EWURA yatangaza Bei Kikomo za Mafuta kwa Mwezi Agosti, yamepanda tena

EWURA yatangaza Bei Kikomo za Mafuta kwa Mwezi Agosti, yamepanda tena

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta zinazoanza kutumika leo Agosti 7, 2024 ambapo kwa Dar, Petroli imepanda kutoka Tsh. 3,210 hadi Tsh. 3,231, Dizeli kutoka Tsh. 3,115 hadi 3,131 na Mafuta ya Taa yameshuka kutoka Tsh. 3,261 hadi Tsh. 3,257 kwa Lita

Katika Bandari ya Tanga Petroli ni Tsh. 3,229, Dizeli Tsh. 3,138 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,303. Bandari ya Mtwara Petroli ni Tsh. 3,304, Dizeli Tsh. 3,140 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,329 kwa Lita

Aidha, EWURA imesema gharama za uagizaji Mafuta zimeongezeka kwa wastani wa 3.58% kwa Petroli, Dizeli 4.35% na Mafuta ya Taa zimeshuka kwa 7.45% katika Bandari ya Dar.
Screenshot_2024-08-07-03-44-29-704_com.instagram.android-edit.jpg
 
Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta zinazoanza kutumika leo Agosti 7, 2024 ambapo kwa Dar, Petroli imepanda kutoka Tsh. 3,210 hadi Tsh. 3,231, Dizeli kutoka Tsh. 3,115 hadi 3,131 na Mafuta ya Taa yameshuka kutoka Tsh. 3,261 hadi Tsh. 3,257 kwa Lita

Katika Bandari ya Tanga Petroli ni Tsh. 3,229, Dizeli Tsh. 3,138 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,303. Bandari ya Mtwara Petroli ni Tsh. 3,304, Dizeli Tsh. 3,140 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,329 kwa Lita

Aidha, EWURA imesema gharama za uagizaji Mafuta zimeongezeka kwa wastani wa 3.58% kwa Petroli, Dizeli 4.35% na Mafuta ya Taa zimeshuka kwa 7.45% katika Bandari ya Dar.
View attachment 3063408
Kinacho umiza zaidi ni kununua mafuta bei sawa na nchi ya uganda wasio kua na bandari.....
 
Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta zinazoanza kutumika leo Agosti 7, 2024 ambapo kwa Dar, Petroli imepanda kutoka Tsh. 3,210 hadi Tsh. 3,231, Dizeli kutoka Tsh. 3,115 hadi 3,131 na Mafuta ya Taa yameshuka kutoka Tsh. 3,261 hadi Tsh. 3,257 kwa Lita

Katika Bandari ya Tanga Petroli ni Tsh. 3,229, Dizeli Tsh. 3,138 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,303. Bandari ya Mtwara Petroli ni Tsh. 3,304, Dizeli Tsh. 3,140 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,329 kwa Lita

Aidha, EWURA imesema gharama za uagizaji Mafuta zimeongezeka kwa wastani wa 3.58% kwa Petroli, Dizeli 4.35% na Mafuta ya Taa zimeshuka kwa 7.45% katika Bandari ya Dar.
View attachment 3063408
Hawana udhibiti wowote,wataabishaji tu
 
Nchi ina viongozi WA hovyo Sana gharama za maisha zinazidi kupanda wao wako Kimya tu ivi tuna watu kweli kwenye uongozi?Enzi za Magu mafuta tulinunua mpaka elfu 2 Leo hii Ni kilio Kwa watanzania alafu eti tuna viongozi duuh
Hapana. Mimi nadhani siyo viongozi Bali taifa lina wapiga kura wa hovyo sana.
 
Back
Top Bottom