EX-BF ananitaka tena na wakati kaoa tayari, nifanyeje?

EX-BF ananitaka tena na wakati kaoa tayari, nifanyeje?

najua hamkujua sababu kwa nn tulitengana. Mie nilienda kusoma nje ya nchi. nilichukua kozi yapata miaka 4, kumbe baadaye yy akamua kuoa sababu tu eti mie kwa kuwa nipo nje nitamuacha. Sasa nilirudi nyumbani baada ya kumaliza skul nikapata kazi nzuri. Sasa ile kuonana tu akaanza kudai tena tuwe wote.
 
hili ndio swala la msingi, Pretty anaonekana anampenda sana EX-BF lakini hataki kusema kwa nini waliachana, na sasa hivi ansema jamaa anataka kumrudia. Pretty mimi nadhani humu ndani ya JF utapata mawazomengi sana lakini mwenye final decision ni wewe mwenyewe Pretty!!
La msingi hapa Pretty nini chanzo cha wewe kuachwa na huyo mwingine akaonekana bora kuliko wewe?
Ukinipatia jibu nitajua what next...
 
najua hamkujua sababu kwa nn tulitengana. Mie nilienda kusoma nje ya nchi. nilichukua kozi yapata miaka 4, kumbe baadaye yy akamua kuoa sababu tu eti mie kwa kuwa nipo nje nitamuacha. Sasa nilirudi nyumbani baada ya kumaliza skul nikapata kazi nzuri. Sasa ile kuonana tu akaanza kudai tena tuwe wote.
Huyu jamaa siyo mvumilivu,ina maana hata ukisafiri kikazi tu;huku nyuma anachukua kifaa kingine hadi utakaporudi!!Hapa sasa akili kichwani Pretty;sijui kama utakubali ku-share mapenzi!?
 
najua hamkujua sababu kwa nn tulitengana. Mie nilienda kusoma nje ya nchi. nilichukua kozi yapata miaka 4, kumbe baadaye yy akamua kuoa sababu tu eti mie kwa kuwa nipo nje nitamuacha. Sasa nilirudi nyumbani baada ya kumaliza skul nikapata kazi nzuri. Sasa ile kuonana tu akaanza kudai tena tuwe wote.

nimegundua shida yako si ushauri bali ushawishi. ukishawishiwa vizuri huchelewi kujilengesha tena. ungekuwa huna time nae usingeomba ushauri. (Najuuuuta kukufahamu) kumfahamu
 
La msingi hapa Pretty nini chanzo cha wewe kuachwa na huyo mwingine akaonekana bora kuliko wewe?
Ukinipatia jibu nitajua what next...
najua hamkujua sababu kwa nn tulitengana. Mie nilienda kusoma nje ya nchi. nilichukua kozi yapata miaka 4, kumbe baadaye yy akamua kuoa sababu tu eti mie kwa kuwa nipo nje nitamuacha. Sasa nilirudi nyumbani baada ya kumaliza skul nikapata kazi nzuri. Sasa ile kuonana tu akaanza kudai tena tuwe wote.
 
najua hamkujua sababu kwa nn tulitengana. Mie nilienda kusoma nje ya nchi. nilichukua kozi yapata miaka 4, kumbe baadaye yy akamua kuoa sababu tu eti mie kwa kuwa nipo nje nitamuacha. Sasa nilirudi nyumbani baada ya kumaliza skul nikapata kazi nzuri. Sasa ile kuonana tu akaanza kudai tena tuwe wote.

Yani distance ndo akaamua tu kuoa moja kwa moja au kulikuwa na tatizo lingine labda ni personal na huwezi kulisema hapa? Au mawasiliano yalikatika kabisa kipindi hicho upo nje akaona labda ndo mwisho wenu na kuamua kuoa?
Basi mwambie akitaka muwe wote amuache mkewe kama atafanya hivyo ujue anakupenda ambaco najua hatafanya kabisa au akuoe 2nd wife kama ni muislam, lasivyo anaweza kuwa amemiss company yako kwavile hamkuachana kwa vituko ila umbali kati yenu.
Pretty,wewe mwenyewe moyo wako unakushawishi nini? Uwe nae kimapenzi au mbaki marafiki wazuri? Huna mpenzi kwa sasa? Hutaki kuolewa? Nitashukuru ukinijibu.
 
Kama likuacha akaoa mwingine unafikiri anakupenda??? Amua kusuka au kunyoa.
 
Yani distance ndo akaamua tu kuoa moja kwa moja au kulikuwa na tatizo lingine labda ni personal na huwezi kulisema hapa? Au mawasiliano yalikatika kabisa kipindi hicho upo nje akaona labda ndo mwisho wenu na kuamua kuoa?
Basi mwambie akitaka muwe wote amuache mkewe kama atafanya hivyo ujue anakupenda ambaco najua hatafanya kabisa au akuoe 2nd wife kama ni muislam, lasivyo anaweza kuwa amemiss company yako kwavile hamkuachana kwa vituko ila umbali kati yenu.
Pretty,wewe mwenyewe moyo wako unakushawishi nini? Uwe nae kimapenzi au mbaki marafiki wazuri? Huna mpenzi kwa sasa? Hutaki kuolewa? Nitashukuru ukinijibu.
kwanza mie mkristo,
-Moyo wangu bado unamfeel japo kaoa.Lakini sitoweza kulala naye.
-labda tubaki marafiki wazuri.
-kwa sasa bado sina mpenzi huwa natoka out na huyo ex b
- Sina wazo bado la kuolewa.
HAYO NDIO MAJIBU YA MASWALI YAKO BELINDAJACOB
 
kwanza mie mkristo,
-Moyo wangu bado unamfeel japo kaoa.Lakini sitoweza kulala naye.
-labda tubaki marafiki wazuri.
-kwa sasa bado sina mpenzi huwa natoka out na huyo ex b
- Sina wazo bado la kuolewa.
HAYO NDIO MAJIBU YA MASWALI YAKO BELINDAJACOB

Sikio la kufa wewe huna dawa, endelea tu kwenda out na mume wa mwenzako, kifo cha ujana kinakunyemelea. Majibu yote unayo kazi kwako. Nakutakia safari njema
 
kama huna boyfiend mpe tu mambo. si unajua vya kuiba vilivyo vitamu.nafikiri ameyamis sana mapenzi yako. mpe tu.
 
kama huna boyfiend mpe tu mambo. si unajua vya kuiba vilivyo vitamu.nafikiri ameyamis sana mapenzi yako. mpe tu.

Anaya-miss mapenzi yake au 'mautamu' yake? Binadamu kweli tu mazuzu kwelikweli, yaani tuna katabia ka kutumia maneno interchangiably pale tunapoona inatupendezesha kumoyo.

Lugha sahihi hapo ungesema, (tena kwa macho makavu, lakini kumbuka mola wako anakuona), Endeleeni kuzini. Hii ndo lugha sahihi mkuu wangu.
 
kwanza mie mkristo,
-Moyo wangu bado unamfeel japo kaoa.Lakini sitoweza kulala naye.
-labda tubaki marafiki wazuri.
-kwa sasa bado sina mpenzi huwa natoka out na huyo ex b
- Sina wazo bado la kuolewa.
HAYO NDIO MAJIBU YA MASWALI YAKO BELINDAJACOB

Mamii Pretty!
Inaonyesha unampenda.Pia ni ngumu kutokutaka kulala/kufanya mapenzi na mtu wakati mnakuwa na muda mwingi pamoja kama kutoka out pamoja.
Cha msingi watu tumekushauri hapa kila mtu na mawazo yake,mwisho wa siku wewe ndo mhusika ujue unataka nini na utafanyaje.
Kumpenda mtu muda mwingine kunaweza kukufanya usifikirie mbeleni mambo yatakuwaje maana ni ngumu kutabiri.
Soma PM yako,kuna kitu sensitive nimekuandikia...
 
Yapo mambo mengi yanayoweza kumsababisha mwanaume aliyeoa kutaka kumrudia ex-GF. Mojawapo inawezekana mwanaume akang'amua baada ya kuoa kuwa alifanya makosa makubwa sana kuoa huyo aliyeoa. Mimi mwenyewe yalinitokea, niliacha GF tuliyekuwa tunaelewana sana nikaoa mwingine ambaye hapo kabla alikuwa ex wangu pia, kwa hiyo aliporudi nikaona 'awali ni awali hakuna awali mbovu'. Kumbe wakati mwingine 'awali mbovu' zipo, nikagundua baadae kuwa nilichemsha vibaya. Huyu ex wangu alishaolewa na kwa mujibu wa yale ambayo huwa ananiambia tunapoonana, ana maisha matamu sana na mumewe, maelewano 100%. Kutokana na ukaribu ambao tunao, anafahamu jinsi nilivyochemsha maana tumeshayaongea mara nyingi, lakini huwa anasema tu ananionea huruma na ananiombea, hatujawahi kumegana tena hata siku moja tangu nilipooa. Mara nyingi huwa ananikumbuka tu ananipigia simu kunijulia hali, kuna wakati akinipigia husema amehisi tu kuwa niko na tatizo, na ajabu mara zote inapotokea hivyo huwa ni kweli nakuwa na tatizo. Hadi najiuliza inakuwaje shida yangu yeye anahisi kitu kabla sijamwambia! Kwa kweli nam-miss sana, na hata tunapoonana huwa anasema hivyohivyo kwangu lakini siku zote huwa yuko makini kumalizia kwa kusema kuwa ni bahati mbaya hana zaidi cha kufanya zaidi ya kuniliwaza kwa maneno tu na company za siku mojamoja. Kwa hiyo wewe uliyeuliza swali usimshangae huyo bwana.
 
Pretty
Usiogope, nenda ukubaliane nae kisha MEGWA then kaa kimya.
Unasumbua vichwa vyetu hapa wakati moyo wako ushakuamulia. Ningekujua walah hata mie ningekumega mwanamwali wewe.
Naomba nikuulize tu, Umeshachezwa unyago wewe?? kama bado nitakutafutia kungwi akupunge
 
Pretty
Usiogope, nenda ukubaliane nae kisha MEGWA then kaa kimya.
Unasumbua vichwa vyetu hapa wakati moyo wako ushakuamulia. Ningekujua walah hata mie ningekumega mwanamwali wewe.
Naomba nikuulize tu, Umeshachezwa unyago wewe?? kama bado nitakutafutia kungwi akupunge

Mwache Pretty wa watu. Mimi nasisitiza kuwa hiyo ni hali ya kawaida sana kwa wapenzi kukumbukana hasa baada ya kupitia mazingira fulanifulani magumu. Wao ni watu wazima, kuna mengine hata wakiyafanya hawatapenda yawe wazi kwa kila mtu kujua. Lakini mtu anapouliza ushauri labda anatamani au anahisi uwezekano wa kwenda hatua mbele zaidi ya hayo ya siri, ambapo hapo sasa itakuwa si siri tena, hapo ndio panahitaji ushauri maana ni uamuzi unaogusa watu zaidi ya wawili. Mimi nadhani Pretty akiridhika kuwa 'nyumba ndogo' ya mpenziwe huyo au 'kupindua' kabisa naona poa tu, mradi waridhiane na wahakikishe makosa yaliyotokea huko nyuma yamewapa elimu ya kutosha.
 
Mwache Pretty wa watu. Mimi nasisitiza kuwa hiyo ni hali ya kawaida sana kwa wapenzi kukumbukana hasa baada ya kupitia mazingira fulanifulani magumu. Wao ni watu wazima, kuna mengine hata wakiyafanya hawatapenda yawe wazi kwa kila mtu kujua. Lakini mtu anapouliza ushauri labda anatamani au anahisi uwezekano wa kwenda hatua mbele zaidi ya hayo ya siri, ambapo hapo sasa itakuwa si siri tena, hapo ndio panahitaji ushauri maana ni uamuzi unaogusa watu zaidi ya wawili. Mimi nadhani Pretty akiridhika kuwa 'nyumba ndogo' ya mpenziwe huyo au 'kupindua' kabisa naona poa tu, mradi waridhiane na wahakikishe makosa yaliyotokea huko nyuma yamewapa elimu ya kutosha.

..kwa hiyo ndo umempa ushauri mzuri wa kuvunja ndoa halali kisheria eeh!!!
wizi mtupu
 
Prety usikubali kumrudia mwaya, hata ukiwa nyumba ndogo utateseka sana, maana tayari anayeeleweka yupo usiutese moyo wako achana naye huna moyo mwingine.halafu wewe msanii majibu gani hayo unampa mwenzako unafikiri ameuliza hilo swali maana anataka kumegwa? angekuwa anataka angemegwa na angekaa kimya,
 
..kwa hiyo ndo umempa ushauri mzuri wa kuvunja ndoa halali kisheria eeh!!!
wizi mtupu

uhalali wa ndoa ni nani anaamua, ni hao walioko kwenye ndoa hiyo au ni sisi watazamaji? Sheria haijawahi kumpa mtu raha hata siku moja, kinacholeta raha ni mapenzi, sio sheria. Raha kwenye ndoa haitokani na sheria au zile pete wanazovaa au harusi, bali inatokana na mapenzi, kupendana. Wao wajitazame tu wakiona mapenzi wanayo sheria isiwakwaze, kwanza sheria hizo ndio zinafanya wengine wajibweteke na kuona kwa kuwa wana ndoa ya 'kisheria' basi inawatosha mapenzi si muhimu tena! Mapenzi yana uzito kuliko hiyo sheria, kila mtu ajue hilo.
 
Back
Top Bottom