Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Extroverts ni watu hatari sana! Mimi ningekimbia nikajifungie ndaniNingemmbandua tu maama hamna cha maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Extroverts ni watu hatari sana! Mimi ningekimbia nikajifungie ndaniNingemmbandua tu maama hamna cha maana
Na itakuwa ni solution ya pamojaMuite Mume wake umueleze hayo..Naamini atapata solution
COMRADE NAONA HAUKO NYUMA KATIKA HIZI NYANJAHuyo anachokitafuta ni wewe kumwambia njoo tukutane tuongee kisha umbandue. Hamna jipya hapo.
Kuna video nmeona Leo,jamaa wanampaka BABYCARE ... huku wamemshikia panga njemba za heavyweight mbili...pembeni mdada amekaaa analia anamuacha jamaaa kupenyezwa bila shurti...Sisi Wanaume tunapunguziana uanaume wenyewe...maana utafanya wangap? Na vip njemba ukakuzd maarfa ukakugeuzia kibao? Kama yule jamaaa aliyemfumania mkewe na KUKIMBIZWA YEYE NA PANGA...haaah.My Ex dumped me alivyopata mchumba na wamesha ishi three years. Cha ajabu ananiambia hana hamu kabisa na sex now days compared na kipindi tulivyokuwa nae it was sex everywhere in the bed room, kitchen, sitting room, in the office, in the car.
Je atakuwa anataka tuliendeleze au la? hare your experience
Achana na malaya huyo.My Ex dumped me alivyopata mchumba na wamesha ishi three years. Cha ajabu ananiambia hana hamu kabisa na sex now days compared na kipindi tulivyokuwa nae it was sex everywhere in the bed room, kitchen, sitting room, in the office, in the car.
Je atakuwa anataka tuliendeleze au la? hare your experience
Anza kutembea na mafuta ya VASELINE. Thank me later.My Ex dumped me alivyopata mchumba na wamesha ishi three years. Cha ajabu ananiambia hana hamu kabisa na sex now days compared na kipindi tulivyokuwa nae it was sex everywhere in the bed room, kitchen, sitting room, in the office, in the car.
Je atakuwa anataka tuliendeleze au la? hare your experience
Hapa ndipo unaonekana ule umuhimu wa kuoa BIKRA.My Ex dumped me alivyopata mchumba na wamesha ishi three years. Cha ajabu ananiambia hana hamu kabisa na sex now days compared na kipindi tulivyokuwa nae it was sex everywhere in the bed room, kitchen, sitting room, in the office, in the car.
Je atakuwa anataka tuliendeleze au la? hare your experience
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kmamake
Maneno hayohayo ndiyo aliyomuambia Mume wake hadi akamuowa kuwa wwe humkozi vizuri! Wwe jaribu kumtafuta Mumewe akuambie ili na wwe usikie ulivyosemwa kwake!! Wanaume sanukeni muda mwingine tunachezeshwa na Wanawake Kama Watoto na sisi eti tunacheza kindezi!!My Ex dumped me alivyopata mchumba na wamesha ishi three years. Cha ajabu ananiambia hana hamu kabisa na sex now days compared na kipindi tulivyokuwa nae it was sex everywhere in the bed room, kitchen, sitting room, in the office, in the car.
Je atakuwa anataka tuliendeleze au la? hare your experience
hata wewe unasimangwa kwa wanaume wenzio, ulikuwa humtoshelezi, wanawake ndivo walivoEx wako kakueleza wewe
Wewe unataka Tu share nini?And why?