EX ananiomba pesa. Ushauri wenu please

Nimekupata sana mkuu na shukrani sana! 🙏
 
Umenitisha mambo ya kiroho mfano yapi boss?
 
Umenitisha mambo ya kiroho mfano yapi boss?
Mfano; unakuta umeshapata mru wa kumuoa alafu bado unawasiliana na huyo mtu kirahisi na kuchukulia vitu poa huoni kwamba kuna bomu unalitengeneza japo hulioni.
 
Mfano; unakuta umeshapata mru wa kumuoa alafu bado unawasiliana na huyo mtu kirahisi na kuchukulia vitu poa huoni kwamba kuna bomu unalitengeneza japo hulioni.
Ninae mtu wangu ila anatambua pia kuwa Huwa ananicheki
 
Ex- yupo Moto haachi kupiga simu kuongea nonsense Leo nmepigiwa naambiwa nmeona kadi ya harusi bwana harusi ana jina lako nmeamua nikupigie nilijua ni wewe unaoa[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…