Ulinzi, wanatufumbua macho

Ranger9

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2021
Posts
1,613
Reaction score
3,002
Hatua zinazochukuliwa na EWURA kupandisha bei ya mafuta kila wiki kwa sh. 300 hadi 500 zaweza kuwa ni baraka tusiyoitarajia

Hatua kama hizi ziliweza kuleta mabadiliko ya fikra na uongozi katika baadhi ya mataifa, tuwaache waendelee hadi kikombe kijae..

Kuna mambo yanaendelea katika nchi hii hatuwezi kuuona mwisho wake kwa macho ya kawaida; kutoka kifo cha rais jeuri na sasa rais mpole lkn out of touch na hali halisi ya maisha ya watu huku uraiani

Na uzuri EWURA hawana kazi nyingine wanayofanya zaidi ya kutangaza tu kupanda kwa bei za mafuta na kulipana posho na mishahara minono

Muda ni mwalimu mzuri
 
Hatua zinazochukuliwa na EWURA kupandisha bei ya mafuta kila wiki kwa sh. 300 hadi 500 zaweza kuwa ni baraka tusiyoitarajia

Hatua kama hizi ziliweza kuleta mabadiliko ya fikra na uongozi katika baadhi ya mataifa, tuwaache waendelee hadi kikombe kijae..

Kuna mambo yanaendelea katika nchi hii hatuwezi kuuona mwisho wake kwa macho ya kawaida; kutoka kifo cha rais jeuri na sasa rais mpole lkn out of touch na hali halisi ya maisha ya watu huku uraiani

Muda ni mwalimu mzuri
Makodi yote haya kwa kila lita moja ya mafuta, ya nini!
FR6NmUKXoAAILlK.jpg
 
Kuna mambo yanaendelea katika nchi hii hatuwezi kuuona mwisho wake kwa macho ya kawaida; kutoka kifo cha rais jeuri na sasa rais mpole lkn out of touch na hali halisi ya mais
Mada yako ilikuwa nzuri lkn ulipotaja jina la jiwe tu ukaiharibu. Hakuna uhusiano wowote wa kuongezeka kwa bei ya mafuta na kubadilika kwa kiti cha urais. Unless Kama una elements za sukuma gang ndiyo utaona hivyo.

Kupanda kwa bei ya mafuta ni global crisis, usilete siasa na vitisho vya kijinga katika Hilo.

Bei zitaenelea kupanda na hakuna kitakchotokea. Wala ninyi sukuma gang hamtafanya kitu
 
Hatua zinazochukuliwa na EWURA kupandisha bei ya mafuta kila wiki kwa sh. 300 hadi 500 zaweza kuwa ni baraka tusiyoitarajia

Hatua kama hizi ziliweza kuleta mabadiliko ya fikra na uongozi katika baadhi ya mataifa, tuwaache waendelee hadi kikombe kijae..

Kuna mambo yanaendelea katika nchi hii hatuwezi kuuona mwisho wake kwa macho ya kawaida; kutoka kifo cha rais jeuri na sasa rais mpole lkn out of touch na hali halisi ya maisha ya watu huku uraiani

Muda ni mwalimu mzuri
Nimekupata uzuri sana
 
CCM bila kuondoka, tutachoka sana
Hata ingekuwa chadema ama chama chochote kingine cha siasa ndiyo kilo madarakani kwa sasa bei zingepanda tu. Acha kutafuta uchochoro mfu wa kufanya siasa.

Tafuteni hoja mbadala za kudumu zitakazowatofautisha wapinzani na chama tawala. Siyo kutegemea matukio.

Vita ya Ukraine ikimalizika na bei za mafuta zikashuka mtasema nn? Wanasiasa wa aina yako siwapendi sana
 
Watapata Ulinzi Soon
Maneno tu ya shibe haya. Watanzania hatuna hulka hiyo. Tunaelewa nn kimepelekea bei za mafuta kupanda.

Kama una gari la mkopo halafu mafuta yamekushinda uza gari nunua mafuta.
 
Kila kitu kitapanda. Mama samia.
 
M
Hata ingekuwa chadema ama chama chochote kingine cha siasa ndiyo kilo madarakani kwa sasa bei zingepanda tu. Acha kutafuta uchochoro mfu wa kufanya siasa.

Tafuteni hoja mbadala za kudumu zitakazowatofautisha wapinzani na chama tawala. Siyo kutegemea matukio.

Vita ya Ukraine ikimalizika na bei za mafuta zikashuka mtasema nn? Wanasiasa wa aina yako siwapendi sana
CCM ndo main desease. Tumeweka viraka zaidi ya miaka 50, Tubadili chama bas, Wala Si jambo geni, Afrika nzima vimebaki viwili kama ckosei
 
Back
Top Bottom