1. Hili si jambo dogo kwani hata Police Tanzania (PT) ya Muliro, achilia mbali wale wengine wa kwetu au hata HAMAS hawawezi kuwa hivi:
View attachment 2955220
2. Kwamba hivi hawakuanza juzi, ila ndiyo hulka yao,
View attachment 2955221
3. Sasa kumbe kipi kingekuwa tofauti hapa?
View attachment 2955290
4. Kwamba kwa hakika ndiyo hivyo msemaji wa IDF anavyo thibitisha:
View attachment 2955291
5. Kwamba haikupaswa kuwa hivi? Haikupaswa kutokea?
6. Wakati imetokea kwa wafanyakazi zaidi ya 200 wa kutoa misaada; mamia kwa wahudumu mahospitalini; maelfu ya wagonjwa mahospitalini; makumi maelfu ya watoto wadogo; nk wakiwamo kumi maelfu ya wanawake na wanaume wasio na hatia?
7. Anamalizia Leon Panetta;
View attachment 2955219