Ex girlfriend wangu kanenepa sana mpaka nimesikitika

Ex girlfriend wangu kanenepa sana mpaka nimesikitika

Mbinguni hutakiwi kunenepa.

Religious books quote that duniani ni pa taabu. Sasa mtu utanenepaje kwenye taabu??

And there in heaven, you shall be praising and dancing. Thick people might don't make better steps. 😂😂😂😂😂

Pungua mama...
Wewe ulisikia wapi Chief
 
She was like " Likud now I can see.u really love me, u know those days at the hill I was beginning to think that you was fake.because u was loving everything about me.

"Proactive cheating cheating relies on the woman breeding with a Good Genes male, bearing his children and then abandoning him, or having him abandon her, (again through invented social conventions) in order to find a Good Dad male to provide for her." - Book 1, RM
 
Nireteeni @atoto nireteeni @atoto
 
Ukiona picha yake unaweza ukasonya kwa kusema mbona ni mwanamke wa kawaida tu? Yes ni kweli sameera ( Samira) alikuwa Dada wa kawaida tu kimuonekano...But honestly she was a very very nice person.

I saw a lot of my mother in her.

Katoto nilikapenda mnoo.

Nilianza kukafahamu way back 2010/2011 wakati nasoma udsm wakati namalizia shule udsm( finalist) kenyewe by that time kalikuwa mwaka wa kwanza.

Niliingia nako rasmi katika mahusiano ya kimapenzi mwaka 2012.

Nilikapenda Sana na kenyewe kalinipenda Sana. Tulipendana. I was very much attracted to her soul.

Kuna kipindi nilianza kuhisi may be she was my soulmate.

Memories zangu na Sameera zipo nyingi sana..I thanks God for Sameera..

Upendo wangu kwake ulikuwa mkubwa sana ..Ilifika kipindi nikaanza kumuona Sameera Kama another part of me or rather a part of me that was created in another body.

Niliwahi kusema ndani ya nafsi yangu mwanaume.atakae kuja.kumuoa sameera.hakika.atakuwa amepata mke kweli kweli.

Maelezo Ni marefu Sana, Sameera.ali graduate mwaka 2013 . She went back to Moz.

Tulikuwa tunawasiliana baadae mawasiliano yakakatika.

Last 3 weeks .i.had a trip to Joburg as I was therein nikapata wazo kwamba niende.Maputo kutembea na.wazo la.Maputo.lilipo kuja nikamkumbuka Sameera so nikamchek akaniambia yupo Beira .

Nikaomba kukutana nae Beira. Sameera alifurahi Sana kuniona na Mimi nilifurahi ZAIDI.

Sameera is now a single mother. She has employed by her Government tangu alipo graduate ( in Moz to graduate is to be employed in the govt ) na kiukweli yupo vizuri kiuchumi.

Yeye kuwa single mother kwangu alikuwa tatizo tatizo.kabisa. Upendo wangu kwa Sameera ume move kutoka " Romantic " to Agape. Kama tungekuwa wakatoliki Mimi ningeomba kuwa baba wa ubatizo wa mtoto wa sameera.

Tatizo la sameera Ni amenenepa.kupita maelezo...

Ameuvunja Moyo wangu.. Siku kakopesha nilikachana live Nika kaambia lazima kapunguze mwili wake and she was like ooh unajua I don't have much time for gym.or something , I told her u have to make time for gym. U have to stop.eating red meat etc ( na vyakula.vyote vinavyo nenepesha)

Nika kaambia natamani twende wote tz nikusimamie kuhakikisha unapungua na.kurudi Kama ulivyo kuwa zamani.

She was like " Likud now I can see.u really love me, u know those days at the hill I was beginning to think that you was fake.because u was loving everything about me.

Anytime if I would tell you like baby u know I like this or that and u was like, woooow !!!.me too!!!

Anyways Sameera has promised me to loose her weight. In addition to her or promise when I went back to Joburg I purchased some good amount of Asparagus nimememwambia awe ana tumia hizo kila.siku..

Enyi kina dada ambao Sasa hivi mpo slim, fanyeni muwezavyo msinenepe. Mwanamke aliekuwa slim akinenepa ana chukiza Sana.

Sisi wengine tunawapenda wadada wembamba.

Please kama.na wewe upo kwenye kundi la.samira please promise here kwamba utapunguza mwili wako.
View attachment 1762326

Mm sijawahi waelewa hawa wanaume mara oooh nenepa kidg angalau uwe na vinyamanyama, mara ooh wembamba ndio dili, mara hatutaki flat screen uwe na tako bhana, hatujakaa sawa utaskia mmh sura yenyewe ile tunataka rangi ya chungwa, siku haijaisha Eee bhana nataka mtoto waiti! mguu wa bia sijui nn hatutaki swala[emoji57][emoji57] hamridhikagi nyie hata tukiwapa macho mtatufanya vipofu bure[emoji23][emoji23]
 
Chukueni vimbaumbau tuachieni vibonge, ili mradi awe na curves. Nyie endeleeni na mbaumbau huko. Sameera hata usijali, tuko tunapenda hizo stakes [emoji39]
 
Mm sijawahi waelewa hawa wanaume mara oooh nenepa kidg angalau uwe na vinyamanyama, mara ooh wembamba ndio dili, mara hatutaki flat screen uwe na tako bhana, hatujakaa sawa utaskia mmh sura yenyewe ile tunataka rangi ya chungwa, siku haijaisha Eee bhana nataka mtoto waiti! mguu wa bia sijui nn hatutaki swala[emoji57][emoji57] hamridhikagi nyie hata tukiwapa macho mtatufanya vipofu bure[emoji23][emoji23]
Mara wanataka camel toe,wanatuchanganya[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom