Ex-wangu kaolewa na rafiki yangu wa damu kabisa hii ni dharau

Ex-wangu kaolewa na rafiki yangu wa damu kabisa hii ni dharau

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Zilikuwa tetesi ila kumbe ishakuwa kweli na juzi nilikuwa Uganda majamaa zangu kibao wakawa wananitext WhatsApp kuwa lile jambo tulilokwambia nileo Mariam anaolewa na Hasani. Nikasema sio kweli, jioni naona meseji na picha za ndoa ya mkeka zinamiminika kama maji ya mtoni.

Tahadhari. Adui wako hatoki mbali ni huyo hapo wa karibu maana haiwezekani mimi nimeachana na mpenzi wangu kwa mgogoro mkubwa, tena ni huyu huyu rafiki angu akawa anasema pole Mpwayungu village ila Leo anachukua yeye.

Haina shida Mungu yupo acha maisha yaendelee ila ipo siku watanikumbuka

images%20-%202022-08-04T114033.221.jpg

 
Zilikuwa tetesi ila kumbe ishakuwa kweli na juzi nilikuwa Uganda majamaa zangu kibao wakawa wananitext WhatsApp kuwa lile jambo tulilokwambia nileo Mariam anaolewa na Hasani. Nikasema sio kweli, jioni naona meseji na picha za ndoa ya mkeka zinamiminika kama maji ya mtoni.

Tahadhari. Adui wako hatoki mbali ni huyo hapo wa karibu maana haiwezekani mimi nimeachana na mpenzi wangu kwa mgogoro mkubwa, tena ni huyu huyu rafiki angu akawa anasema pole Mpwayungu village ila Leo anachukua yeye.

Haina shida Mungu yupo acha maisha yaendelee ila ipo siku watanikumbuka

Nenda na wewe ukamchukue ex wa rafiki yako umuoe ili kupoza machungu bwashee 😂😂
 
Zilikuwa tetesi ila kumbe ishakuwa kweli na juzi nilikuwa Uganda majamaa zangu kibao wakawa wananitext WhatsApp kuwa lile jambo tulilokwambia nileo Mariam anaolewa na Hasani. Nikasema sio kweli, jioni naona meseji na picha za ndoa ya mkeka zinamiminika kama maji ya mtoni.

Tahadhari. Adui wako hatoki mbali ni huyo hapo wa karibu maana haiwezekani mimi nimeachana na mpenzi wangu kwa mgogoro mkubwa, tena ni huyu huyu rafiki angu akawa anasema pole Mpwayungu village ila Leo anachukua yeye.

Haina shida Mungu yupo acha maisha yaendelee ila ipo siku watanikumbuka


Ulikua unapiga kimoko nini
 
Zilikuwa tetesi ila kumbe ishakuwa kweli na juzi nilikuwa Uganda majamaa zangu kibao wakawa wananitext WhatsApp kuwa lile jambo tulilokwambia nileo Mariam anaolewa na Hasani. Nikasema sio kweli, jioni naona meseji na picha za ndoa ya mkeka zinamiminika kama maji ya mtoni.

Tahadhari. Adui wako hatoki mbali ni huyo hapo wa karibu maana haiwezekani mimi nimeachana na mpenzi wangu kwa mgogoro mkubwa, tena ni huyu huyu rafiki angu akawa anasema pole Mpwayungu village ila Leo anachukua yeye.

Haina shida Mungu yupo acha maisha yaendelee ila ipo siku watanikumbuka

Ndoa ya mkeka huwa inapangwa? Nilidhani inakuwaga ghafla ya kulazimishwa
 
Zilikuwa tetesi ila kumbe ishakuwa kweli na juzi nilikuwa Uganda majamaa zangu kibao wakawa wananitext WhatsApp kuwa lile jambo tulilokwambia nileo Mariam anaolewa na Hasani. Nikasema sio kweli, jioni naona meseji na picha za ndoa ya mkeka zinamiminika kama maji ya mtoni.

Tahadhari. Adui wako hatoki mbali ni huyo hapo wa karibu maana haiwezekani mimi nimeachana na mpenzi wangu kwa mgogoro mkubwa, tena ni huyu huyu rafiki angu akawa anasema pole Mpwayungu village ila Leo anachukua yeye.

Haina shida Mungu yupo acha maisha yaendelee ila ipo siku watanikumbuka

Kama ex wako kina gani kinakuuma? Huyo rafiki ana makosa gani kuoa uliyemwacha wewe? Kama uliona hafai na yeye anaona anafaa, basi na urafiki na mtu wako uendelee, wala usimchukie.
 
Zilikuwa tetesi ila kumbe ishakuwa kweli na juzi nilikuwa Uganda majamaa zangu kibao wakawa wananitext WhatsApp kuwa lile jambo tulilokwambia nileo Mariam anaolewa na Hasani. Nikasema sio kweli, jioni naona meseji na picha za ndoa ya mkeka zinamiminika kama maji ya mtoni.

Tahadhari. Adui wako hatoki mbali ni huyo hapo wa karibu maana haiwezekani mimi nimeachana na mpenzi wangu kwa mgogoro mkubwa, tena ni huyu huyu rafiki angu akawa anasema pole Mpwayungu village ila Leo anachukua yeye.

Haina shida Mungu yupo acha maisha yaendelee ila ipo siku watanikumbuka

Mwanmake amekuona wee hamnazo kichwani Ni mwanmke yupi atakubali kuolewa na mpwayungu mtu mwenyew weng Kia's hiki
 
Bro code ishavunjwa, ila sio shida wewe vunja kabisa kwa kummega tena ina maana unakuwa unammegea mke wake sasa
 
Mkuu mtoa hoja wala usi mind sana mimi naona you got a better deal, huyu rafiki ni pretender na ex wako mkuu huwezi kujali sana maana alishakua ex
 
Zilikuwa tetesi ila kumbe ishakuwa kweli na juzi nilikuwa Uganda majamaa zangu kibao wakawa wananitext WhatsApp kuwa lile jambo tulilokwambia nileo Mariam anaolewa na Hasani. Nikasema sio kweli, jioni naona meseji na picha za ndoa ya mkeka zinamiminika kama maji ya mtoni.

Tahadhari. Adui wako hatoki mbali ni huyo hapo wa karibu maana haiwezekani mimi nimeachana na mpenzi wangu kwa mgogoro mkubwa, tena ni huyu huyu rafiki angu akawa anasema pole Mpwayungu village ila Leo anachukua yeye.

Haina shida Mungu yupo acha maisha yaendelee ila ipo siku watanikumbuka

Nafikiri mtu akipitia nyuzi zako atagundua kuwa unasumbuliwa na ushamba,ulimbukeni,upumbavu,ujinga,utaahira,uchizi,uwendawazimu,kichaa n.k kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii.

Nb:Afya ya akili inakuhusu.
 
Zilikuwa tetesi ila kumbe ishakuwa kweli na juzi nilikuwa Uganda majamaa zangu kibao wakawa wananitext WhatsApp kuwa lile jambo tulilokwambia nileo Mariam anaolewa na Hasani. Nikasema sio kweli, jioni naona meseji na picha za ndoa ya mkeka zinamiminika kama maji ya mtoni.

Tahadhari. Adui wako hatoki mbali ni huyo hapo wa karibu maana haiwezekani mimi nimeachana na mpenzi wangu kwa mgogoro mkubwa, tena ni huyu huyu rafiki angu akawa anasema pole Mpwayungu village ila Leo anachukua yeye.

Haina shida Mungu yupo acha maisha yaendelee ila ipo siku watanikumbuka

Mfuate jamaa mwambie akuoe wewe
 
Zilikuwa tetesi ila kumbe ishakuwa kweli na juzi nilikuwa Uganda majamaa zangu kibao wakawa wananitext WhatsApp kuwa lile jambo tulilokwambia nileo Mariam anaolewa na Hasani. Nikasema sio kweli, jioni naona meseji na picha za ndoa ya mkeka zinamiminika kama maji ya mtoni.

Tahadhari. Adui wako hatoki mbali ni huyo hapo wa karibu maana haiwezekani mimi nimeachana na mpenzi wangu kwa mgogoro mkubwa, tena ni huyu huyu rafiki angu akawa anasema pole Mpwayungu village ila Leo anachukua yeye.

Haina shida Mungu yupo acha maisha yaendelee ila ipo siku watanikumbuka

Kuchapiwa ni siri ya ndani, umeimwaga nje..!!
 
Back
Top Bottom