Ex- kukupa ushauri hii ipo sawa?

Ex- kukupa ushauri hii ipo sawa?

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Mbona Dunia inaenda kasi how come ex-wako anakushauri?

Au kumpa sikio ndiyo anajua ana mamlaka na Mimi anyway waga naskiliza na kuyaacha apo apo uliyoniambia.

Ungekuwa unaejitambua usingekuwa unanyanyua simu sijawahi kukutafuta mbona unanitafuta?
 
Sasa kama hutaki kuwa na chuki kwanini ulete post kumuhusu yeye kukupa ushauri? Kama hakuna chuki kati yenu hakuna bata yeye kukushauri.
Mwenzako anajitambua na ndiyo maana anakuoa shauri mbali mbali kwasababu hana chuki na wewe
Mbona unakasilika?
 
Mlianzia wapi hadi kukupa ushauri!?
Hicho alichokushauri, alikijuaje!?
Wewe ni dhaifu sana
 
Back
Top Bottom