Asubiri tu watu wanamwagiwa maji ya moto... mume wa mtu anauma ati!
wana jf nisaidieni
BABY COME BACK.
Mpe mambo wa usumcheleweshe ana njaa na wewe huyo.
wana jf nisaidieni
wana jf nisaidieni
Naamini unaye mwingine sasa. Kama hivyo ndivyo, basi mchukue uende naye kwa huyo ex-bf wako muwaombe wawe wasimamizi wa ndoa yenu. Mkewe matron, jamaa bestman!
wana jf nisaidieni
sasa si bora huyo unayemjua kuliko vicheche wapya? mpe mambo ki pati taimu wakati ukivizia wako wa kudumu!
Mmh Kiteiteu, ushauri wako jamani lol! Pretty mfute kwenye maisha yako, atakupotezea bahati zako bure{ najua ni ngumu maana mnajuwana tayari}