EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

Maex wangu wote karibia 50 hakuna niliyegombana nae serious mpaka kufikia kutoongea.

Maex wangu wote nawaambia mimi ni mzima na nawasalimu sana , ujumbe waheshimu mahusiano yao ya sasa tukikutana wasiniweke kwenye mitego ya kula tunda tena maana huwa nategeka haswa.
Hahaha
 
Back
Top Bottom