haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 978
- 2,313
Sasa yupo kitengo fulani, namtafuta kun jambo anifanyie liende kwa wepesi ila naona kanikaushia hapokei simu, text hajibu, sasa ni bora ani block tu kabisa nijui hataki kuongea na mimi na si kudharau call na text zangu.
mi simtaki, nataka tu anisaidie ili mchakato wangu ambao yeye kwa nafasi yake anaweza kuafanya ukawa rahisi.
wanawake acheni kiburi. kuachana sio vita, kwanza yeye ndo alijitongozesha kwangu.
mi simtaki, nataka tu anisaidie ili mchakato wangu ambao yeye kwa nafasi yake anaweza kuafanya ukawa rahisi.
wanawake acheni kiburi. kuachana sio vita, kwanza yeye ndo alijitongozesha kwangu.