EX-BF ananitaka tena na wakati kaoa tayari, nifanyeje?

EX-BF ananitaka tena na wakati kaoa tayari, nifanyeje?

kwanza mie mkristo,
-moyo wangu bado unamfeel japo kaoa.lakini sitoweza kulala naye.
-labda tubaki marafiki wazuri.
-kwa sasa bado sina mpenzi huwa natoka out na huyo ex b
- sina wazo bado la kuolewa.
Hayo ndio majibu ya maswali yako belindajacob

ngoja tufunge mjadala sasa tuanze mambo mapya. Baibo inasema ikimbie zinaa usikemee! Kitendo cha kuambatana na huyo x ni ushawishi tosha, hata mungu hapendi. Mnatiana hamasa na nyege tu na itafika siku mtajifanya hamkujua kilichotokea mkabanjuka (serious!) ushauri wangu kwako dada---have a change of scene, hukuzaliwa nae huyo na wanaume wapo, hujaamua tu. Mjadala umefungwa
 
Mie nawashukuru sana wanajamii forum kwa mchango wenu wa mawazo. Na hichi kisa ndio haswa kilichonifanya niingie humu. Maana nilikuwa tu nasoma baadhi ya matatizo ya watu na nikaona kuna baadhi ya watu humu wanaushauri mzuri, hivyo nikaona bora na mie hili tatizo niliweke humu ili nipate ushauri wa busara kutoka kwenu.
Ushauri wa busara nimeupata na nimeufanyia kazi. Hivyo nawashukuru sana.
 
Its all about love. Its obvious you aint into your new bf or else you wouldn't be asking this question. They is no point being with some one who you are not really into. Concerning your ex, if you think the guy has changed & you still have the hots for him, which by the looks of things you do, then give him a second chance. In the end follow your heart. The guy is married though so I don't think it would be right to mess with a married man, thats my opinion.
 
Sikiliza Pretty
kama anaendelea kukutaka wewe MMEGE tu au MPE anachokitaka for the last.
Ukiona anasummbua zaidi just njoo kwangu nikupatie ulinzi hasa wa ndani
 
Prety wewe ni wathamani sana, na unatakiwa uamue hatma ya maisha yako hakukupenda alikuona humfai kwenye maisha ndo mana akaamua kuoa, achana naye na umkatie mawasiliano tena akukome, anachotaka ni kukufanya wewe chombo cha starehe siku kwa mkewe kuna matatizo anakuja kwako ili akuharibie maisha tulia dada Mungu afanye kazi yake utampata wa thamani kama wewe na utatulia naye.

ahahahaha...duuuu...ebwanaeheeee....joyceline unamdanganya mwenzio...hana thamani yoyote kwa msela yeye ni punching bag..au uwanja wa mazoezi...mie nakushauri dada yangu ..MPE MSHKAJI AJIONGEZEE MAUJUZI YA KU-MPERFORM WIFE WAKE...maana hakuna ki2 kigumu kama kumwomba tigo mkeo..au hata mmeo..sasa wewe NAONA MSHKAJI KAMA ANATAKA AJE APIGE TIZI NA KULA GOTI SANA TUU ...then anasepa...na KESHO ANARUDI ...na navyowajueni nyie kina MAMA MARIA..mlivyo na huruma UNAMPA TENAAA....na unakuwa ndo kamchezo kenu...nawasilisha maoni
 
Prety wewe ni wathamani sana, na unatakiwa uamue hatma ya maisha yako hakukupenda alikuona humfai kwenye maisha ndo mana akaamua kuoa, achana naye na umkatie mawasiliano tena akukome, anachotaka ni kukufanya wewe chombo cha starehe siku kwa mkewe kuna matatizo anakuja kwako ili akuharibie maisha tulia dada Mungu afanye kazi yake utampata wa thamani kama wewe na utatulia naye.
.

Joyceline, ungeuliza kwanza kwa nini Prety hakuoana na huyo X BF wake kabla ya kuanza kutoa shutuma. Unajuwaje ikiwa Pretty hakuhitaji kuolewa na huyo X BF wake? Kwani hiyo starehe alikuwa anaipata XBF tu? ingekuwa hivyo Prety asingepata kigugumizi cha kumchomolea; lakini anaujua uhondo wa ngoma walokuwa wanaicheza pamoja na huyo XBF wake ndo maana moyo wake unakuwa njia panda.

Prety siyo vibaya kujikumbusha enzi zenu na XBF wako kwani ndo mambo ya ladha tofauti hayo. Ila tu mzingatie kinga
 
Nadhani mjadala uliisha, ila nilikuwa natoa shukrani zangu kwa wana JF.
I don't have any relationship with him at all, tumebaki kama marafiki tu. Kakubali kwamba kweli alifanya makosa kwa kufikiri kwamba kwa kuwa nilikuwa nje ya nchi basi nitamsaliti, lakini cha ajabu yy ndio kasaliti.
Hivyo nimemwambia kwa kuwa aliamua kuoa ni vema aendelee na wife, mie kwangu tena NO.
 
Mie nawashukuru sana wanajamii forum kwa mchango wenu wa mawazo. Na hichi kisa ndio haswa kilichonifanya niingie humu. Maana nilikuwa tu nasoma baadhi ya matatizo ya watu na nikaona kuna baadhi ya watu humu wanaushauri mzuri, hivyo nikaona bora na mie hili tatizo niliweke humu ili nipate ushauri wa busara kutoka kwenu.
Ushauri wa busara nimeupata na nimeufanyia kazi. Hivyo nawashukuru sana.

Mi nakupa nafasi na hazina ndani ya moyo wangu.
 
Huyo ex wako analeta mambo ya shamba la kale rahisi kulilima tena, ila wewe bado unamtaka?
 
....kama alishaichapa unamnyima ya nn...mpe akumbushie tu maana mpaka umeleta huu Uzi ujue ulishamis push-up zake...
 
ahahahaha...duuuu...ebwanaeheeee....joyceline unamdanganya mwenzio...hana thamani yoyote kwa msela yeye ni punching bag..au uwanja wa mazoezi...mie nakushauri dada yangu ..MPE MSHKAJI AJIONGEZEE MAUJUZI YA KU-MPERFORM WIFE WAKE...maana hakuna ki2 kigumu kama kumwomba tigo mkeo..au hata mmeo..sasa wewe NAONA MSHKAJI KAMA ANATAKA AJE APIGE TIZI NA KULA GOTI SANA TUU ...then anasepa...na KESHO ANARUDI ...na navyowajueni nyie kina MAMA MARIA..mlivyo na huruma UNAMPA TENAAA....na unakuwa ndo kamchezo kenu...nawasilisha maoni

amna mm nikitaka kwa dem yoyote nachomekeza dushe tigoni tuu kiulaini. kwanza tz hii nani demi asieliwa uani????? achen utani nyie watoto. mmenikera sana leo
 
tumejua ulikua nje ya nchi,njoo kwangu upate hifadhi mim ni mchungaj mwema na ww ni kondoo aliepotea,wah nafac ni chache
 
Back
Top Bottom