Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Ndio ukweli ulivyo tukilinganisha na soko la dunia, ila wadanganyika wanaamini walichoambiwaHapa sio kwamba gharama za kuagiza mafuta zimepanda, hapana, bali thamani ya shilling imeshuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukweli ulivyo tukilinganisha na soko la dunia, ila wadanganyika wanaamini walichoambiwaHapa sio kwamba gharama za kuagiza mafuta zimepanda, hapana, bali thamani ya shilling imeshuka.
Hahaha.........halafu Kuna watu wanalipwa kabisa Mishahara Kwa kazi ya kuhakikisha bei haishuki 🤗🙌Wanadhibiti yasishuke bei!!
Shilling haijashuka Tu imeporomoka kabisa!Hapa sio kwamba gharama za kuagiza mafuta zimepanda, hapana, bali thamani ya shilling imeshuka.
[emoji1787]Hii ewura Bora tu ingefutwa.kila inapotangaza lazima bei iwe imepanda,Sasa wanadhibiti Nini Sasa?
Hawawezi kupunguza bei hawaHaya mashirika ya kipuuzi sana , mafuta au bidhaa zikishuka bei huko duniani wala hawatoi tamko la kupunguza bei. Ila yakipanda kidogo wao ni mstari wa mbele kupandisha bei.
Morogoro nao ni mkoa ulio jaa wajinga sanaNyomi linalotokea kwny ziara ya Morogoro bei zitapanda zaidi...maana watanzania naona hawana changamoto...
Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta zinazoanza kutumika leo Agosti 7, 2024 ambapo kwa Dar, Petroli imepanda kutoka Tsh. 3,210 hadi Tsh. 3,231, Dizeli kutoka Tsh. 3,115 hadi 3,131 na Mafuta ya Taa yameshuka kutoka Tsh. 3,261 hadi Tsh. 3,257 kwa Lita
Katika Bandari ya Tanga Petroli ni Tsh. 3,229, Dizeli Tsh. 3,138 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,303. Bandari ya Mtwara Petroli ni Tsh. 3,304, Dizeli Tsh. 3,140 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,329 kwa Lita
Aidha, EWURA imesema gharama za uagizaji Mafuta zimeongezeka kwa wastani wa 3.58% kwa Petroli, Dizeli 4.35% na Mafuta ya Taa zimeshuka kwa 7.45% katika Bandari ya Dar.
View attachment 3063408
Tena bora mlalamikie chinichini, sababu mkipiga makelele mtamponza kwa kumsababishie mwananchi mwenzenu apotee au abakwe matakoni ili story zihamie kwenye tukio hilo la mtu kubakwa matrakoni ili hili lipite kimyakimyaKinacho umiza zaidi ni kununua mafuta bei sawa na nchi ya uganda wasio kua na bandari.....
Na ni nani huyu anaependa kushusha shilling yetu thamani!?Hapa sio kwamba gharama za kuagiza mafuta zimepanda, hapana, bali thamani ya shilling imeshuka.
Mtanikumbukagaa tu mtake msitake!!Nchi ina viongozi WA hovyo Sana gharama za maisha zinazidi kupanda wao wako Kimya tu ivi tuna watu kweli kwenye uongozi?Enzi za Magu mafuta tulinunua mpaka elfu 2 Leo hii Ni kilio Kwa watanzania alafu eti tuna viongozi duuh
Kuchapisha pesa bila utaratibu kuna shusha thamani ya pesa..Na ni nani huyu anaependa kushusha shilling yetu thamani!?
Hapana. Mimi nadhani siyo viongozi Bali taifa lina wapiga kura wa hovyo sana.