Ex wangu ananionea wivu...

Konakali

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
1,533
Reaction score
266
Jamani, Ex wangu ananionea wivu anionapo na wengine...! Je, hii ni kawaida? Nifanyeje; nimtungue, au?
 
mtungue,ukimkosa mpotezee!
 
Mtungue tu kwani your current... anatunguliwa na ex-wake.
 
duh...huyo inabid utueleze mliachanaje..mligombana? au mliachana kistaarabu? kama mligombana achana nae kama kistaarabu na huna mtu mwingine mtungue tu...lakini kumbuka..." za kupewa, chanyanya na zako"
 
Mlengeshe kwangu atakusahau na wala hata ona wivu tena :eyebrows::eyebrows:
 
Jamani, Ex wangu ananionea wivu anionapo na wengine...! Je, hii ni kawaida? Nifanyeje; nimtungue, au?

Na wewe Konakali acha hizo bana, akuonapo na WENGINE, kwanini isiwe MWINGINE!
 
We ndo ulimwaga ndo maana. Angekuwa yeye ndo alikumwaga asingeona wivu. Usithubutu kumrudia anatafuta njia ya kukumwaga ili ajione mshindi. Mwachwaji huona uchungu sana!
 
hamjaachana mnatuyeyusha tu hapa
 
yaelekea na wewe bado unafeel pamoja na kuwa na wengine, basi mtunguane
 
Wewe unamtaka pia huyo ex wako...huna lolote!
 
duh...huyo inabid utueleze mliachanaje..mligombana? au mliachana kistaarabu? kama mligombana achana nae kama kistaarabu na huna mtu mwingine mtungue tu...lakini kumbuka..." za kupewa, chanyanya na zako"

ex wake mwingine alikuwa bado anamtungua/anamla ndiyo sababu ya kuachana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…