EWURA yatangaza Bei Kikomo za Mafuta kwa Mwezi Agosti, yamepanda tena

EWURA yatangaza Bei Kikomo za Mafuta kwa Mwezi Agosti, yamepanda tena

Tunayo gesi ya kutosha ambayo tunaweza kutoa vibali kwa wafanyabiashara wakaanza kuweka vituo vya kujaza gesi kwenye magari, lakini tunaendelea kutwisha mzigo wananchi kwa bei kubwa za mafuta na gharama za maisha kupanda kisa kodi na tozo zinazokusanywa kwenye mafuta.......juzi kati madelu anataka kuweka tozo kwenye gesi ambayo hata mfumo wake haujawekwa rasmi, nchi hii inasikitisha sana...​
 
Haya mashirika ya kipuuzi sana , mafuta au bidhaa zikishuka bei huko duniani wala hawatoi tamko la kupunguza bei. Ila yakipanda kidogo wao ni mstari wa mbele kupandisha bei.
Hawawezi kupunguza bei hawa
 
Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta zinazoanza kutumika leo Agosti 7, 2024 ambapo kwa Dar, Petroli imepanda kutoka Tsh. 3,210 hadi Tsh. 3,231, Dizeli kutoka Tsh. 3,115 hadi 3,131 na Mafuta ya Taa yameshuka kutoka Tsh. 3,261 hadi Tsh. 3,257 kwa Lita

Katika Bandari ya Tanga Petroli ni Tsh. 3,229, Dizeli Tsh. 3,138 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,303. Bandari ya Mtwara Petroli ni Tsh. 3,304, Dizeli Tsh. 3,140 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,329 kwa Lita

Aidha, EWURA imesema gharama za uagizaji Mafuta zimeongezeka kwa wastani wa 3.58% kwa Petroli, Dizeli 4.35% na Mafuta ya Taa zimeshuka kwa 7.45% katika Bandari ya Dar.
View attachment 3063408
Kinacho umiza zaidi ni kununua mafuta bei sawa na nchi ya uganda wasio kua na bandari.....
Tena bora mlalamikie chinichini, sababu mkipiga makelele mtamponza kwa kumsababishie mwananchi mwenzenu apotee au abakwe matakoni ili story zihamie kwenye tukio hilo la mtu kubakwa matrakoni ili hili lipite kimyakimya
 
Nchi ina viongozi WA hovyo Sana gharama za maisha zinazidi kupanda wao wako Kimya tu ivi tuna watu kweli kwenye uongozi?Enzi za Magu mafuta tulinunua mpaka elfu 2 Leo hii Ni kilio Kwa watanzania alafu eti tuna viongozi duuh
Mtanikumbukagaa tu mtake msitake!!
 
Back
Top Bottom