EX GALANOS 1997-2000, hawa watu wako wapi?

EX GALANOS 1997-2000, hawa watu wako wapi?

BASHADA

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2011
Posts
513
Reaction score
148
Kwa wale tuliosoma Galanos A level miaka tajwa hapo juu, naomba mwenye taarifa za watu wafuatao wani pm na ikiwezekana nipate contacts zao

  1. Shumbi Jackson, alikuwa Prefect mpole sana. Alimaliza 1999.
  2. Lohay (jina la pili linanitoka, nasikia yuko Babati ni mwanasheria lakini sina contacts. Alimaliza 1999
  3. Amosi.... jina la pili linanitoka. Alimaliza 1999 na alikuwa mkimbiaji sana.
  4. Ezekiel Awaki, mara ya mwisho nilisikia yuko UDOm baada ya hapo sijui kaenda wapi.
  5. Massawe- alikuwa mdogo wa mwili na mpole sana, alimaliza 2000
  6. Karatu boy- alikuwa mcheshi sana lakini mpenda masifa na mademu. naye alimaliza 2000. Alikuwa rafiki sana wa Peter stanslaus ambaye sasa hivi nasikia yuko BOT.
  7. Elias Amri, mrefu mweupe, ni mbulu, mpole sana.
  8. Sijaona Swale, kwao ni Iringa/Njombe kama sikosei. Alikuwa mrefu mweusi anapenda sana kucheza basket.
  9. Someni Mteleka, alimaliza 2000. Alikuwa anakuja na shuka darasani anapiga buku mpaka tuliogopa
  10. Mwalimu wa economics, nadhani jina lake alikuwa anaitwa Gurisha. kama nimekosea nirekebishwe.
 
Back
Top Bottom