EX hapokei simu na hatujaachana kwa ugomvi mkubwa

EX hapokei simu na hatujaachana kwa ugomvi mkubwa

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Sasa yupo kitengo fulani, namtafuta kun jambo anifanyie liende kwa wepesi ila naona kanikaushia hapokei simu, text hajibu, sasa ni bora ani block tu kabisa nijui hataki kuongea na mimi na si kudharau call na text zangu.

mi simtaki, nataka tu anisaidie ili mchakato wangu ambao yeye kwa nafasi yake anaweza kuafanya ukawa rahisi.
wanawake acheni kiburi. kuachana sio vita, kwanza yeye ndo alijitongozesha kwangu.
 
Sasa yupo kitengo fulani, namtafuta kun jambo anifanyie liende kwa wepesi ila naona kanikaushia hapokei simu, text hajibu, sasa ni bora ani block tu kabisa nijui hataki kuongea na mimi na si kudharau call na text zangu.

mi simtaki, nataka tu anisaidie ili mchakato wangu ambao yeye kwa nafasi yake anaweza kuafanya ukawa rahisi.
wanawake acheni kiburi. kuachana sio vita, kwanza yeye ndo alijitongozesha kwangu.
😂😂😂 ezakuwa anajua nyege zmekuzd unapakumwaga akawa anakukaushia uchukue sheria ya kupanda mti na mkono moja
 
What if huyo ex wako asingekua anafanya kazi kwenye hiyo ofisi je usingepata kabisa huduma hapo ofisini ? We utakua una mambo yako mengine mbali na kuhitaji huduma hapo ofisini.
 
sasa mtu ushaachana naye, wa nini sasa aendelee kukusaidia ili iweje, huwezi jiongeza kabisa hapo? yaani kwa mawazo yako unafikiri amefurah mlivyoachana na unasema kabisa yeye ndo amejitongozesha Kah! tafuta njia nyingine ya kutatua tatizo lako, ukisema cha nini wenzako wanawaza watapata lini
 
Natakiwa niichukie na nimhakikishie kwamba arelax kabisa nitalifanyia kazi 😁
Tatizo anajiona special yaani amuache mtoto wa watu, usikute alimuahidi nitakuoa wewe ndo peke yako dunia nzima hakuna kama wewe, halafu anategemea kutendewa wema hapo
 
Back
Top Bottom