EX ananiomba pesa. Ushauri wenu please

EX ananiomba pesa. Ushauri wenu please

Habari za muda huu? Huyu mdada ni mtu niliyekuwa nae uhusiano Kwa years Toka 2019-2023 hapo ndipo ulikuwa mwisho wetu na aliyeniacha ni yeye na Mimi kwakua ni ALPHA MALE sijawahi shoboka nae sasa yeye Huwa ananipigia simu

Kila baada ya week 2 Huwa lazima anitafute nimeshazoea Hilo lazima hupiga simu Leo pia nilikuwa mbali na simu nikakuta missed call yake nikamwambia piga akapiga hatukuwana alikuwa kwenye kelele Sana.

Tukachat kidogo akaomba PESA je uyu mtu ana akili timamu kweli?View attachment 3114202
Si mshaachana ,kila mtu ale 50 zake
 
Hayo ndo mambo ya kuleta jukwaani? Hebu leta mada za maana, mwanaume unashindwaje kufanya maamuzi katika hilo mpaka ulete uzi?
Majukwaa ni mengi sema unaishi primitive sana
 
Hahahaha hii mimi imenikuta kaka kila baada ya miezi kadhaa anaomba sometimes nampa sometimes namkazia maana ameolewa na mimi nina wife.

Kitu kizuri kwangu sijawahi kukutana naye since 2014 tulipoachana. Niligundua anatafuta namna tu ya kuendeleza uhusiano maana aliwahi kumwambia jamaa yangu flani kama ameolewa kwasababu mi nilikuwa nachelewesha ndoa ila amegundua alikuwa ananikubali sana na still ananikubali.

Hapo kazi kwako upige au uachane naye ila mjali tu kama binadamu wengine.
Yani kaolewa and still anaomba hela nje na kutaka uhusiano mbona hiz ndoa zina uchawi mwingi nitaoa kweli?
 
Msaidie kama ipo ndani ya uwezo wako kama auna basi
 
Asa alpha male gani upo hivyo ukiachwa achika mazima ajilaumu yeye
Hapo kakuona bwege anagongwa na wengine hela umpe wewe
 
Wote humu watajifanya makauzu na mabahili eti hawatumi hela kwa ex lakin ukweli ni kwamba wanatuma vizuri tu... Mwanaume ukishakuwa na hela kuna vitu utaona kawaida tu kufanya as long as bado uchumi wako upo vizuri.... Mtu mmeachana lakini bado unawasiliana nae vizuri kwanini ushindwe kumsaidia wakati uwezo unao????
 
Wote humu watajifanya makauzu na mabahili eti hawatumi hela kwa ex lakin ukweli ni kwamba wanatuma vizuri tu... Mwanaume ukishakuwa na hela kuna vitu utaona kawaida tu kufanya as long as bado uchumi wako upo vizuri.... Mtu mmeachana lakini bado unawasiliana nae vizuri kwanini ushindwe kumsaidia wakati uwezo unao????
Point kubwa mno
 
Habari za muda huu? Huyu mdada ni mtu niliyekuwa nae uhusiano Kwa years Toka 2019-2023 hapo ndipo ulikuwa mwisho wetu na aliyeniacha ni yeye na Mimi kwakua ni ALPHA MALE sijawahi shoboka nae sasa yeye Huwa ananipigia simu

Kila baada ya week 2 Huwa lazima anitafute nimeshazoea Hilo lazima hupiga simu Leo pia nilikuwa mbali na simu nikakuta missed call yake nikamwambia piga akapiga hatukuwana alikuwa kwenye kelele Sana.

Tukachat kidogo akaomba PESA je uyu mtu ana akili timamu kweli?View attachment 3114202
ALPHA MALE unashindwaje kumpa pesa Ex-wako?
 
Back
Top Bottom