Ex-CIA Chief Panetta: IDF hutekeleza majukumu yao kama Wenda wazimu

Point yangu ni kubwa wanachokipitia wapalestina wayahudi walishakipitia miaka zaidi ya 200 iliyopita. Wayahudi walikaa chini na kujipanga na kufanya maamuzi magumu. Wao wapalestina wanatakiwa wafanye maamuzi magumu na sio kuanza kulia lia.Ikiwezekana waondoke hapo na wajipange upya. Maana wana advantage ya refugees status.
 

Haipo point youote hapo mkuu:

1. Katika historia: "udhwalimu haujawahi kushindwa.

2. Kadhia ya wapalestina ilianza miaka ya 1948; ANC ilianzishwa 1919 (dhidi ya ubaguzi wa rangi) na uhuru ukapatikana 1994.

3. Wapalestina hawalii lii; Leo mwezi wa sita wana mateka mkononi, dunia imewaelewa, mapatano na Israel ni lazima!

4. Hapo #3, Palestina mezani siyo from the point of weakness:



5. Mapatano ni pamoja na kuelekea taifa huru la Palestina!

6. Huku siyo kulia lia ndugu:

Hamas wamewavizia, na kuwaua wanajeshi 9 wa Israel na wengine kujeruhiwa wengi idadi ya vifo inaweza kuongezeka

labda kama wewe una tafsiri yako nyingine!
 
Katika historia aliyepiga hatua katika uchumi na teknolojia hajawahi kushindwa hata siku moja. Wapalestina hata waswali swala tano kila kukicha bado sana wataishia kufa kama kumbi kumbi katika mvua za dar es salaam. Hakuna ubaya kuhama ukirejea katika historia kuna nchi kibao na himaya zilihama na kuwapisha wavamizi na kisha kujipanga kwa ajili ya kujizatiti upya. Hii hatua ya wapalestina kuwa na kiburi na kumchokoza Israel naita tabia ya umasikini jeuri ambayo ipo katika jamii nyingi. Mtu unatiwa kilode unabaki hapo hapo unasubiri urifwe na umwagiwe bao ndio uondoke ?
 

1. Kwani hili suala la kuswali swala 5 nalo unaliokota wapi?

2. Hata jahazi la Natenyahu:

Jahazi la Natenyahu lazidi kwenda Mrama

3. Au wewe wadhani halijui Hilo?
 
1. Kwani hili suala la kuswali swala 5 nalo unaliokota wapi?

2. Hata jahazi la Natenyahu:

Jahazi la Natenyahu lazidi kwenda Mrama

3. Au wewe wadhani halijui Hilo?
Sawa nasubiri Mrejesho kuwaondoa wayahudi Israel inahitaji mipango ya muda mrefu. Hizo unazosikia ni kelele za chura hazimzuii tembi kunywa maji. Wayahudi nawakubali sana kuliko na nimebahatika kukaa nao na kujifunza vitu vichache kutoka kwao. Mwenye nacho aongezewe ambaye hana anyanganywe hata kidogo alichonacho. Maisha hayana huruma.
 
ugaidi ukishamili huko America ndipo watapata akili kuwa israel ni mwendawazimu au laah
 
ugaidi ukishamili huko America ndipo watapata akili kuwa israel ni mwendawazimu au laah

1. Kumfahamu mwenda kuzimu haihitaji kusubiria lolote, wako wangapi wakiokota makopo?

2. Kama mwokota makopo tu, huyu hapa:



dhahiri ni mwenda kuzimu!

3. Au wewe ungependa uthibitisho upi zaidi ya huo?
 

Basi wacho tuone tembo atakavyoendelea kunywa maji ..
 
Spain haipo hata kwenye top ten ya uchumi wa dunia. Marekani, U.K, Ujerumani, Japan mbona wapo kimya ? Hakuna kitu kibaya kama kujidanganya na wapalestina wanaendelea kujidanganya. Huo UN resolution inasaidia nini ? UN haiwezi kumzuia Israel hata siku moja. Yaani hapo ili wayahudi waondoke labda itokee world war 3. Na kosa kubwa la Hamas walianza wao wenyewe. Kuna apartment zitakazoanza kujengwa Gaza zinauzwa katika Masynagogue Ulaya na Canada. Kuna watu wanaonunua. Na kumbuka hapo Gaza bado wapalestina hawajafukuzwa. Watu wamejipanga aisee. Nashangaa sana mtu kusema Israel anashindwa vita au ataonyeshwa adabu na Mpalestina. Mpalestina ana nini ?
 

1. Uliowataja kuwa kimya wote wako UNSC.

2. Kudhani aliyeanzisha ni HAMAS ni kujilisha upepo.

3. Huu mzozo ulianzia miaka ya 1947 huko.
 
1. Uliowataja kuwa kimya wote wako UNSC.

2. Kudhani aliyeanzisha ni HAMAS ni kujilisha upepo.

3. Huu mzozo ulianzia miaka ya 1947 huko.
Ndio jiulize toka mwaka 1947 mpaka leo wapalestina wanashindwaje kumuondoa Israel ? Bado wanatumia mbinu ile ile ya kujilipua. Tatizo watanzania hatutembei. Watu wengi hawajawahi na kukaa na wayahudi. Mimi nimeishi nao sio wafu wa kawaida wana umoja na wanapambana ile mbaya. Hivi unajua nchi zote za kiarabu zilizokusanya kumpiga Israel. Israel akawapiga ndani ya siku sita ? Mwenye uwezo mwachie kushindana naye unajiumiza.
 

1. ANC iliasisiwa 1919; jitihada za ukombozi zikianza mapema zaidi ya hapo. Uhuru ukapatikana 1994 sembuse mgogoro wa 1947.

2. Hayo ya wewe kujiona better positioned nimejaribu kukumbusha kuachana nayo:

Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

β€Š
3. Kwamba bila shaka unadhani una lolote credible kuliko kina Panetta, si ndiyo yale ya kujishasha na utajiri kuliko kina Elon Musk?!

4. Sorry to say: "Bure Kabisa!"
 
Hujawahi kukaa na wayahudi hujui unachoongea. Hawa watu(wayahudi) wana umoja kuliko waarabu ndio kinachowabeba. Waarabu wanabaguana kimatabaka mpaka leo. Kuna nchi za kiarabu hazitaki wakimbizi kutoka palestina. Unategemea hapo myahudi apigwaje kama wao wenyewe wameshindwa kuwa wamoja. Wapalestina wenyewe wanabaguna kimatabaka sembuse nchi za uarabuni. Ninarudia tena hakuna kitu kibaya kama kujidangaynya na kujipa matumaini. Katika maisha saa nyingine ni bora kukubali ukweli na kurudi nyuma na kujitafakari hatua gani mpya ya kuchukua.

Kuliko watu waendelee kufa wao wana advantage ya refugee status wakimbie nchi wazamie Ulaya au Marekani wapige kitabu wa -infiltrate system za wazungu. Maana huku wazungu hawataki kusoma na wao(wapalestina) kupata uraia ni rahisi. Kuondoka na kujipanga kuichukua upya nchi yao sio kitu kipya imeshafanyika mara nyingi. Israel sio wa kwanza kufanya hivi. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
 

Attachments

  • 1712559985545.png
    26 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…