Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
mjibu hivi "hela zote nimempa girlfriend wangu"Hapana sijafurahi ata
We naye, unamjibu txt nyingi kwann, mwambie tu short and clearNa ndiyo kitu anauliziaga mara yule niliesikia umempa mimba vipi?
Hayo ndo mambo ya kuleta jukwaani? Hebu leta mada za maana, mwanaume unashindwaje kufanya maamuzi katika hilo mpaka ulete uzi?Kwanini master?
Si mshaachana ,kila mtu ale 50 zakeHabari za muda huu? Huyu mdada ni mtu niliyekuwa nae uhusiano Kwa years Toka 2019-2023 hapo ndipo ulikuwa mwisho wetu na aliyeniacha ni yeye na Mimi kwakua ni ALPHA MALE sijawahi shoboka nae sasa yeye Huwa ananipigia simu
Kila baada ya week 2 Huwa lazima anitafute nimeshazoea Hilo lazima hupiga simu Leo pia nilikuwa mbali na simu nikakuta missed call yake nikamwambia piga akapiga hatukuwana alikuwa kwenye kelele Sana.
Tukachat kidogo akaomba PESA je uyu mtu ana akili timamu kweli?View attachment 3114202
Yani kaolewa and still anaomba hela nje na kutaka uhusiano mbona hiz ndoa zina uchawi mwingi nitaoa kweli?Hahahaha hii mimi imenikuta kaka kila baada ya miezi kadhaa anaomba sometimes nampa sometimes namkazia maana ameolewa na mimi nina wife.
Kitu kizuri kwangu sijawahi kukutana naye since 2014 tulipoachana. Niligundua anatafuta namna tu ya kuendeleza uhusiano maana aliwahi kumwambia jamaa yangu flani kama ameolewa kwasababu mi nilikuwa nachelewesha ndoa ila amegundua alikuwa ananikubali sana na still ananikubali.
Hapo kazi kwako upige au uachane naye ila mjali tu kama binadamu wengine.
Kuwa mwanaume kijana wacha kujilegeza, akili si unazoMajukwaa ni mengi sema unaishi primitive sana
[emoji16]
Point kubwa mnoWote humu watajifanya makauzu na mabahili eti hawatumi hela kwa ex lakin ukweli ni kwamba wanatuma vizuri tu... Mwanaume ukishakuwa na hela kuna vitu utaona kawaida tu kufanya as long as bado uchumi wako upo vizuri.... Mtu mmeachana lakini bado unawasiliana nae vizuri kwanini ushindwe kumsaidia wakati uwezo unao????
ALPHA MALE unashindwaje kumpa pesa Ex-wako?Habari za muda huu? Huyu mdada ni mtu niliyekuwa nae uhusiano Kwa years Toka 2019-2023 hapo ndipo ulikuwa mwisho wetu na aliyeniacha ni yeye na Mimi kwakua ni ALPHA MALE sijawahi shoboka nae sasa yeye Huwa ananipigia simu
Kila baada ya week 2 Huwa lazima anitafute nimeshazoea Hilo lazima hupiga simu Leo pia nilikuwa mbali na simu nikakuta missed call yake nikamwambia piga akapiga hatukuwana alikuwa kwenye kelele Sana.
Tukachat kidogo akaomba PESA je uyu mtu ana akili timamu kweli?View attachment 3114202