1. Hili si jambo dogo kwani hata Police Tanzania (PT) ya Muliro, achilia mbali wale wengine wa kwetu au hata HAMAS hawawezi kuwa hivi:
2. Kwamba hivi hawakuanza juzi, ila ndiyo hulka yao,
3. Sasa kumbe kipi kingekuwa tofauti hapa?
4. Kwamba kwa hakika ndiyo hivyo msemaji wa IDF anavyo thibitisha:
5. Kwamba haikupaswa kuwa hivi? Haikupaswa kutokea?
6. Wakati imetokea kwa wafanyakazi zaidi ya 200 wa kutoa misaada; mamia kwa wahudumu mahospitalini; maelfu ya wagonjwa mahospitalini; makumi maelfu ya watoto wadogo; nk wakiwamo kumi maelfu ya wanawake na wanaume wasio na hatia?
7. Anamalizia Leon Panetta;
2. Kwamba hivi hawakuanza juzi, ila ndiyo hulka yao,
3. Sasa kumbe kipi kingekuwa tofauti hapa?
4. Kwamba kwa hakika ndiyo hivyo msemaji wa IDF anavyo thibitisha:
5. Kwamba haikupaswa kuwa hivi? Haikupaswa kutokea?
6. Wakati imetokea kwa wafanyakazi zaidi ya 200 wa kutoa misaada; mamia kwa wahudumu mahospitalini; maelfu ya wagonjwa mahospitalini; makumi maelfu ya watoto wadogo; nk wakiwamo kumi maelfu ya wanawake na wanaume wasio na hatia?
7. Anamalizia Leon Panetta;