Ex girlfriend wangu kanenepa sana mpaka nimesikitika

Somewhere in between eeh?

Sure.

I'm just kidding here but I love it when am withing healthy BMI. I feel so good.
I was imagining the camel toe you could have had. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Dirty mind..
 

Eti ulitamani kukaowa hahahaa!huwajui vizuri wanawake wa Mozambique!utajuta maisha yako yote
 
Akipinguza mwili unsmuoa au utendelea tu kupiga ovyo ovyo?
Maana ucje ukawa umempa kazi ya kupungua af huna mpango wa kumwoa
 
Asparagus inaongeza libido sasa nyie kuleni matokeo yake muanze kumfuata mtoa mada awatafutie asparagus nyingine[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nami namsiistiza Sameer aje bongo ili LIKUD anipatie tenda ya kumletea asparagus kwa ajili ya mpenzi wake. Kule kwetu asparagus zinaota porini naturally and organically hasa mvua zinapokua zinaanza.
 
I thanks god.

You was fake.

Loose weight.

aliniumizi.

Anyway uliposema Samira was part of you kisha ukaja andika 'Atakayemuoa..' nikafikiri utamalizia na atakayemuoa Samira atakua kakuoa na wewe.
 
Nami namsiistiza Sameer aje bongo ili LIKUD anipatie tenda ya kumletea asparagus kwa ajili ya mpenzi wake. Kule kwetu asparagus zinaota porini naturally and organically hasa mvua zinapokua zinaanza.
Nime ku pm kaka
 
I thanks god.

You was fake.

Loose weight.

aliniumizi.

Anyway uliposema Samira was part of you kisha ukaja andika 'Atakayemuoa..' nikafikiri utamalizia na atakayemuoa Samira atakua kakuoa na wewe.
Aisee
 
Ewe Mdada, kama unajua unaenda mbinguni basi be Slim.

Ila kama unaenda Jehanamu, ndugu yangu jinenepee. Ili angalau kuwepo na stake za kuliwa na moto.

Vinginevyo moto utakuwakia kwenye mifupa tu.
Mtatuua nyie wanaume wallahi
 
Akipinguza mwili unsmuoa au utendelea tu kupiga ovyo ovyo?
Maana ucje ukawa umempa kazi ya kupungua af huna mpango wa kumwoa
Nataka apunguze mwili kwa sababu nampenda. Unene Ni hatari kwa Afya. Unaweza kuleta matatizo mengine hatari Kama vile magonjwa ya Moyo etc.

Upendo wangu kwa Samira ume graduate kutoka erotic Hadi kuwa Agape.

Nataka aishi.
 
Unatumia Kama mboga Yan iwe ndo chakula chako kikuu. Ni superfood. U will thank me later
Sizipendagi.bora nijirukie zangu kamba,maji ya moto yenye limao na maganda yake..na punguza mijisosi ya ajabu ajabu..niwe mwepesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…