Ex-gf wangu kanitia hasara tuu...!!

Ex-gf wangu kanitia hasara tuu...!!

pole sana mkuu ila hata mi nishamfanyia mtu hivyo alichukia sema nilienda mwenyewe sema nikagoma kuingia ndani nataka kukaa nje ha hahaha nakumbuka jamaa aliomba akawa mpole hadi machozi yanamlenga lenga mi nimekaza napiga maji tu huwezi amini aliondoka bila kuaga nakuniachia bili nikamuita muhudumu wa lodge tukashauriana tufanyaje akasema anarudisha nusu ya bei itaingia kwenye vinywaji ... ila ameshafariki yule kaka alale kwa amani


Sasa kwanini na wewe ulimbania ilhali ulijua kabisa sehemu mlipoenda lengo ni moja tuu.....
Ulikua unataka kumkomoa ama?? Unyama huo..... Dhambi....!!

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
[emoji3][emoji3][emoji3]mkuu umerogwa si bure..

bia ni dhambi lakini ngono ...??!


Ngono ni dhambi lakin ni tamu..... Yaani ingawa unaandikiwa adhabu lakin pia unapata raha.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Navuta picha angekuja peke yake halafu akakuambia yupo kwenye period...naona ungemla hivyo hivyo [emoji3]


Kubabake... Sasa kama yuko period kwanini aje tuonane... Na ananijua kabisa bila kumla hajaondoka.
Ningemaind kishenz kubabake.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Sasa kwanini na wewe ulimbania ilhali ulijua kabisa sehemu mlipoenda lengo ni moja tuu.....
Ulikua unataka kumkomoa ama?? Unyama huo..... Dhambi....!!

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
lengo lilikuwa kula maji na si kubanjuana kufika pale naona anahangaika na wahudumu mmh namcheki tu .. nina tatizo nikinywa huwa sipendi kubanjuliwa kabisa yeye alitaka kuforce.. mkuu ila mnakuwaga mafala mkiwa mnaomba mbunye , ha hahaha nacheka sababu huwa mnaongeaga kama mate yamejaa mdomoni ha ahahaha
 
Yalishawahi kunikuta hayo,,bora yako Mkuu ulikuwa unamahusiano Mengine,.

Me mwenzako nilikuwa single almost Kama miezi 2 cjaiona tundu coz niliumizwa Sana kiac kwanza nikawa nimepoteza hisia.

Sasa hormones zilipoanza kufanya kazi yake, zilifanya kazi Kweli Kweli kiac kwamba genye zilipanda Kwa kazi zaid ya serikali ya anko Magu.

Nikaona isiwe tabu Kuna ex wangu flan alikuwa ananisumbua Sana cku za nyuma akitaka turudiane nikawa namkatalia coz nilikuwa na mahusiano Mengine.

Nikamcall nikamwambia tuonane akakubali nikafanya yoote uliyoyafanya but nikaingia nae room na mzigo nikanyimwa coz alikuwa haniamini Kama nimerudi mazima kwake. Alihisi nataka kupasha kiporo then nisepe. Niliumia Sana mpaka Leo Sina Jami nae.


Ulikua ushaanza kumvua mpaka nguo ama??? Maana wataalam wanasema mwanamke ukifanikiwa kumvua blauzi tu, ukashika matiti baaaasi analegea anakua kama punguani... Unajipimia unavo taka.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Alafu unge force king tu una mtext oya nataka mambo inakuwaje


Mi nilikua nasubiri yeye ndio ajiongeze.... Nisije kuonekana nina maganzi sana bureeeeee....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
ULichokosesa engineer hapo ni kimoja, kumpeleka UDSM kula kuku. Ungempeleka PATAYA kulekule, then unamuomba uzuru Binamu yake, '' samahani nina mazungumzo na nduguyo kidogo'' then unampandisha ROOM.Hapo tatizo lilikuwa nini? Inawezekana hata huyo BInamu yake alikuwa anajua kuwa anamleta ndugu yake kuliwa. Wewe ukaleta ubwege.
Next time, usirudie kosa mwana.


Kwanini amelete bwana... Kwanini yeye aje na nduguye... Mie mbona nilienda peke yangu.....
Mtu sio kipofu, sio kiwete.... Na binamu mtu ameshiba kuku zangu badala asepe ameganda tu mpaka mwisho.
Kubabake walay..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Alikuwa unasubiri aombwe yeye, teh teh teh.
Mi nakumbuka kuna wangu alikuwa anakujaga na mwenziwe, nampandisha nyege mpaka mwenyewe anamwambia mwenzie'' Ngoja nikazipunguze''. Haooooooooooooooooo, tunalekea kugaiana.


Mi nilikua naogopa... Nisije kuonekana nina nyege sana.... Nilitaka yeye ndio amwambie mwenzie basi we nenda nitakukuta home..... Then mie nikamtafune kisawa sawa.... Daaaaah Hela zangu, muda wangu....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Yan uo ndo muda napnaga wakaka wa ajabu m2 akikupgia cm tu bas we unawaza mgegedo muache uzuz


Sasa unataka tuwaze nini... Wewe ni demu wangu wa zamani... Nilikua nakugegeda toka form two...
Nikakupiga chini.... Leo hii unanitafuta unasema umeni miss, unataka unione....
Mie ni kaka yako!!!!!!!!!!!!!!!!!

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
kwani shule mnafungua lini maana hiyo hela ulochanga ndo inaisha usije pewa hela ya ada ukala na yenyewe nakushauri mdogo wangu anza kufanya home work ukienda shule uwe fit


Acha kuleta UJINGA wako hapa wewe......
Ushakariri ki statement cha members washamba wa JF basi hatusemi..... Sio bure pengine hujui hata maana ya Chief Eng.
Mshamba kama Ex-gf wangu..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Dah..yaani hata hesabu ndogo tu inakushinda... 1+ 2 = +3...halafu unajiita injinia😎😎


Kivipi yaani... sijakuelewa.... Yaani unamaanisha nigetakiwa nikawa tafune wote wawili ama!!!!

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Ilishawahi kunitokea hii nilikutana na x-gf mlimani city nikampakia kwenye gari hadi pale mtanzania sinza kwenye bar. Baada ya stori mbili tatu nikaenda hotelini kuchukuwa room ya 35k kuja kumuomba tuhamie juu akakataa kata kata nikaona isiwe shida ikabidi nimrihusu aondoke then nikabadili gia kwa muhudumu wa hotel. Walah mambo niliyopata kwa muhudumu siwezi kusahau. Kazi yangu ilikuwa kutegesha mashine tu nje ndani na miuno yote alikuwa anapiga yeye


Ulimtoa extra cash ama free of charge..... Mi nawaogopaga wahudumu nahisi wanataka pesa ndefu sana....
Halafu mie huwa nawahi kurusha wazungu, nisije kuaibika bureeee.. ikaw kashesheeee!!!

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Ila bhana hii inamtokea kila mtu,Mm ilishawahi nitokea,nimetoka zangu porin nimetulia mahali napiga zangu castle lite mixer mzizi(campari),Nina ukame WA Kama two months,wakati huo tayari nimeshampanga dem wangu WA siku zote kuwa Leo naingia town jipange kwa mechi,huku na Huku nikiwa kwenye matumizi nikakutana na demu mmoja hivi tukabadilishana no,kilichotokea sasa nikaanza kuchart na alienipa no wakati huo dem wangu ameniambia chukua chumba kbs,nikatoka kwenda kulipia chumba Kama 25k,ukicheki muda ni saa nne kasoro,huyu demu mpya akawa Kama amenielewaelewa na Mm ikabid nikaze Kamba ili Kama vp nipite nae halafu Yule WA siku zote nnaweza nikamwambia nina udhuru najua angenielewa then nikajipie kitu n'gada,Aisee kilichotokea ss demu wangu ananitext njoo unichukue mbona unachelewaa,ikanibid nichukue gari nimfuate nikiwa njiani nikasema ngoja nimpigie huyu demu mpya kama vp kesho tutafutane,Matokeo si nikachanganya no badala huyu gashi tuliyobadilishana no nampigia demu wangu,maneno nnayozungumza babu Aibu,si ujaua tena na pombe juu,kilichonistua demu ananiuliza ww unaongea na nan then akakata sim,ikabidi nitoe sim sikioni niangalie na naongea nae duuuh!,nilichofanyA nilipaki gari pembeni nampigia sim Kwan anapokea,zaidi ya kunitumia sms "kalale na huyo uliyekuwa unaongea nae baasi"mwanaume nafanya nin saa tano kasoro,nikaona isiwe shida nampigia aliyeniponza hapokei sim utafikiri wanafahamiana labda wameambizana,nna nshapiga mzizi (campari) WA kutosha,kudadeki siku iliyofuata sikuamka ngiri ya hatari
 
Back
Top Bottom