Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana bado sijaolewa, nipo tu.Kutokana na maelezo yako Pretty inaonekana bado unampenda sana. Kama huyo jamaa anapata access ya kukung'ang'ania kama ruba atakuwa bado yupo moyoni mwako. naomba kukuuliza swali la kizushi kwani wewe umeolewa?
hapana bado sijaolewa, nipo tu.
Mpe vitu....wewe......mwenyewe unajua kama bado unaitaka.....nendeni mkavinjari.
kuoa mwanaume ndio nn tena? Mie mwanamke siwezi oa mwanaume.
Mpe vitu....wewe......mwenyewe unajua kama bado unaitaka.....nendeni mkavinjari.
sasa si bora huyo unayemjua kuliko vicheche wapya? mpe mambo ki pati taimu wakati ukivizia wako wa kudumu!
hapana bado sijaolewa, nipo tu.
huo utakuwa ni ufuska.kwani watu wameisha ? mvumilivu,hula mbivu.acha ukware!
Mkuu
mambo hubadilika
Mvumilivu hula mbovu
Wapi masanillo,wapi Nyamayao wapi Brenda Jackobo mbona siwaoni?
Filel80!
Sema ndugu,nipo tu namsoma pretty hapa we unaonaje? amkubalie x'bf wake jamani? Mimi naona siyo fresh kabisa,amwache jamaa atunze ndoa yake kama muda wao wa kujivinjari ulishaisha.
Mi naona bora ale kona amwachie na mwenzie naye afaudu matnda labda yeye alikuwa mgumu kutoa tiGo ndo maana jamaa akaamua kuchukua mzigo mwingine.